You are on page 1of 134

PUBLICATION No. 1 - 3RD.

EDITION 1981
OAU INTER-AFRICAN BUREAU OF LANGUAGES
DIRECTOR - DR. KAHOMBO MATEENE
JIFUNZE-YEKOLA
LINGALA - KISWAHILI
EDITION BUREAU LINGUISTIQUE DE L'OUA
OAU BUREAU OF LANGUAGES
P.O. BOX 7284, KAMPALA, UGANDA
IN THIS SERIES
1. Jifunze Lingala Yekola Kiswahili
3rd Edition 1981 by Dr. Kahombo Mateene
2. Jifunze Luganda Yiga Kiswahili
4th Edition 1981 by Vin F.K. Kavvoya
3. Reconsideration ofAfrican Linguistic Policies
lst Edition 1980 by OAU BIL
4. Jifunze Kiarabu Teach YourselfArabie
lst Edition 1981 by Burhan Mkelle
By Dcision No.AHG/Dec. 8, 1966 creating the Inter-African Lingui
tic Bureau by the Assembly of the Heads of State of the OAU.
Conforme la Dcision No.AHG/Dc. 8, 1966 portant cration d
Bureau Linguistique Inter-Africain par l'Assemble des Chefs d'Etat d
l'OUA.
Printed and produced for OAUInier-African Bureau of Languages by
Eleza Services Limited, P.O. Box 14925, Nairobi, Kenya.
PUBUCATION No. 1
JIFUNZE LINGALA
YEKOLA KISWAHILI
EBANDELI
Matya maye mazali na kti ya bku yo mazali na ntina ya
koykola kiswahili to lingla. Moto yo aybi minoko yo nyso
mibal atdlmi na mosld ya bku yot. Oyo aybit monoko moka
na kdti ya minoko yo mibdle, akoykola yo ekoki t na yt na
bozwi ndimbola na kdti yamonoko yo ekoki na y.
Bku yo es Imdki mp ya baykoli baye bazali koykola mo
noko ya kiswahili j ya lingla mbala ya libos.
Minoko wn nyso mibal ezali na etk mk, etkd yo
batdngaka etkd ya minoko ya kibantu.
Kasi mongng ya lingla emnni kokesana mpenz na yo ya
kiswahili, zambi lingla elong na minoko nyso mossu yo ya
etkd wdnd ezali na tna, nd koloba, epi ya kotombola to kokwisa
mongng na kti ya maloba. Bobl kiswahili yang mk na kti
ya minoko yaetk ya kibantu ezngi tna na kti ya maloba na yang.
MATANGULIZI
Masomo yaliypmo katika kitabu hiki ni ya kujifunza kiswahili
au lingla. Mwenyi kujua lugha hizi zote mbili hahitaji kutumia kitabu
hiki. Asiyejua moja kati ya hizi lugha mbili anajifunza lugha asiyofa-
hamu akipata mafasiriyo katika lugha anayofahamu.
Kitabu hiki kimetungwa kwa kuwasaidia wanafunzi wenyi kujifu
nza lugha ya kiswahili au ya lingla kwa mara ya kwanza. Kugha hizo
mbili ni za ukoo moja, yaani ukoo wa lugha za kibantu.
Lakini sauti ya Lingla inaonekana kuachana sana na ile ya
kiswahili kwa kuwa lingla na lugha karibu zote za ukoo huo ina
tona, yaani nafasi ya kupandisha au kushusha sauti katika maneno.
Kiswahili peke yake katika lugha za kibantu haina tona katiha maneno
yake.
EDITONS FOREWORD
A BOUT THE M ETHOD
We feel that the best way for an
African to learn a new African
language is to use as a mdium
of instruction his own native
language. To use a non-African
language, e.g. a European language,
as a mdium for learning an African
language would mean that the
European language is our natural
or native language.
Now thse European languages
are only second languages for us
and very often we do not hve
a very good command of them as yet.
Our method is therefore a direct
one, and takes advantage of and
shows up the relationships existing
between two African languages.
This method furthermore makes it
possible for the public at large
to use a book like the one presented
hre. To teach an African language
through a European language
would make the book accessible
only to the minority of people who
hve been linguistically westernized.
PREAMBULE DE LEDITEUR
CONCERNANT LA METHODE
Nous croyons que le meilleur
moyen d'apprendre une nouvelle
langue africaine, pour un African,
est d'employer comme langue
d'enseignement sa propre langue
natale. Se servir d'une langue non-
africaine, en l'occurence une langue
europenne, comme mdium
d'instruction pour apprendre une
langue africaine, ferait croire que
la langue europenne utilise est
notre langue naturelle ou maternelle.
Or les langues europennes sont
seulement pour nous des deuximes
langues, et trs souvent nous ne les
matrisons pas encore trs bien.
Notre mthode est par consquent
une mthode directe qui tire profit
des affinits qui existent entre deux
langues africaines tout en contri
buant mettre ces affinits en
vidence.
De plus, cette mthode permet au
grand public d'employer le livre
que nous prsentons ici. Enseigner
une langue africaine au moyen d'une
langueeuropenne rendrait l'ouvrage
accessible seulement la minorit
des gens qui a jusqu'ici t linguisti-
quement occidentalise.
This book Lingala-Kiswahili is
the first of our sries, published
in 1975. It is being reprinted now
because its success made it out of
stock in 197$, less than a year
after it was first published. Since
then we hve received several
requests to issue this second dition.
Ce livre Lingala-Kiswahili est le
premier de notre dition, qui a
paru en 1975. Nous le rditons
maintenant parce que le succs
qu'il a eu l'a fait puiser en 1976.
moins d'un an aprs la premire
dition. Depuis lors nous avons
reu plusieurs demandes pour faire
paratre cette seconde dition.
LITEYA YA YAMBO
KOPESANA MBOTE
1. Mbote ? 1.
2. Ee, mbote 2.
3. Mbote tat 3.
4. Mbote marna 4.
5. tat, mbote ? 5.
6. Ee mbote 6.
7. marna mbote ? 7.
8. Ee mbote 8.
9. Sango nini ? 9.
10. Sango malamu 10.
11. Sango nini, tat ? 11.
12. Sango malamu, marna 12.
13. Sango nini, marna ?
13.
14. Sango malamu, tat 14.
15. Tongo malamu ? 15.
16. Ee,malamu 16.
17. Moi malamu ?
17.
18. Pokwa malamu ? 18.
19. Sango nini ya moi, tat ?
19.
20. Sango nini ya pokwa, tat ?
20.
21. Sango nini ya tongo, tat ? 21.
22. Sango nini ya but ? 22.
23. Sango nini ya but, marna ?
23.
24. Sango nini ya tongo, marna ?
24.
25. Sango nini ya pokwa, marna ?
25.
26. Tikl malamu, tat
26.
27. Tikl malamu, marna
27.
MIMEKANO
SOMO LA KWANZA
KUSALIMIANA
Hujambo ?
Ndio, Sijambo
Hujambo, bwana ?
Sijambo, bibi
Bwana, hujambo ?
Ndio, sijambo
Bibi, hujambo ?
Ndio, sijambo
Habari gani ?
Habari njema
Habari gani, bwana ?
Habari njema, bibi
Habari gani, bibi ?
Habari njema, bwana
Habari za asubuhi njema ?
Ndio, ni njema
Habari za mchana njema ?
Habari za jioni ?
Habari za mchana, bwana ?
Habari za jioni, bwana ?
Habari za asubuhi, bwana ?
Habari gani za usiku ?
Habari za usiku, bibi ?
Habari za asubuhi, bibi ?
Habari za jioni, bibi ?
Kwaheri, bwana
Kwaheri, bibi
MAZOEZI
A. Loba maloba yo :
1. sango nini, tat
2. sango nini, mam
A. Sema maneno haya :
1. Habari gani, bwana ?
2. Habari gani, bibi ?
3. sango ya moi malmu ?
4. sango ya but malmu ?
5. mbote mingi
B. Yanl mitna yo :
1. nani alobi : mbote tat ?
2. nani alobi : mbote marna ?
3. nani alobi : tikl malmu, ma
rna
4. nani alobi : tikl malmu, ta
t
5. nani alobi : ee, mbote, marna....
6. nani alobi : ee, mbote, tat
C. Srti's maloba yo :
1. mbte ?
2. ee, mbote
3. sango ?
4. sango
5 ya tongo ?
6 ya moi ?
7 ya pokwa ?
8 ya but ?
Maloba ya litya oyo
1. mbte ?
2. ee, mbte
3. mbte mingi
4. sango
5. malamu
6. tat
7. marna
8. nani ?
9. nini ?
10.tng
11. moi
10
3. Habari za mchana njema ?
4. Habari za usiku njema ?
5. Sijambo sana
B. Jibu maswali haya :
1. Nani anasema : Hujambo, bwa
na ?
2. Nani anasema : Hujambo, bibi?
3. Nani anasema : kwaheri, bibi ?
4. Nani anasema: kwaheri,bwa
na ?
5. Nani anasema:sijambo,bibi?...
6. Nani anasema : sijambo, bwa
na ?
C. Maliza misemwa hii
1. Hujambo ?
2. Ndio, sijambo
3. Habari ?
4. Habari
5 za asubuhi ?
6 za mchana'?
7 za jioni ?
8 za usiku ?
Maneno ya somo hili
1. Hujambo ?
2. Ndio, sijambo
3. Sijambo sana
4. Habari
5. njema
6. bwana
7. bibi
8. nani ?
9. gani ?
10. asubuhi
11. mchana
12. pokwa
13. but
14. mimekano
15. maloba
16. mitna
17. yanl (koyanola)
18. alobi (koloba)
19. maloba
20* slis (kosl'Usa)
21. tikl malmu
22. litya (matya)
23. yo
24. na
12. jioni
13. usiku
14. mazoezi
15. maneno
16. maswali
17. jibu (kujibu)
18. anasema (kusema)
19. maneno
20. maliza (kumaliza)
21. kwaheri
22. somo (masomo)
23. hili
24. na
II
LITEYA YA MIBALE
KOYAMBANA
1. kkk
2. kt
3. kkk na ndko ?
4. kt na ndko
5. Y wn mbuta Bolingo
6. Y wn marna Zikida
7. mbuta-mtu abti kokoko
8. mbuta-mwsi abti kkk
9. mbuta Bolingo abti kkk
10. marna Zikida abti kkk
11. mbuta Bolingoalobi : kkk
12. mbuta Bolingo ayanli : k
kk
13. mam Zikida alobi : kt
14. mam Zikida ayanli : kt
15. kt, mbuta Bolingo
16. kt, mam Zikida
17. kt na ndko, mbuta-mtu
18. kt na ndko, mam
19. vnd, mbut-mtu
20. vnd, mam
21. nalobi kkk
22. Nayanli : kt
23. nabti kkk
24. nayambi mopaya
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. mbuta-mtu abti mwsi
2. vnd na ndko
3. kt na ndko
12
SOMO LA PIU
MAKARIBISHO
1. Hodi
2. Karibu
3. Hodi nyumbani ?
4. karibu nyumbani
5. Hodi, bwana Mapendo
6. karibu Bi. Zikida
7. Bwana anapiga Hodi
8. Bibi anapiga Hodi
9. Bwana Mapendo anapiga Hodi
10. Bi. Zikida anapiga Hodi
11. Bwana Mapendo anasema Hodi
12. Bwana Mapendo anajibu Hodi
13. Bi. Zikida anasema Karibu
14. Bi. Zikida anajibu Karibu
15. Karibu, Bwana Mapendo
16. Karibu, Bi. Zikida
17. Ingia nyumbani, bwana
18. Ingia nyumbani, bibi
19. Kaa, bwana
20. Kaa, bibi
21. Ninasema hodi
22. Ninajibu karibu
23. Ninapiga hodi
24. Ninakaribisha mgeni
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Bwana amempiga bibi
2. Kaa nyumbani
3. Ingia nyumbani
4. mam Zikida ayambi y
5. mbuta Bolingo ayanli
6. nalobi na mam Zikida
7. nayanoli mbuta-mtu
B. Yanl mitn yo :
1. mbuta Bolingo abti nini ?
2. mam Zikida ayanli nini?
3. nani akti na ndko ?
4. nani avndi ?
5. nni alobi : kkk ?
6. nni alobi : kt ?
C. Silis maloba yo :
1. mbuta-mtu abti
2. mam ayanli
3 na ndko, mbuta-mtu
4 na ndko, mam
5. mopaya alobi
6. mam alobi
7. vnd
Maloba ya sika :
1. kkk
2. kt
3. nabti (kobt)
4. abti
5. abti y
6. ayanli (koyanola)
7. nayanoli y
8. nalobi (koloba)
9. nalobi
10. nayambi (koyamba)
11. ayambi y
12. kt (kokota)
13. vnd (kovnda)
14. mbuta Bolingo
15. mam Zikida
16. mopaya (bapaya)
4. Bi. Zikida amemkaribisha
5. Bwana Mapendo amejibu
6. Nimesema na Bi. Zikida
7. Nimemjibu bwana
B. Jibu maswali haya :
1. Bwana Mapendo anapiga nini?
2. Bi. Zikida anajibu nini ?
3. Nani anaingia nyumbani. ?
4. Nani anakaa ?
5. Nani anasema : Hodi ?
6. Nani anasema : karibu ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Bwana anapiga
2. Bibi anajibu
3 nyumbani, bwana
4 nyumbani, bibi
5. Mgeni anasema
6. Bibi anasema
7. Kaa
Maneno mapya :
1. hodi
2. karibu
3. ninapiga (kupiga)
4. anapiga
5. amempiga
6. anajibu (kujibu)
7. nimemjibu
8. ninasema (kusema)
9. nimesema
10. ninakaribisha (kukaribisha)
11. amemkaribisha
12. ingia (kuingia)
13. kaa (kukaa)
14. Bwana Mapendo
15. Bi. Zikida
16. mgeni (wageni)
13
17. (na) ndko 17. nyumba (-ni)
18. ya sika 18. mapya
19. nini 19. nini
20. mbuta-mtu 20. bwana
21. mbuta-mwsi/ mam 21. bibi
14
LITEYA YA MISATO
KOMLAKISA
1. Y nni ?
2. Ngi Bolingo
3. Nkmb na y nni ?
4. Nkmb na ngi Bolingo
5. Y nni, mbuta-mtu ?
6. Ngi Bolingo
7. Y nni, mam ?
8. Ngi Zikida
9. Nkmb na y nni, mam ?
10. Nkmb na ngi Zikida
11. Sango nini, Mbuta Bolingo ?
12. Sango malmu
13. Sango nini, Mam Zikida ?
14. sango malmu, mbuta-mtu
15. Mbte, Mbuta Bolingo
16. Ee, mbte, mam Zikida
17. Sango nini, mbuta Bolingo ?
18. malmu mbuta-mtu
19. Sango nini, mam Zikida ?
20. Malmu, mbuta-mtu
21. Tikl malmu, mam
22. Kend malmu
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Nkmb na y Bolto
2. Nkmb na y mam Lki
3. Tikl malmu Bolto
4. Tikl malmu Lki
5. Kend malmu Bolingo
6. Kend malmu Lki
SOMO LA TATU
KUJIJULISHA
1. Wewe nani ?
2. Mimi ni Mapendo
3. Jina lako nani ?
4. Jina langu Mapendo
5. Wewe ni nani, Bwana ?
6. Mimi ni Mapendo
7. Wewe ni nani, Bibi ?
8. Mimi ni Zikida
9. Jina lako ni nani, Bibi ?
10. Jina langu ni Zikida
11. Habari gani, Bwana Mapendo?
12. Habari njema
13. Habari gani, Bi-Zikida ?
14. Habari njema, bwana
15. Hujambo, Bwana Mapendo ?
16. Ndio, sijambo, Bi-Zikida'
17. Habari gani, Bwana Mapendo?
18. Njema, Bwana
19. Habari gani, Bi-Zikida ?
20. Njema, Bwana Mapendo
21. Kwaheri, bibi
22. Kwa kuonana
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Jina lake Bolto
2. Jina lake Marna Mdogo
3. Kwaheri Bolto
4. Kwaheri Marna Mdogo
5. Kwaheri kwa kuonana Mapendo
6. Kwaheri kwa kuonana Mdogo
15
B. Yanl mitn yo :
1. Ngi nni ?
2. Nkmb na ngi nni ?
3. Mam Zikida alobi nini ? ....
4. Mbuta Bolingo alobi nini ? .
5. Mam Zikida andimi boni ?
6. Mopaya alobi nini ?
C. Silit maloba yo :
1. Y ?
2 na y nni ?
3. Ngi
4. Nkmb na ngi
5 nini mbuta-mtu ?
6. Mbte
7 malmu
Maloba ya sika :
1. Nkmb
2. Tikl malamu
3. Kend malamu
4. Kotikala malmu
5. Kokende
6. Boni ?
16
B. Jibu maswali haya :
1. Mimi nani ?
2. Jina langu nani ?
3. Bi. Zikida anasema nini ?
4. Bwana Mapendo anasema nini ?
5. Bi. Zikida anajibu je ?
6. Mgeni anasema nini ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Wewe ni ?
2 lako nani ?
3. Mimi ni
4. Jina langu
5 gani, bwana?
6. Hujambo ?
7 njema,
Maneno mapya
1. Jina
2. Kwaheri
3. Kwaheri kwa kuonana
4. Kubaki vema
5. Kwenda
6. Je?
LITEYA YA MINEI SOMO LA NNE
OLOBAKA NDINGA NINI ? WEWE HUSEMA LUGHA GANI ?
1. Olobaka nini ?
2. Nalobaka elko t
3. Oybi monoko nini ?
4. Nalobaka monoko ya Lingla
5. Oybi kiswahili ?
6. Naybi kiswahili mok
7. Mopaya aybi Lingla
8. Mopaya aybi Kiswahili mok
9. Mopaya nd Mbuta Bolingo
10. Mbuta Bolingo aybi Lingla ?
11. Mam Zikida aybi kiswahili
malmu
12. Monoko ya Mbuta Bolingo
nd Lingla
13. Monoko ya Mam Zikida nd
Kiswahili
14. Mam Zikida alobaka Lingla
mok
15. Mam Zikida alobaka minoko
mingi
16. Mbuta Bolingoazali koykola
Lingla
17. Mam Zikida azali koykola
kiswahili
18. Mbuta Bolingo azali koykola
kiswahili
19. Mam Zikida aybi koloba
Kiswahili
20. Oybi lingla ?
21. Naybi lingla t
22. Oybi kiswahili ?
23. Naybi kiswahili
1. Wewe husema nini ?
2. Sisemi kitu
3. Unajua lugha gani ?
4. Nasema lugha ya Lingla
5. Unajua kiswahili ?
6. Najua kiswahili kidogo
7. Mgeni anajua lingla
8. Mgeni anajua kiswahili kidogo
9. Mgeni ni Bwana Mapendo
10. BwanaMapendo anajualingla ?
11. Bi-Zikida anajua kiswahili vi-
zuri
12. Lugha ya Bwana Mapendo ni
Lingla
13. Lugha ya Bi-Zikida ni Kiswa
hili
14. Bi-Zikida husema lingla kido
go
15. Bi-Zikida husema lugha nyi-
ngi
16. Bwana Mapendo anajifunza
lingla
17. Bi-Zikida anajifunza kiswahili
18. BwanaMapendo anajifunza ki
swahili
19. Bi-Zikida anajua kusema ki
swahili
20. Unajua lingla ?
21. Sijui lingla
22. Unajua kiswahili ?
23. Najua kiswahili
17
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Nalobaka lingla t
2. Nalobaka kiswahili t
3. Nalobaka ndinga mingi t
4. Nalobaka lingla malmu t
5. Nalobaka kiswahili malmu t
6. Naybi kiswahili malmu t
7. Naybi lingla t
8. Naybi minoko mingi t
9. Naybi lingla malmu t
10. Naybi kiswahili malmu t
11. Naybi koloba ndinga mingi
12. Naybi koloba lingla n ki
swahili
13. Naybi koloba kiswahili mal
mu
14. Naybi koloba lingla malmu
15. Naybi koloba kiswahili mok
16. Naybi koloba lingla mok
17. Nazali kolakisa minoko mingi
18. Nazali koykola kiswahili n
lingla
B. Sils maloba yo :
1. Mopaya aybi koloba minoko.,
2. Mbuta-mtu kiswa
hili
3. Mam ling
la
4. Mbuta Bolingo aybi koloba
n
5." Mam Zikida aybi koloba ....
n
6. Mopaya aybi lingla t
7 t
8 t
18
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Sisemi lingla
2. Sisemi kiswahili
3. Sisemi lugha nyingi
4. Sisemi lingla vizuri
5. Sisemi kiswahili vizuri
6. Sijui kiswahili vizuri
7. Sijui lingla
8. Sijui lugha nyingi
9. Sijui lingla vizuri
10. Sijui kiswahili vizuri
11. Ninajua kusema lugha nyingi
12. Ninajua kusema lingla na ki
swahili
13. Ninajua kusema kiswahili vi
zuri "--
14. Ninajua kusema lingla vizuri
15. Ninajua kusema kiswahili ki
dogo
16. Ninajua kusema lingla kidogo
17. Ninafundisha lugha nyingi
18. Ninajifunza kiswahili na ling
la
B. Maliza misemwa hii :
1. Mgeni anajua kusema lugha
2. Bwana kiswahili
3. Bibi lingla
4. Bwana Mapendo anajua kuse
ma na
5. Bi Zikida anajua kusema
na
6. Mgeni hajui lingla
7 hajui
8 hajui
9.
10.
kiswahili t
minoko t
G. Yanl mitn yo :
1. Mopaya alobaka lingla mal
mu ?
2. Mopaya aybi kiswahili mal
mu ?
3. Mwasi alobaka lingla n kiswa
hili ?
4. Mbuta-mtu aybi koloba mo
noko nini ?
5. Mbuta-mtu aybi elokot ? ...
6. Nni aybi koloba minoko mi
ngi ?
7. Nni azali kolakisa monoko ?...
8. Nni azali koykola kiswahi
li ?
Maloba ya sika :
1. Nalobaka
2. Olobaka (koloba)
3. Alobaka
4. Nalobaka t (koloba t)
5. Aybi
6. Oybi
7. Naybi (koyba)
8. Naybi t (koyba t)
9. Azali kolakisa (kolakisa)
10. Azali koykola (koykola)
11. Elko (biloko)
12. Mok
13. Monoko
14. Malmu
15. Mingi
9 hajui kiswahili
10 hajui lugha
C. Jibu maswafi haya :
1. Mgeni husema lingla vizuri ?
2. Mgeni anajua kiswahili vizuri ?
3. Bibi husema lingla na kiswa
hili ?
4. Bwana anajua kusema lugha
gani ?
5. Bwanahajui nini ?
6. Nani anajua kusema lugha nyi
ngi ?
7. Nani anafundisha lugha ?
8. Nani anajifunza kiswahili ?
Maneno mapya
1. Nasema
2. Unasema (kusema)
3. Asema
4. Sisemi (kutosema)
5. Anajua
6. Unajua
7. Ninajua (kujua)
8. Sijui (kutojua)
9. Anafundisha (kufundisha)
10. Anajifunza (kujifunza)
11. Kitu (vitu)
12. Kidogo
13. Lugha
14. Vizuri
15. Nyingi
19
LITEYA YA MITANO
OYO NANI ?
1. Oyo nni ?
2. yo azali mwna na ngi
3. Ozali na bna boni ?
4. N azali na bna misto
5. Mwna yo azali na mbla
boni ?
6. Mwna yo azali na mbla mi
bal
7. Bna wn bna na ngi t
8.. Bna yo bazali bna boni ?
9. Bna yo bazali mibal
10. Bna yo bazali bna ya mbu
ta Bolingo
11. Mopaya yo nni ?
12. Mopaya yo azali mwna ya
Mam Zikida'
13. Mam Zikida azali na bapaya
boni ?
14. Mam Zikida azali namo aya
mk pmba
15. Bapaya mossu naybi bang
t
16. Bato yo bapaya t
17. Bato wn baning na ngi
18. Moto yo aybi ndinga mingi
19. Moto wn azali mayle
20. yo azali tat na mwna
21. Mam na mwna azali mwasi
na ngi
20
SOMO LA TANO
HUYU NI NANI ?
1. Huyu ni nani ?
2. Huyu ni mtoto wangu
3. Una watoto wangapi ?
4. Nina watoto watatu
5. Mtoto huyu ana miaka minga-
pi?
6. Mtoto huyu ana miaka miwili
7. Watoto wale si watoto wangu
8. Watoto hawa ni wangapi ?
9. Watoto wale ni wawili
10. Watoto hawa ni watoto wa
bwana Mapendo
11. Mgeni huyu ni nani ?
12. Mgeni huyu ni mto^o wa Bi
Zikida
13. Bi.Zikida ana wageni wanga-
pi?
14. Bi.Zikida ana mgeni mmoja
tu
15. Wageni wengine siwajui
16. Watu hawa si wageni
17. Watu wale ni rafiki zangu
18. Mtu huyu anajua lugha nyingi
19. Mtu yule ni mwerevu
20. Huyu ni baba wa mtoto
21. Mama wa mtoto ni bibi yangu
MIMEKANO
A Loba maloba yo :
1. Mwna yo azali wa ngi
2. Bna yo bazali ba ngi
3. Mwna wn azali wa y
4. Bna wn bazali ba y
5. Mopaya yo azali na mbla
mingi
6. Bapaya yo bazali na mbla
mingi
7. Moto wn azali mopaya
8. Bato wn bazali bapaya
9. Mopaya yo azali moning na
ngi
10. Mopaya wn azali moning
na y
B. Yanl mitn yo :
1. Mwna na y azali na mbla
boni ?
2. Mwna yo alobaka minoko
boni ?
3. Bna wn balobaka monoko
nini ?
4. Bapaya na y bazali bapaya
boni ?
5. Oybi bato yo ?
6. Mopaya wn azali koykola
nini ?
7. Mwna na y aybi kiswahili ?
8. Tat yo azali kolakisa lingla ?
C. Silis maloba yo :
1. Bato bazali ba ngi
2. Moto yo azali
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Mtoto huyu ni wangu
2. Watoto hawa ni wangu
3. Mtoto yule ni wako
4. Watoto wale ni wako
5. Mgeni huyu ana miaka mingi
6. Wageni hawa wana miaka mi
ngi
7. Mtu yule ni mgeni
8. Watu wale ni wageni
9. Mgeni huyu ni rafiki yangu
10. Mgeni yule ni rafiki yako
B. Jibu maswali haya
1. Mtoto wako ana miaka ming-
pi ? .ai
2. Mtoto huyu asema lugha nga-
Pi?
3. Watoto wale wasema lugha ga
ni ?
4. Wageni wako ni wangapi ?
5. Unajua watu hawa ?
6. Mgeni yule anajifunza nini ?
7. Mtoto wako anajua kiswahili ?
8. Baba huyu anafundisha lingla?
C. Maliza misemwa hii :
1. Watu ni wangu
2. Mtoto huyu ni
Sf
3. Bapaya wn baybi
4. Bna yo balobaka mal
mu
5. Mam na ngi aybi mok
Maloba ya sika :
1- Mwna (bna)
2. Moto (bato)
3. Oyo (yo)
4. Wn (wn)
5. Tat (batat)
6. Mam (bamam)
7. Mwasi (bsi)
8. Moning (baning)
9. Mayle
10. Mk
11. Boni
12. Mbla (mbla)
13. Naybi bang t (koyba ba
ng t)
14. Mibal (bbal)
15. (Mk) pmba
16. Alobaka
17. Nalobaka
22
3. Wageni waJe wanajua
4. Watoto hawa wasema vi
zuri
5. Mama yangu anajua kidogo
Maneno mapya :
1. Mtoto (watoto)
2. Mtu (watu)
3. Huyu (hawa)
4. Yule (wale)
5. Baba (wababa)
6. Mama (wamama)
7. Bibi (mabibi)
8. Rafiki (marafki)
9. Mwerevu
10. Mmoja
11. Ngapi
12. Mwaka (miaka)
13. Siwajui (kutowajua)
14. Miwili (wawili)
15. (Moja) tu
16. Asema
17. Nasema
LITEYA YA MOTOBA
MBOKA NA YO
1. Bolingo azali mopaya
2. Y azali mwna-mbka t
3. Mbka na ngi Tanzania
4. Mbka na y m'ni, mam ?
5. Mbka na ngi Zaire
6. N azali mwna-mbka
7. Nazali mopaya t
8. Mopaya abti kkk
9. Mwna-mbka ayambi mopa*
ya
10. Mopaya aybi monoko nini ?
11. Mopaya azali koloba kiswa
hili
12. Kiwahili monoko ya Tanza
nia
13. Mwna-mbka azali .koloba
monoko nini ?
14. Y alobaka lingla
15. Lingla monoko ya Zaire
16. Bolingo abti kkk na li
ngla
17. Zikida abti kkk na lingla
18. Zikida ayambi Bolingo
19. Mbuta Bolingo n mam Ziki
da bavndi
20. Bolingo n Zikida balobaka
kiswahili
21. Bato ya Tanzania balobaka
kiswahili
22. Bato ya Zairebalobaka lingla
23. Bato ya Zaire bazali koykola
kiswahili
SOMO LA SITA
NCHI YAKO
1. Mapendo ni mgeni
2. Yeye si mwana-nchi
3. Nchi yangu Tanzania
4. Nchi yako gani, bibi ?
5. Nchi yangu Zaire
6. Mimi ni mwana-nchi
7. Mimi si mgeni
8. Mgeni anapiga hodi
9. Mwana-nchi anamkaribisha
mgeni
10. Mgeni anajua lugha gani ?
11. Mgeni anasema kiswahili
12. Kiswahili ni lugha ya Tanzania
13. Mwana-nchi anasema lugha ga
ni ?
14. Yeye asema lingla
15. Lingla ni lugha ya Zaire
16. Mapendo anasema hodi katika
lingla
17. Zikida anapiga hodi katika li
ngla
18. Zikida anamkaribisha Mapendo
19. Bwana Mapendo na Bi Zikida
wanakaa
20. Mapendo na Zikida husema
kiswahili
21. Watu wa Tanzania husema
kiswahili
22. Watu wa Zaire husema lingla
23. Watu wa Zaire wanajifunza
kiswahili
23
24. Bato ya Tanzaniabazali koy
kola lingla
M1MEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Ngi nazali mwna-mbka ya
Zaire
2. Y ozali: ya Tanzania
3. Y azali ...... Kenya
4. Ngi nazali ...... Uganda
5. Wewe ..... Burundi
6. Y azali ...... Nijeri
7. Ngi nazali .......Ghana
8. Y ozali Zimbabwe
9. Y azalir...... ljeri
10. Ngi nazali moto ya False t
11. Y.ozali ...... t ,
12. Y azatf >!.. t ;
13. Bis tozali bato "ya False t
14. Mbka na ngi ^getsa t ,
15. Mbka nabis Ngelsa t
16. Mbka.nay Zimbabwe
17. Lifaias'ezali ndinga y'Flse
18. Angel. ezajf ndinga yaNgelsa
B. Yariia' mitun yo' ^ ^ v
i1. Btaiya;Eals, ,bJobaka n^i-
nga nmiv?^;/.>," j, -'.: M[
2. Bato ya Aljert.bajobaka ndi-
->;::-(: rigariini? 4in*..v::.>; .02
3. Bna-mbka yiZaire;ibaloba
ka-ndinga boni? ^...-i c
4. Mbka na yo-ezali,nini ?
5. Mopaya azatflkobta Jrkpk
s.. : j ndinga yay ?W-'5
r.5
24
24. Watu wa Tanzania wanajifunza
lingla
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Mimi ni mwana-nchi wa Zaire
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
(,9.
10.
11.
12^
W:
14.
is:
i'r:
18.
Wewe vr-f Tanz?mja
Yeye ...:
Mimi ....... Uganla
Wewe ...... $urundi
Yeye ,.v,^lyeriaM ,
Mimi ...<f, Ghana p , .
Wewe . ..; ^in^aW?
.Xe^.rv:'Aii^/..!,'...;.. .
Mimi si mfaransa
Wewe si
Yeyes> ...... '
Sisi si wfaraftsa . '
Nchi yangu si Uingeireza
Nchi ytisi'mgrz" '
Nchi yake ni Zimbabwe
Mfaransa ni lugha ya'tJfaransa
Kingerzf,hi 'ltlgha'Va Uinge-
19.Kiarbo1ezau;!na^a^i }9.i hl^W^ y^Aljbfia
!ByJibumsWlilhay*,:. i j\
1. Waf^ansa^^usema;!lugba jga-
2. Wana-nchi wa AJjena husema
3. Wana-nchi wa, Zare husema
4. Nchi yalco n^gani ?!
6. Mbuta Bolingo avndaka w-
P1
7. Mopaya wn ati wpi ?
8. Bna-mbka yo bazali koy
kola nini ?
9. Mama Zikida aslaka wpi ? ...
10. Mwna na y aykolaka nini
na kclsi ?
C. Silis maloba yo :
1. Y ozali ya Zare
2. Kiswahili ezali ya Tanza-
... -nia. .; .iM i. ;
3. Bato ya Zare balobaka
4. Bato ya Tanznabalobaka....
5. ..:;.. zal i ndnga' malrriu
6. mopaya kiswahili mok
Maloba ya sika : ; ;
i;!).!!!:-.-.- .'! ) r i!i;!t;i! U-:> -
l.,Mbpka . u.-l^.-.ii'.id /m
2. Mwna-mbka (bna-mbka)
in3;;Balpbaka[(k^Ipba), -, i, -
4. Nazali, ozali,),azah'. ,,.;..
.^-iiTyii:<!,.] ,'.pj/'j<;Mj) i'.t-.''/.'*
6. Lifalse (False), j, i.,.
.T.fAngel^Ngel^sa)],, r ; i :
8. Mofalse (bafalse);,;
9. Kjarbo , rj,-,{, .,,, ,-, ;; /. : :
10. Ndinga
11iNalingi (kqhrjga) i...,...,,i: .
^i,,-. ':uiw.:-i;',:,i ,c
6. Bwana Mapendo hukaa wapi?
7. Mgeni yule anatoka wapi ? ....
8. Wana-nchi hawa wanajifunza
nini ?
9. Bi. Zikida afanya kazi wapi ? .
10. Mtoto wake hujifunza nini
shuleni ?
C. Maliza triisemwa hii :
1. Wewe ni wa Zaire,
2. Kiswahili ni....... ya Tanzania
3. Wana-nchi wa Zaire husema)...
4. Wana-nchi wa Tanzania huse
ma
5. ...... ni lugha nzuri
6. Mgeni kiswahili kidogo
Maneno mapya': ;
l.Nchi : . ..y,.,,. ;..,;.. \\
2. Mwana-nchi (wana-nchi)
3- Husema.(Husema) ; f
4. Ni, u, a...,,,.. ':.-.!;....;.,. ;
,5.. Hapana., .,.;.,..,,:., .. x\
6. Kifaransa (ufaransa) .
7. Kiingereza. (l| ingereza) | ,
8. Mfaransa (wafaransa)
9. Kiarabu , : < ; ? f
10. Lugha
11. Ninapenda (kupenda),. . ,
.: mI::;;..J>".-' .O
'25
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
LITEYA YA SAMBO
KOYAMBANA
Mbte, moning wa bolingo
Yk na kti ya ndko
Olembi ?
e, nalembi mok
Opsa ngi mai rimela
Ollki mosik ?
Ee, nallki na mbka Kinsh-
sa
8. Olongwki na Kinshasa na
tng ?
9. Ee, nalongwki na Kinshasa
tng penz
10. Naliki na tng t
11. Bng oykki nzala nanzel
t ?
12. Naykki mw nzala, kasi na-
kangki motma
13. Mp olingki kokma wa
noki ?
14. Ya solo, nalingaki t kokma
wa na but
15. Mobmbo ya but ezali mal
mu t
16. Otikki bnan mwasi na y
boni ?
17. Natikkibang nyso malmu
mpenz
18. Ngimp nazalaki na Kinshasa
19. Molung ezalki mingi ?
20. Likambo t, bis bna Afilika
tomesni na molung
21. Tobtmki ndng wn
26
SOMO LA SABA
KUPOKEANA
1. Karibu, rafiki mpenzi
2. Njoo nyumbani
3. Unachoka ?
4. Ndio, nachoka kidogo
5. Tafadhali nipe maji nikanywe
6. Ulilala mbali ?
7. Ndio, nililala katika mji wa
Kinshasa
8. Ulitoka Kinshasa asubuhi ?
9. Ndio, nilitoka Kinshasa asubu
hi sana
10. Sikula chakula cha asubuhi
11. Hivyo hukusikianjaa njiani ?
12. Nilipata njaa kidogo, lakini
nikavumilia
13. Kwani ulipenda kufika hapa
mbio ?
14. Ndio, sikupenda kufika hapa
usiku
15. Safari ya usiku si njema
16. Uliwaacha watoto na bibi ya-
ko je ?
17. Nihwaacha wote wazima sana
18. Mimi pia nilikuwa Kinshasa
19. Kulikuwa joto sana ?
20. Si kitu, sisi wa Afrika tuna-
zoea joto
21. Tulizaliwa hivyo
MIMEKANO
A. Lob maloba yo
1. Nalingaki
Olingki
Alingki
tolingki
bolingki
balingki
2. Nalingaki t tolingki t
Olingki t bolingki t
Alingki t balingki t
3. Naykki nzala, mp naliki
biloko
4. Oykki molung, mp ome-
lki mai
5. Azwki kiti, mp avndki
mok
6. Y mp ozalki na mobmbo
7. Y mp azalki na mobmbo
8. Ski olingi, ya na ndko
9. Ski olingi, vnda na kiti
10. Ski olingi, pma mok
B. Yanl mitn yo :
1. Nni nd moning na y ? 1.
2. Moning na y ati mbka 2.
nini ?
3. Olongwki na ndko nabut ? 3.
4. Mopaya ayki nabna na y ? 4.
5. Bis bato ya Afilika tokangaka 5.
motma mp ya molung t ?
C. Silis maloba yo :
1. Ski olingi, ps ngibilko ya
kolia
2. Ski olingi, kta
3. Nalongwki na tng
4. Nakmki mp nallki
5. Mopaya atikki bna n
6. Allki na mbka ya
MAZOEZI
A. Sema maneno haya
1. Nilipenda
Ulipenda
Alipenda
2. Sikupenda
hukupenda
Hakupenda
tulipenda
mlipenda
walipenda
hatukupenda
hamkupenda
hawakupenda
3. Nilisikia njaa, nikala chakula
4. Ulisikia joto, ukanywa maji
5. Alipata kiti, akakaa kidogo
6. Wewe pia ulikuwa safari
7. Yeye pia alikuwa safari
8. Tafadhali njoo nyumbani
9. Tafadhali kaa kitini
10. Tafadhali pumzika kidogo
B. Jibu maswali haya
Nani ni rafiki yako ?
Rafiki yake anatoka nchi gani ?
Ulitoka nyumbani usiku ?
Mgeni atifikanawatotowake ?
Sisi waafrika hatuvumilii joto ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Tafadhali, nipe chakula
2. Tafadhali, ingia
3. Nilitoka asubuhi
4. Nilifika nikalala
5. Mgeni aliwaacha watoto na
6. Alilala katika nchi ya
27
7. Ayklki lingla
8. Alingki kokma na t
Maloba ya sika :
1. Moning wa bolingo
2. Ski olingi
3. Olembi (kolemba)
4. Ps ngi
5. Nallki (kolla)
6. Nalongwki (kolongwa)
7. Nalfki t (kolia t)
8. Azwki (kozwa)
9. Nakangki mp motma
(kokanga motma)
10. Mp
11. Mobmbo
12. Otikaki bang (kotik bang)
13. Nazalaki mp (kozala mp)
14. Mp (kozala mp)
15. Tomesni (komesene)
16. Tobotmaki (kbbtma)
17. Nmela (komla)
18. Noki
19. Nabut.....
20. Bng
21. Naykki (koyka)
22. Molung
<*'' <~ t..' ' i;i;
.28
7. Alijifunza lingla
8. Hakupenda kufika
Maneno mapya :
1. Rafiki mpenzi
2. Tafadhali, ukipenda
3. Unachoka (kuchoka)
4. Nipe
5. Nililala (kulala)
6. Nilitoka (kutoka)
7. Sikula (kutokula)
8. Alipata (kupata)
9. Nikavumilia (kuvumilia)
10. Kwani
11. Safari
12. Uliwaacha (kuacha)
13; Nilikuwa pi (kuwa pia)
14. Pia (kw pia) '
15. Tunza (kuzoea)
16. Tulizaliwa (kuzaliwa) '
17. Nikanywe (kunywa)
18. Mbio -
19. Usiku
20. Hivyo,
21. Nilisikia (kusikia)
22. Joto
LITEYA YA MWAMBI
BABOTI
1. Babti ba y bazali malmu ?
2. Ee, bazali malmu mingi
3. Ozali na bandeko boni ?
4. Bis nyso elong tozali bato
motb na kti ya ndko
5. Ski olingi, tngbang mk
mk
6. Babti nd tat na mam
7. Nazali na bandeko-bsi mibal
n bandeko-mibli misto
8. Bng bozali bato mwambi,
mpo omitngki t
9. Ski mp natngi bank, to-
kozala ebel
10. Moto na moto na kti ya bin
aslaka mosl m'ni ?
11. Tat azali mokabinda, ndeko-
mwsi mk n bandeko-mib
li mibal bazali bna ya kelsi
12. Ngi mk nazali kalka
13. Mp ya nini otngki t mos
l ya mam na y ?
14. Mam aslaka mosl t
15. Bandeko mossu baslaka ni
ni ?
16. Bang bazah' naino bna mik
17. Mam na y atikalaka na ba
ng na ndko ?
18. Ee
19. Boye, mosl ya mam na y
ezali nd kokngele balki na
y ?
SOMO LA NANE
WAZAZI
1. Wazazi wako ni wazima ?
2. Ndio ni wazima sana
3. Una wajamaa wangapi ?
4. Sisi wote pamoja tupo watu
saba nyumbani
5. Tafadhali, uwataje moja moja
6. Wazazi ndio baba na mama.
7. Nina dada wawili na ndugu
watatu
8. Kumbe mpowatuwanane, kwa-
ni hultujihesabu
9. Nikihesabu pia wajomba, tuta-
kuwa kundi
10. Kila moja wenu afanya kazi
gani ?
11. Baba ni msermala, dada moja
na ndugu wawili ni watoto wa
masomo
12. Mimi mwenyewe ni karani
13. Sababu gani hukutaja kazi ya
mama yako ?
14. Mama hafanyi kazi
15. Wandugu wengine wanafanya
nini ?
16. Wao ni watoto wadogo bado
17. Mama yako anabaki nao nyu
mbani ?
18. Ndio
19. Hivyo kazi ya mama yako ni
kuwachunga wadogo wako
29
20. Ya sl, kokngele bna ezali
mosl mok t
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Tat azali malmu mingi, kasi
mam azali malli
2. Mwna mk azali mw ma
lli
3. Bna misto bazali malmu
mingi
4. Ndeko-mwsi na ngi akenda-
ki na Kinshasa
5. Moto na moto na kti ya bis
aybi kiswahili
6. Ebel ya bapaya ezali na nd
ko
7. Balki na ngi minei bazali
naino bna mik
8. Ski bayki nzala, nakopsa
bang mable
9. Ski nakmi na Zaire, nako-
ykola lingla
10. Ski bapaya batngi mbngo,
ps bang bakiti ya kopma.
B. Yanl mitna yo :
1. Ski tat na y azali malli,
okosla boni ?
2. Ski nk na y akei mob
mbo, okotikala wpi ?
3. Ndeko na bang alingi mosl
ya kalka ?
4. Mam aslaka mosl nini ? ...
5. Mp ya nini ozali t koykola
kiarbo ?
30
20. Ndio, kuchunga watoto si kazi
ndogo
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Baba ni mzima sana lakini
mama ni mgonjwa
2. Mtoto mmoja ni mgonjwa ki
dogo
3. Watoto watatu ni wazima sana
4. Dada yangu alikwenda Kinsha
sa
5. Kila moja wetu anajua Kiswa
hili
6. Kundi la wageni lipo.nyumba
ni
7. Wadogo wanguwanne ni wato
to wadogo bado
8. Wakisikia njaa, nitawapa mazi-
wa
9. Nikifika Zaire, nitajifunza li
ngla
10. Wageni wakihesabu mali, uwa-
pe viti vya kupumzikia
B. Jibu maswali haya :
1. Baba yako akiwa mgonjwa, uta-
fanyaje ?
2. Mjomba yake akienda safari,
utabaki wapi ?
3. Ndugu yao anapenda kazi ya
karani ?
4. Mama afanya kazi gani ?
5. Sababu gani, hujifunzi kiara-
bu?
6. Ski otngi bato nyso, boko-
zala boni elong ?
7. Kokngele bnaezali nini ?
C. Silis maloba yo :
1. Bandeko na ngi bazali
2. Lki na ngi akendkf
3. Tozali ya bato na ndko
4. Moto na moto alingi mo
bmbo
5. Tat azali ya kelsi t
6. Ozali na bandeko ?
Maloba ya sika :
1. Mobti (babti)
2. Ndeko (bandeko)
3. Bis
4. Mk
5. Ndeko-mwsi
6. Mibal
7. Omitngki t (komitanga t)
8. Nk (bank)
9. Ebel
10. Nd
11. Mpo ya nini
12. Naino
13. Malmu mingi
14. Mbngo
15. Kasi
16. Mable
17. Sambo
18. Moto na moto
19. Ndeko-mobli
20. Misto
21. Mokabinda
22. Kalka
23. Mp
24. Ngi mk
25. Malli
26. Bakiti
27. Mw, mok
6. Ukiwahesabu watu wote, mta-
kuwa wangapi pamoja ?
7. Kuchunga watoto ni nini ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Ndugu zangu ni
2. Mdogo wangu alikwenda
3. Tupo ...... la watu nyumbani
4. Kila mmoja anapenda sa
fari
5. Baba si wa masomo
6. Una wajamaa ?
Maneno mapya :
1. Mzazi (wazazi)
2. Jamaa (wajamaa)
3. Sisi
4. Moja
5. Dada
6. Wawili
7. Hukujihesabu (kutojihesabu)
8. Mjomba (wajomba)
9. Kundi
10. Ndio
11. Sababu gani
12. Bado
13. mzima sana
14. Mali
15. Lakini
16. Maziwa
17. Saba
18. Kila moja
19. Ndugu mwanaume
20. Watatu
21. Msermala
22. Karani
23. Kwani, sababu
24. Mimi mwenyewe
25. Mgonjwa
26. Viti
27. Kidogo
31
LITEYA YA LIBWA
KOKOMA MPE KOTANGA
1. Ozah' koykola nini sikyo ?
2. Nazali koykola kokma
3. Oybi kokma naino t ?
4. T, nayklki kala, ksi na-
bsnki lissu
5. Bng, olingki koznga na
kelsi ?
6. Ya sl, koyba koloba ekoki
t
7. Boni, na kotnga ?
8. Kotnga mp nalingi nyba
malmu
9. Ksi kotnga kiswahili ezali
makasi t lokla kotnga li
ngla
10. Boye, eleki malmu banda
naino koykola kotnga ki
swahili
11. Na sima, nakobanda kotnga
lingla
12. Mpo ya nini olingi kotnga
ndinga yo mibal ?
13. Ezali mpo ya koyka sango
14. Ski naybi kokma mp ko
tnga, nakokoka kotinda mi-
kand epi ya bandeko baye
bazali na Tanzania mp na
Zaire
15. Nazah' mp na posa mingi ya
koyka sango ya bang
32
SOMO LA USA
KUANDIKA NA KUSOMA
1. Unajifunza nini sasa ?
2. Ninajifunza kuandika
3. Hujui kuandika bado ?
4. Hapana, nilijifunza zamani, la
kini nilisahau tena
5. Hivyo, umependa kurudi shu-
leni ?
6. Ndio, kujua kusema haitoshi
7. Je, na kusoma ?
8. Kusoma pia ninapenda kuele-
wa
9. Lakini kusoma kiswahili si ku-
gumu kama kusoma lingla
10. Hivyo, ni vema saidi uanze
kwanza kujifunza kusoma ki
swahili
11. Baadaye, nitaanza kusoma li
ngla
12. Sababu gani unapenda kusoma
lugha hizi mbili ?
13. Ni kwa sababu ya kusikia ha
bari
14. Nikijua kuandika na kusoma,
nitaweza kuwatumia barua
wajamaa walio Tanzania na
Zaire
15. Ninatamani sana kusikia pia
habari zao.
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Nalobaka kasi naykaka t
Olobaka kasi oykaka t
Alobaka kasi aykaka t
Tolobaka kasi toykaka t
Bolobaka kasi boykaka t
Balobaka kasi baykaka t
2. Tat aybi kokma kasi aybi
kotnga t
3. Nakoznga na kelsi mp ny-
kola lissu kotnga
4. Bna bznga na kelsi, mp
byba kokma malmu
5. Nakomlki y mokand kala,
kasi oyanli ngi naino t
6. Koloba lingla ekoki t, banda
mp koykola ndingamossu
B. Yanl mitn yo :
1. Mp ya nini ozali koykola
kokma ?
2. Obsnki koybisa bna na
y sango ?
3. Oykki sango ya moi ?
4. Lingla ezali maksi lokla ki
swahili ?
5. Kokma mokand ekoki ?
6. Mp ya nini obandi lissu ko
tnga ?
7. Mopaya wn aybi ndinga na
y malmu ?
C. Silis maloba yo :
1. Nazali koykola lingla
2. Aybi kotnga kiswahili
3. Bandeko balingi sangona
ngi
MAZOEZ1
A. Sema maneno haya :
1. Nasema lakini sisikii
Unasema lakini husikii
Asema lakini hasikii
Twasema lakini hatusikii
Mwasema lakini hamsikii
Wasema lakini hawasikii
2. Baba anajua kuandika lakini
hajui kusoma
3. Nitarudi shuleni, ili nijifunze
tena kusoma
4. Watoto warudi shuleni, ili wajue
kuandika vizuri
5. Nilikuandikia barua zamani, la
kini hujanijibu bado
6. Kusema lingla haitoshi, anza
piakujifunza lugha ingine
B. Jibu maswali haya :
1. Sababu gani unajifunza kuandi
ka ?
2. Ulisahau kuwapasha watoto wa
ko habari ?
3. Ulisikia habari za mchana?
4. Lingla ni ngumu kama kiswa
hili ?
5. Inatosha kuandika barua ?
6. Sababu gani unaanza tena ku
soma ?
7. Mgeni yule anaelewa lugha ya
ko ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Ninajifunza lingla
2. Anajua kusoma kiswahili
3. Wajamaa wanapenda- ha
bari zangu
33
4. Akotindela bang na Ta
nzania
5. Koyba ekoki t
6. Eleki banda kiswahi
li
7. Koloba lingla ezali makasi
t lokla
8. Oyklki kala, kasi
9. Ski aybi kiswahili, akoko-
ka
10. Nykola naino, na sima na-
kosla
4. Atawatumia Tanzania
5. Kujua haitoshi
6. Ni vema uanze kiswa
hili
7. Kusema lingla si kugumu ka-
ma
8. Ulijifunza zamani, lakini..
9. Akijua kiswahili, ataweza
10. Nijifunze kwanza, baadaye ni-
tafanya
Maloba ya sika :
Maneno mapya :
1. Kokma
1. Kuandika
2. Nabsnki (kobsana)
2. Nilisahau (kusahau)
3. Naino
3. Kwanza
4. Koyka
4. Kusikia
5. Kotindela
5. Kutumia
6. Nazali naposa(kozalanaposa)
6. Ninatamani (kutamani)
7. Koyba malmu
7. Kuelewa
8. Sikoyo
8. Sasa
9. Ksi
9. Lakini
10. Lokla
10. Kama vile
11. Obanda (kobanda)
11. Uanze (kuanza)
12. Ya bango
12. Zao
13. Eleki malmu
13. Ni vema zaidi
14. Kotnga
14. Kusoma
15. Na sima
15. Baadaye
16. Koznga
16. Kurudi
17. Mokand
17. Barua
18. Kala
18. Zamani
19. Naino t
19. Bado
20. Lissu
20. Tena
21. Baye bazali
21. Walio
34
LITEYA YA ZOMI
NDAKO N BILOKO
1. Ndko ya bin ezali boni ? 1.
2. Tozali nandko monne penz 2.
3. Ndko wn ezali na bilko 3.
boni ?
4. Ezali na bilko ya ndng na 4.
ndng
5. Ski olingi, tnga ndng ya 5.
bilko wn
6. Ndko ya bis ezali na bizi- 6.
beli n maninisa
7. Boliaka na misapi t na ba- 7.
ltu ?
8. Mbala mk toh'aka na baltu 8.
mp bakany, mbala mossu
toliaka na misapi
9. Bili m'ni boliaka na misapi ? 9.
10. Toliaka fuf na misapi 10.
11. Ebngi mp kolia lso na 11.
misapi ?
12. T, ebongi koha lsona kny 12.
13. Tango ya koha botlemaka 13.
t bovndaka ?
14. Mp ya koh'a mp kotnda 14.
malmu, ebongi kovnda
15. Boye, moto na moto azali na 15.
kiti na y ?
16. Ya sl, tozali na bakiti mingi 16.
na ndko
17. Tozali mp n bambto n 17.
bamalumlu
SOMO LA KUMI
NYUMBA NA VITU
Nyumba yenu ni je ?
Tuna nyumba kubwa sana
Nyumba hiyo ina vitu vinga-
pi?
Ina vitu vya kila aina
Tafadhali, taja aina ya vitu
hivyo
Nyumba yetu ina milango na
madirisha
Mnakula na vidole au na viji-
ko ?
Kwa mara tunakula na vijiko
na kanya, mara ingine tuna
kula na vidole.
Chakula gani mnakula na vi
dole ?
Tunakula ugali na vidole
Yafaa pia kula wali na vidole ?
Hapana, inafaa kula wali na
kanya
Wakati na kula mwasimama au
mwakaa ?
Kwa kuh na kushiba vizuri,
inafaa kukaa
Hivyo, kila mmoja ana kiti
chake ?
Ndio, tuna viti vingi nyumba
ni
Tuna pia vitanda na kabati
35
18. Bilko nyso ya maby bis-
lmki na tat
19. Bilko ya ebend bismbm-
ki na mam
20. Bna bapekismi kokamata
bilko wn
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Elko eslmi na mokabinda
2. Bilko bislmi na bakabinda
3. Mokabinda aslf kiti
4. Bakiti mtno eslmi na mo
kabinda
5. Mokabinda aslaka bakiti ya
maby
6. Mam asdmbaka bilko ya
ebend
7. Ndko ezali na mbto mk
kka mp malumlu mk
8. Ekoki t kolia pmba, ebongi
mp kotnda
9. Naliki ls, kasi natndki
malmu t
10. Ezali malmu t kolia lsona
ltu
B. Yanl mitn yo :
1. Ndko na y ezali na bakiti
boni ?
2. Ebongi kolia fuf na kny
t na ltu ?
3. Bizibeli ya ndko na y bizali
boni ?
4. Moto na moto azali na malu
mlu na y ?
5. Nni aslki bilko ya nd
ko ?
36
18. Vitu vyote vya mbao vime-
fanywa na baba
19. Vitu vya chuma vimenunuli-
wa na mama
20. Watoto wanakatazwa kugusa
vitu hivyo
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Kitu kimefanywa na msermala
2. Vituvimefanywana wasermala
3. Msermala amefanya kiti
4. Viti vitano vimefanywa na
msermala
5. Msermala afanya viti vya mbao
6. Mama hununua vitu vya chu
ma
7. Nyumba ina kitanda kimoja
tu na kabati moja tu
8. Haitoshi kula tu, inafaa pia
kushiba
9. Nilikula wali, lakini sikushiba
vizuri
10. Si vizuri kula wali na kijiko
B. Jibu maswali haya
1. Nyumba yako ina viti vinga-
pi ?
2. Yafaa kula ugali na kanya au
na kijiko ?
3. Milango ya nyumba yake ni
je ?
4. Kila mmoja ana kabati ya
ke ?
5. Nani amefanya vitu vya nyu
mba ?
6. Nni asimbki lininisa o'yo ?
7. Mwna apekismi kolia fufu ?
8. Olingi malmu kolia elko
mm
9. Tango ya kolia, otngaka ? ....
10. Tango ya koykola, okendaka
wapi
C. Silis maloba yo :
1. Tozali na bakiti ya ndng
na
2. Maninisa ya ndko na bang
ezali
3. Mwna apekismi kolia na
4. Tango ya naykolaka t
5. Bilko ya maby bislmki
na
6. Mam asmbki bilko ya
7. Nni nd apekismi bilko
ya ebend ?
8. Mwna apekismi kolia
9. Toliaka na but t
Maloba ya sika :
1. Elko (bilko)
2. Elko ya kolia (bilko ya ko
lia)
3. Ebend (bibend)
4. Mosapi (misapi)
5. Ltu (baltu)
6. Kiti (bakiti)
7. Mbto (bambto)
8. Lininisa (maninisa)
9. Ezibeli (bizibeli)
10. Kny
11. Liby (maby)
12. Malumlu
13. Bismbmki (kosmbama)
14. Bapekismi (kopekisama)
15. Akamtki (kokamata)
6. Ni nani amegusa dirisha hili ?
7. Mtoto anakatazwa kula ugali?
8. Unapenda zaidi kula chakula
gani
9. Wakati wa kula, wewe husoma?
10. Wakati wa kujifunza, wakwe-
nda wapi ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Tuna viti vya kila
2. Madirisha ya nyumba yao ni...
3. Mtoto anakatazwa kula na ....
4. Wakati wa sijifunzi
5. Vitu vya mbao vimefanywa
na
6. Mama amenunua vitu vya
7. Nani amekatazwa vitu vya
chuma
8. Mtoto amekatazwa kula
9. Hatuli usiku
Maneno mapya :
1. Kitu (vitu)
2. Chakula (vyakula)
3. Chuma (vyuma)
4. Kidole (vidole)
5. Kijiko (vijiko)
6. Kiti (viti)
7. Kitanda (vitanda)
8. Dirisha (madirisha)
9. Mlango (milango)
10. Kanya
11. Ubao (mbao)
12. Kabati
13. Vimenunuliwa (kununuliwa)
14. Wanakatazwa (kukatazwa)
15. Amegusa (kugusa)
37
16. Kosla (koslama) 16. Kufanya (kufanywa)
17. Ebongi (kobonga) 17. Inafaa, yafaa (kufaa)
18. Mpo 18. Kwa
19. Mbala mk 19. Kwa mara
38
LI1EYA YA ZOMI NA MOKO SOMO LA KUMI NA MOJA
LOBI EZALI EYENGA KESHO NI SIKUKUU
1. Lbi ezali eyenga, okosla
nini ?
2. Lbi nakokende kotla ban-
k na ngi
3. Okotmbola tango boni k-
ma kna ?
4. Tango ya ngonga mibal na
ndmbo
5. Ezali lokendo ya mtuka t
ya makolo ?
6. Nakotmbola na makolo, nz-
kand nzel ya mtuka ezali
7. Ski okamti mtuka, okof-
ta tlo boni ?
8. Tlo ezali makasi t, ezali
shilingi mk t makt sa-
mbo pmba
9. Nakanisi te bakosepela na ko-
mna y
10. Ee, mp namni bang t ele
ki mikolo mingi
11. Okoyla bango nini mp ya
kosepelisa bang mw mingi?
12. Nasmblki bang bilamb
na mosolo ya ngi
13. Okendeke mp mosik boye
mikolo ya mosl ?
14. T, mikolo ya mosl nazali
na tango ya kotmbola t
15. Ezali bobl mokolo ya eye
nga t mokolo ya lomingo
nd nabimaka na ndko
1. Kesho ni siku kuu utafanya
nini ?
2. Kesho nitakwenda kuwateza-
ma wajomba wangu
3. Utatembea mda gani kwa ku
fika huko ?
4. Mda wa saa mbili na nusu
5. Ni mwendo wa gari au wa
miguu ?
6. Nitatembea na miguu, ijapo
kuna njia ya gari
7. Ukichukua gari utalipa malipo
gani ?
8. Bei si gali, ni shilingi moja au
makuta saba tu
9. Nadhani kwamba watafurahi
kukuona
10. Ndio, kwani sikuwaona tangu
siku nyingi
11. Utawaletea nini kwa kuwafu-
rahisha zaidi ?
12. Niliwanunulia mavazi kwa
mshahara wangu
13. Unakwenda pia mbali vilesiku
za kazi ?
14. Hapana, siku za kazi sina wa
kati wa kutembea
15. Ni sikukuu tu au siku ya juma
pili ndipo natoka nyumbani
39
16. Kasi mokolo ya pso na moi
mosl ezalaka t
17. A ta mosl ezalaka t, mokolo
ya pso na moi napmaka
bobl na ndko
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Lbi nakosmba bili
Lbi okosmba bili
Lbi akosmba bili
Lbi tokosmba bili
Lbi bokosmba bili
Lbi bakosmba bili
2. Ski nayki molung nakomela
mai ya pio
3. Ski ozwi molung, okomela
mai ya pio
Ski azwi molung, akomela
mai ya pio
Ski tozwi molung, tokomela
mai ya pio
Ski bozwi molung, bokomela
mai ya pio
Ski bazwi,molung, bakomela
mai ya pio
3. Lbi mokolo ya pso, nakoke-
nde kelsi t
4. Lokendo yamakolo ezali molai,
yo ya mtuka ezali moks
5. Ski akamti mtuka, akok-
ma nki penz
6. Tomnki t bandeko na bis
ut kala
7. Akoyla bis bilamb mp ya
kosepelisa bis
8. Mikolo ya mosl nazalaka na
tango t, mikolo ya eyenga
natmbolaka mosik
40
16. Lakini siku ya juma mosi
mchana hakuna kazi
17. Ijapo hakuna kazi, siku ya
juma mosi mchana napumzi-
ka tu nyumbani
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Kesho nitanunua chakula
Kesho utanunua chakula
Kesho atanunua chakula
Kesho tutanunua chakula
Kesho mtanunua chakula
Kesho watanunua chakula
2. Nikisikia joto, nitakunywa maji
ya baridi
Ukipata joto, utakunywa maji
ya baridi
Akipata joto, atakunywa maji
ya baridi
Tukipata joto, tutakunywa maji
ya baridi
Mkipata joto, mtakunywa maji
ya baridi
Wakipata joto, watakunywa ma
ji ya baridi
3. Kesho ni juma mosi, sitakwenda
shuleni
4. Mwendo wa miguu ni mrefu,
wa gari ni mfupi
5. Akichukua gari, atafika mbio
sana
6. Hatukuwaona ndugu zetu tangu
zamani
7. Atatuletea nguo, ili atufurahi-
she
8. Siku za kazi, sina wakati, siku
kuu ninatembelea mbali
B. Yanl mitn yo :
1. Lbi ezali mokolo ya lomingo,
okolia nini ? ...
2. Ski okamti mtuka, okofta
shilingi boni ?
3. Omnki babti na y tango
nini ?
4. At ski mosl ezali t lbi,
okotikala ?
5. Tat na y akoznga mokolo
nini ?
6. Bakotla ngi na but t na
moi ?
7. Ski bakomi kn, okosepelisa
bang mingi ?
C. Silis maloba yo :
1. Okosla nini mokolo ya
2. Sk nalembi bokopsa ngi
mai ya
3. Mp ya kosepelisa tat, nako-
smbela y
4. Ski natmbl na nako-
kma noki
5. Lokendo ya ezali molai
6. Nakoyla mosolo na ngi
7. Akofta shilingi mk to
8. Mikolo ya natmbolaka
t
9. Ski tomni babti,
Maloba ya sika :
1. Okotmbola (kotambola)
2. Okofta (kofta)
3. Ski okamti (kokamata)
4. Bakosepela (kosepela)
5. Namnki bang t
6. Okoyla bang
B. Jibu maswali haya :
1. Kesho ni juma pili, utakula
nini ?
2. Ukichukua gari, utalipa shili
ngi ngapi ?
3. Uliwaona wazazi wako tangu
wakati gani ?
4. Ijapo hakuna kazi kesho, uta-
baki ?
5. Babayako atarudi sikugani ? ...
6. Watanitezama usiku au mcha
na ?
7. Wakifika huko tawafurahisha
sana ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Utafanya nini siku ya ?
2. Nikichoka, mtanipa maji ya ....
3. Kwa kumfurahisha baba, nita-
mnunulia
4. Nikitembea na nitafika
mbio
5. Mwendo wa ni mrefu
6. Nitawaletea mshahara wa
ngu
7. Atalipa shilingi moja au
8. Siku za zitembei mbali
9. Tukiwaona wazazi,
Maneno mapya :
1. Utatembea (kutembea^
2. Utalipa (kulipa)
3. Ukichukua (kuchukua)
4. Watafurahi (kufurahi)
5. Sikuwaona (kuona)
6. Utawaletea (kuwaletea)
41
7. Nabimaka (kobima)
8. Nasmblki bang
9. Ngonga
10. Tango
11. Mokolo mk
12. Eyenga
13. Lbi
14. Mtuka
15. Makasi mingi
16. Shilingi
17. Bilamb
18. Mokolo ya pso
19. Ezali
20. Mw mingi
21. Ndmbo
22. Kn
23. Mikolo mingi
24. Mokolo ya lomingo
25. Lokendo
26. Tlo
27. Uta
28. Makt
29. Mosolo
30. Nd
31. Ezali t
32. Boye
42
7. Natoka (kutoka)
8. Niliwanunulia (kununulia)
9. Saa
10. Mda, wakati
11. Siku moja
12. Sikukuu
13. Kesho
14. Gari
15. Gali
16. Shilingi
17. Mavazi
18. Juma mosi
19. Kuna
20. Zaidi
21. Nusu
22. Huko
23. Siku nyingi
24. Juma pili
25. Mwendo
26. Malipo, bei
27. Tangu
28. Makuta
29. Mshahara
30. Ndipo
31. Hakuna
32. Vile
LITEYA YA ZOMI NA MIBALE SOMO LA KUMI NA MBILI
BATO N BILOKO WATU NA VITU
1. Nalingi moto wn t, mp
ya ezaleli na y
2. Azali na ezaleli nini ?
3. Ezaleli na y mab penz
4. Bato boni bazali na ezaleli
malmu ?
5. Nakoki t kotnga bang, kasi
bato malmu bazali ebel
6. Moto malmu aybi kobtela
bilko ya moning na y
7. Boye, Mbuta Tmbwe abtl-
ki bilko bya y t ?
8. Ya sl, natiklki y ekoti
na ngi, abngisi yang
9. Ski natiklki y bitabi na
ngi nd aliki yang
10. Bikoti bizali lokla bilamb
to nzto ya moto
11. Olobi ya sl : elko ya mo
ning ezali lokla nzto na
y
12. Ski ozali na limemy likol
ya molni, memya mp ela-
nga na y
13. Bato bazali na bizaleli ndng
na ndng
14. Bilo'ko mp bizali na mitindo
ndng na ndng
15. Bato mingi bazali bato ba
bwny
16. Bato bassu bazali bato na
zba
1. Simpendi mtu huyo, sababu
ya tabia yake
2. Ana tabia gani ?
3. Tabia yake ni mbaya sana
4. Watu wangapi wana tabia nzu-
ri?
5. Siwezi kuwahesabu, lakini wa
tu wema ni wengi
6. Mtu mwema anajua kutunza
vitu vya mwenzake
7. Kumbe, bwana Tambwe haku-
tunza vitu vyako ?
8. Ndio, nilimwachia kofia yangu
akaipoteza
9. Ningalimwachia ndizi zangu,
angalizikula
10. Kofia ni kama mavazi au mwi-
li wa mtu
11. Unasema kweli : kitu cha mwe-
nzako ni kama mwili wake
12. Ukimheshimu mkulima, uhe-
shimu pia shamba lake
13. Watu wana tabia mbali mbali
14. Vitu pia vina aina mbali mbali
15. Watu wengi ni wenyi akili
16. Watu wengine ni wapumbafu
43
17. Bilko mingi bizali na elengi
18. Bilko mossu bizali naboso-
to
19. Banyama mp bazali na miti
ndo ndng na ndng
20. Banyama ya mbka bakeseni
n banyama ya zmba
17. Vitu vingi ni vitamu
18. Vitu vingine ni vichafu
19. Wanyama pia wana aina mbali
mbali
20. Wanyama wa mgini wanata-
fautika nawanyama wa porini
MIMEKANO MAZOEZI
A.Loba maloba yo :
A. Sema maneno haya :
1. Moto bato
1. Mtu
watu
Mwna bna
Mtoto
watoto
Molakisi
balakisi
Mwalimu
waalimu
Mopaya
bapaya
Mgeni
wageni
Molni balni
Mkulima
wakulima
Motmboli batmboli
Mtembezi
watembezi
Moning baning
Mwenzako
wenzako
Mokonzi bakonzi
Mwenyi cheo wenyi cheo
Tat batat
Baba
wababa
Mam bamam
Mama
wamama
2. Ekoti
bikoti
Kofia
kofia
Etabe
bitabe
Ndizi
ndizi
Elko
bilko
Kitu
vitu
Elanga
bilanga
Shamba
mashamba
Etni
bitni
Kipande
vipande
Elamb bilamb
Vazi
mavazi
Ebale
bibale
Mto
mito
Ezaleli bizaleli
Tabia
tabia
3. Apasli ekoti na y bitni
mibal
4. Ebongi t kopasola elko ya
moning bitni bitni
5. Ebongi kobtela bilko yaba
ning
6. Nazali na posa ya kolia nyama
ya zmba
7. Bato ba zmba babtelaka ba
nyama
44
3. Amepasua kofia yake vipande
viwili
4. Haifai kupasua kitu cha mwe
nzako vipande vipande
5. Inafaa kutunza vitu vya we
nzako
6. Ninatamani kula nyama ya
pori
7. Watu wa pori hutunza wanya
ma
8. Banyama ya mbka bazali na
mayle
9. Alobi ya sl, kasi olobiloku-
t
10. Koloba lokut ezali mab
11. Natiklki y ndko na ngi
12. Nakoki kotnga bilko binso
ya ndko t
B. Yanl mitn yo :
1. Bilko ya mbka bizali na
mitindo boni ?
2. Batat na bin bazali na bila-
nga ?
3. Okoki kotnga banyama ya
zmba ?
4. Ezaleli ya baning na y ezali
boni ?
5. Atiklki nni bilamb na y ?
6. Ski nabtli elanga na y,
okopsa ngi nini ?
7. Bato bakeseni na banyama ? .
8. Nni abngiski bitabe ya mo-
lni ?
9. Ezaleli ya moning na y ezali
kosepelisa y ?
10. Ebongi komemya mokonzi ? .
11. Olingi molakisi wa y mp ya
ezaleli na y ?
C. Silis maloba yo :
1. Alingi mopaya t, mp ya
2. Bizaleli yabato bizali
3. Mitindo ya banyama ezali ....
4. Balni balingaka
8. Nyama wa mgini ni werevu
9. Anasema kweli, lakini unase-
ma wongo
10. Kusema wongo ni vibaya
11. Nilikuachia nyumba yangu
12. Siwezi kuhesabu vitu vyote
vya nyumba
B. Jibu maswaH haya :
1. Vitu vya mgini vina aina nga-
P1
2. Wababa wenu wana masha-
mba ?
3. Unaweza kuhesabu wanyama
wa pori ?
4. Tabia ya wenzako ni je ?
5. Alimwachia nani mavazi yake?
6. Nikitunza shamba lako, utani-
pa nini ?
7. Watu wanatafautika na wanya
ma ?
8. Nani alipoteza ndizi za mkuli
ma ?
9. Tabia ya mwenzako inakufu-
rahisha ?
10. Yafaa kumheshimu mwenyi
cheo ?
11. Unampenda mwalimu wako
sababu ya tabia yake ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Hampendi mgeni sababu ya
2. Tabia za watu ni
3. Aina za wanyama ni
4. Wakulima hupenda
45
5. MbutaTmbwe aybi t kob-
tela
6. Abngisaki yamwna wa
7. Mai ya bale wn ezah
8. Koloba ezah' mab
9. Ekoti yamoning nay ezah'
lokla
10. Ebongi tat nay
11. Ebongi t lokut
Maloba ya sika :
1. Moning na y
2. Moning na y
3. Moln (balni)
4. Nyama (banyama)
5. (Bato) ba zoba
6. Elko (bilko)
7. Etni (bitni)
8. Ekoti (bikoti)
9. Moto wa bwny
10. Ezaleli (bizaleli)
11. (Bilo'ko) ya elengi
12. Etabi (bitabi)
13. Abtlki t (kobtela t)
14. Natiklki y (kotikela)
15. Abngisaki yng (kobngisa)
16. memya (komemya)
17. Bakeseni (kokesene)
18. Apasou' (kopasola)
19. Lokut
20. Elanga (bilanga)
46
5. Bwana Tmbwe hajui kutu-
nza
6. Alipoteza ya mtoto wake
7. Maji ya mto huo ni
8. Kusema ni vibaya
9. Kofia yamwenzako ni kama...
10. Inafaa baba yako
11. Haifai wongo
Maneno mapya :
1. Mwenzako
2. Mwenzake
3. Mkulima (wakulima)
4. Nyama (wanyama)
5. Wapumbafu
6. Kitu (vitu)
7. Kipande (vipande)
8. Kofia (kofia)
9. Mwenye akili
10. Tabia (tabia)
11. Vitamu
12. Ndizi (ndizi)
13. Hakutunza (kutotunza)
14. Nilimwachia (kuachia)
15. Akaipoteza (kupoteza)
16. Uheshimu (kuheshimu)
17. Wanatafautika (kutafautika)
18. Amepasua (kupasua)
19. Wongo
20. Shamba (mashamba)
UTEYA YA ZOMI NA MISATO
TANGO YA MOSALA
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15.
16.
17.
18.
Okei wpi ?
Nakei na mosl
Oslaka mosl wpi ?
Naslaka mosl na kti ya
magazini
Magazini wn etkisaka nini?
Magazini wn ezah' na mosl
ya kotkisa bakiti
Y ozali motkisi na kti ya
magazini ?
T, ngi motkisi t
Ski otkisaka t, bng os
laka nini ?
Ngi nazali kalka ya maga
zini wana
Baslfnyoso ya magaziniwn
bazali bakalka ?
T, bassu bazah' batkisi, na'
bassu bakabinda
Mosl nini mokabinda asla
ka na magazini ?
Mokabinda abongisaka bakiti
yo ebkni
Bobandaka mp bosilisaka
mosl lle nini ?
Tobandaka mosl na ngonga
ya sambo ya to'ng
Bosilisaka mp na ngonga ya
mwambi ya moi ?
Bngo t, tosilisakana ngonga
ya mitno ya pokwa
SOMO LA KUMI NA TATU
SAA YA KAZI
1. Unakwenda wapi ?
2. Ninakwenda kazini
3. Wafanya kazi wapi ?
4. Nafanya kazi katika duka mo
ja
5. Duka hilo linachuuza nini ?
6. Kazi ya duka hilo ni kuchuuza
viti
7. Wewe ni mchuuzi dukani ?
8. Hapana, mimi si mchuuzi
9. Kama huchuuzi, unafanya nini
basi ?
0. Mimi ni karani wa duka hilo
1. Wafanya kazi wote wa duka
hilo ni makarani ?
2. Hapana, wamoja ni wachuuzi
wengine ni wasermala
3. Kazi gani msermala afanyadu*
kani ?
4. Msermala atengeneza viti vili-
vyovunjika
5. Mwaanza na mwamaliza kazi
saa ngapi ?
6. Twaanza kazi pa saa moja
asubuhi
7. Na mwamaliza pa saa nane
mchana ?
8. Sivyo, twamaliza pa saa kumi
na moja
47
19. Nakanisi bopmaka katikti
ya ngonga ya midi na ngonga
ya sambo ya moi
20. Ee, yang wn nd ntina
tolongwaka na mosl na si
ma penz
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Moykoli akoykola na butu
2. Akopelisa mwinda mp ya
molili
3. Akoki komo'na na kti ya
molili t
4. Y mp okoki t kotnga t
kokmana kti ya molili
5. Mso ya moto ezali lokla
miso ya ndeke t
6. Bandeke bamnaka but na
moi
7. Ndeko na ngi ya mwsi ali-
ngi mosl yakalka
8. Kasi ngi nakozala mnganga
9. Nazali na posa mingi yakobi-
kisa bato
10. Ndeko na y ya mobh asla
ka mosl ya kobikisa banya
ma
11. Misl nyso ya kobtela bato
t banyama ezah' malmu
12. Mosl ya kobongisa bilko
ezah' mp malmu, lokla
mosl ya bokabinda
B. Yanl mitn yo :
1. Bandeko ba y baslaka mo
sl nini ?
48
19. Nadhani mwapumzika katikti
ya saa sita na saa saba mcha
na
20. Ndio, hiyo ndio sababu twa-
toka kazini nyuma sana
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Mwanafunzi atajifunza usiku
2. Atawakisha mwangaza sababu
yagiza
3. Hawezi kuona katiga giza
4. Wewe pia huwezi kusomawala
kuandika gizani
5. Macho ya mtu si kama macho
ya ndege
6. Ndege waona usikuna mchana
7. Dada yangu apenda kazi ya
karani
8. Lakini mimi nitakuwa mganga
9. Natamani sana kuponyesha
watu
10. Ndugu yake anafanya kazi ya
kuponyesha wanyama
11. Kazi zote za kutunza watu au
wanyama ni nzuri
12. Kazi ya kutengeneza vitu ni
nzuri pia, kama vile kazi ya
usermala
B. Jibu maswali haya :
1. Ndugu zake wafanya kazi ga
ni ? ......
2. Olingi mw mingi kozala m-
nganga t motkisi ?
3. Moykoli aslaka nini na bu
t ?
4. Moslya molakisi ezali kosala
nini ?
5. Mp te nyba kiswahili, ebo
ngi nsla nini ?
6. Ski nazali na posa, okopsa
ngi nini ?
7. Motkisi atkisaka nini na ke
lsi ?
8. Moykoli alingi nini na maga
zini ?
9. Ski apmi mok, akosilisa
noki ?
10. Ski obandi na tng, okolo-
ngwa na mosl na ngonga
nini ?
C. Silis maloba yo :
1. Ski olakisaka, kmb na y
ya mosl ezali
2. Ski olmbaka bilko, kmb
na y ezali
3. Ski obongisaka bakiti, k
mb na y ezali
4. Ski otkisaka bilko, kmb
na y ezali
5. Ski okomaka mikand, k
mb na y ezali
6. Ski oykolaka na kelsi, k
mb na y ezali
7. Ski oslaka mosl, kmb
na y ezali
Maloba ya sika :
1. Magazini (kti ya magazini)
2. Etkisaka (kotkisa)
2. Wapenda zaidi kuwa mganga
au mchuuzi ?
3. Mwanafunzi hufanya nini usi
ku ?
4. Kazi ya mwalimu ni kufanya
nini ?
5. lu' nijue kiswahili, yafaa nifa-
nya je ?
6. Nikiwa na kiu, utanipa nini ?
7. Mchuuzi achuuza nini shu
leni ?
8. Mwanafunzi anapenda nini du-
kani ?
9. Akipumzika kidogo, atamaliza
mbio ?
10. Ukianza asubuhi, utatoka ka
zini saa ngapi ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Ukiwa wafundisha, jina lako
la kazi ni
2. Ukiwa wapika chakula, jina
lako ni
3. Ukiwa watengeneza viti, jina
lako ni
4. Ukiwa wachuuza vitu, jina la
ko ni
5. Ukiwa waandika mabarua, jina
lako ni
6. Ukiwa wajifunza shuleni, jina
lako ni
7. Ukiwa wafanya kazi, jina lako
ni
Maneno mapya :
1. Duka (dukani)
2. Linachuuza (kuchuuza)
49
3. Motkisi (batkisi)
4. Mokabinda (bakabinda)
5. Abongisaka (kobongisa)
6. yo ebkni (kobkana)
7. Kopelisa
8. Miso (liso)
9. ll nini, ngonga nini ?
10. Ngonga ya mftno
11. Molili
12. Ntina
13. Nd ntina
14. Mnganga (minganga)
15. T
16. Ndeke
17. Kobikisa
50
3. (wachuuzi)
4. Sermala (wasermala)
5. Atengeneza (kutengeneza)
6. ViUvyovunjika (kuvunjika)
7. Kuwakisha
8. Macho (jicho)
9. Saa ngapi ?
10. Saa kumi na moja
11. Giza
12. Sababu
13. Ndio sababu
14. Mganga (waganga)
15. Wala
16. Ndege
17. Kuponyesha
UTEYA YA ZOMI NA MINEI
PASI
1. Nakanisi nazah' malli
2. Ozah' koyka nzto na y
boni ?
3. Nazali koyka malili
4. Ski ozali malli, kend epi
ya mnganga
5. Nazali na psi mingi t
6. At ski ozali na psi mingi
t, kamt kisi kka
7. Nni moto azali na kisi psa
ngi ?
8. Olingi kisi nini ?
9. Nakanisi kisi ya moto
10. Bokono ya y ezah' na moto
to na nzto nyso ?
11. Tndokotlo t?
12. Dokotlo na ngi akei mob
mbo
13. Boye, yk ndng okosla
14; Nakosla boni mp nbika ?
15. Ski ozali koyka nzto ma
lili, mlamai ya pio
16. T, nazali koyka malili t
17. Ski, ozah' koyka molung,
mla mai ya pio
18. Ya sl, kotndisa mai na kti
ya libumu nd kisi ?
19. Bngo okosla boni ?
20. Nalembi na bakisi
21. Mek kolla
22. Ski nalli nakoki kozwa po-
ngit
SOMO LA KUMI NA NNE
MAUMIVU
1. Nadhani nipo mgonjwa
2. Unasikia mwili wako je ?
3. Ninasikia baridi
4. Ukiwa mgonjwa, nenda kwa
mganga
5. Sina maumivu sana
6. Hta kama huna maumivu sa
na, chukua dawa tu
7. Nani aliye na dawa, anipatie ?
8. Unataka dawa gani ?
9. Nadhani dawa ya kichwa
10. Ugonjwa wako ni wa kichwa
au ni wa mwili wote ?
11. Si umwulize daktari ?
12. Daktari wangu amekwenda sa
fari
13. Basi sikia ginsi utafanya
14. Nitafanya je ili nipone ?
15. Kama unasikia baridi mwilini,
kunywa maji ya baridi
16. Hapana, sisikii baridi
17. Kama unasikia joto, kunywa
maji ya baridi
18. Kweli, kujaza maji tumboni
ndio dawa ?
19. Basi utafanya je ?
20. Nimechoka na madawa
21. Jaribu kulala
22. Nikilala siwezi kupata usingizi
51
23. Mek kasi kolia mok
24. Nazali na nzala t, nazali na
psi kti ya nzto mobimba
25. Likambo mossu ezali t, t-
zila kka dokotolo na y
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
nazah' moto malmu
moks
mobang
mopaya
motkisi
zoba
moto mab
eleng
kalka
23. Jaribu basi kula kidogo
24. Sina njaa, nina maumivu kati
ka mwili wote
25. Hakuna jambo lingine, tu-
mngoje daktari wako
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Nadhani nipo mwema
1. Nakanisi
2
3.
4
5
6
7
8
9
10
mokabinda 10.
2
3
. mfupi
. mzee
4
5
6 ,
7
8
9 ,
10 ,
. mgeni
,. mchuuzi
, pumbafu
. mbaya
. kijana
. karani
. msermala
1. Msermala anadhani yupo mwi
nyi akili
5. Mfanya kazi..
1. Mtoto anasikia njaa
2 baridi
3
4
5
6
7
ugonjwa
usingizi
maumivu
kiu cha maji
kiu cha pombe
1. Mokabinda akanisi azah' moto
ya bwny
2. Mnganga
3. Moykoli
4. Dokotolo
5. Mosli
6. Motkisi
1. Mwna azali koyka nzala
malili
malli
pongi
psi
posa ya mai
posa ya ma-
sanga
2.
3.
4.
5.
6.
7.
52
B. Yanl mitn yo :
1. Ski ozali malli, okokende
epi ya nni ?
2. Ski olingi kobika, okosla
nini ?
3. Ski olingi kosmba bilo'ko,
okokende epi ya nni ? ....
4. Ski olingi kobongisa kiti na
yo', okotna nni ?
5. Ski ozali koyka molung
okomele nini ?
6. Ski ozali koyka malili, oko
mele nini ?
7. Ski ozali koyka posa, oko
mele nini ?
8. Ski olli, okozwa nini ? ....
9. Ski dokotolo azah' t, oko
sla nini ?
10; Ski ozah' na nzala, okosla
nini ?
C. Silis maloba yo :
1. Mam apsa mwna miliki,mela
2 mai
3 tat masanga,
4 kisi, bika
5. Dokotolo-
6. Npsa y bku, ykola
7 bilko, h'a
8 kisi,
9 mai,
10. Mobli psa mwsi mokand,
kende
11. Dokotolo kisi,
Maloba ya sika :
1. Yk (koyka)
2. Apsa ngi (kopsa ngi)
B. Jibu maswali haya :
1. Ukiwa mgonjwa, utakwenda
kwa nani ?
2. Ukitaka kupona, utafanya ni
ni ?
3. Ukitaka kununua vitu, utakwe
nda kwa nani ?
4. Ukitaka kutengeneza kiti cha-
ko, utamwuliza nani ?
5. Ukisikia joto, utakunywa ni
ni ?
6. Ukisikia baridi, utakunywa ni
ni ?
7. Ukisikia kiu, utakunywa ni
ni ?
8. Ukilala, utapata nini ?
9. Kama daktari hayupo, utafa
nya nini ?
10. Ukiwa na njaa utafanya nini?
C. Maliza misemwa hii :
1. Mama ampe mtoto maziwa, anywe
2 maji
3 baba pombe
4 dawa, apone
5. Daktari
6. Nikupe kitabu, ujifunze
7 chakula, ule
8 dawa
9 maji
10. Mwanaume ampe mwanamke
barua, akwende
11. Daktari
dawa
Maneno mapya :
1. Sikia (kusikia)
2. Anipe (kupeana)
53
3. Tn (kotna)
4. Nbika (kobika)
5. Mla (komela)
6. Nalembi (kolemba)
7. Mek (komeka)
8. Tzila (kozila)
9. Moto ya malli
10. Bokono
11. Dokotolo
12. Pongi
13. M5to
14. Psi
15. Kisi
16. Libumu
17. Moto
18. Malili/pio
19. Likambo (makambo)
20. Mobimba
21. Boye
54
3. Uliza (kuuliza)
4. Nipone (kupona)
5. Kunywa (kunywa)
6. Nimechoka (kuchoka)
7. Jaribu (kujaribu)
8. Tungoje (kungoja)
9. Mgonjwa
10. Ugonjwa
11. Daktari
12. Usingizi
13. Moto
14. Maumivu
15. Dawa
16. Tumbo
17. Kichwa
18. Baridi
19. Neno (maneno)
20. Wote
21. Hivyo
UTEYA YA ZOMI NA MITANO
KOTIKANA
1. Nazali koyka mawa na mo
tma
2. Mp otiki bis ?
3. Tango nakozala mosik nako-
mna bin hssu t
4. Okomnabis lissu t,bngo
okoznga t ?
5. Nakoznga, kasi nakoznga
noki penz t
6. Bngo okokomela bis moka
nd t
7. Nakotindela bin sango, kasi
bokomna ngi na miso t
8. Ski otndli bis fot na y,
si tokosepela ?
9. Bokosepela t loklabomn-
ki ngi
10. Kasi tokomeka koya epi na
11. Ski boyi, bbsanat koy-
la ngi mwsi
12. Bngo okobala noki t
13. Nakobla t hbos ya kob-
mba mbngo yo ekoki
14. Bngo, tango tokoy, nni
akolmbela bis bilko ya
kolia ?
15. Nakozala na bi wa kolmba
bilko mp kosukola bilamb
16. Bi wa mobh azali t lokla
mwsi wa ndko
SOMO LA KUMI NA TANO
KUACHANA
1. Ninasikia uchungu moyoni
2. Sababu unatuacha ?
3. Nitakapokuwa mbali sitawao-
na tena
4. Hutatuona tena, kumbe huta-
rudi ?
5. Nitarudi, lakini sitarudi mbio
sana
6. Basi hutatuandikia barua ?
7. Nitawatumia habari, lakini ha-
mtaniona kwa macho
8. Ukitutumia picha yako, si tu-
tafurahi ?
9. Hamtafurahi kama vile mnga-
liniona
10. Lakini tutajaribu kuja kwako
11. Mkija, msisahau kuniletea
mwanamke
12. Kumbe hutaoa mbio
13. Sitaoa kabla ya kuweka mali
ya kutosha
14. Lakini, tutakapokuja, nani ata-
tupikia chakula ?
15. Nitakuwa na mpishi wa kupi-
ka chakula na kusafisha ma
vazi
16. Mpishi mwanaume si kama
bibi wa nyumba
55
17. Nasi nalobi te nakobla t
hbos mbla mibal koka
18. Ndeko, tikala monzemba ta
ngo malai t
19. Tokolukila y eleng-mwsi
mp bla mp obta bna
noki
20. Ski bolukili ngi eleng-mw
si sima ya mbla mibal,
nakobya y t.
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Nakoznga na mosl noki t
Okoznga na mosl noki t
Akoznga na mosl noki t
Tokoznga na mosl noki t
Bakoznga na mosl noki t
Bakoznga na mosl noki t
2. Eleng-mwsi akobsana fot
t
Bikng-bsi bakobsana fot t
3. Byka mawa t, tokomonana
mbla ekoy
4. Zel mok, tokoblana mbla
ekoy
5. Ski omli, tokobmbela y
masanga t
6. liboso ya kokfa, bt bna
7. Ski otkli bis bna ba y,
tokoyka mawa t
8. Ski tozali komna bang na
miso, tokobsana y noki t
56
17. Nimekwisha sema kwamba si
taoampaka miaka miwili ime-
timia
18. Ndugu usbaki kapela muda
mrefu
19. Tutakutafutia msichana ili uoe
na kuzaa watoto mbio
20. Mkinitafutia msichana baada
ya miaka miwili, sitamkataa
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Sitarudi kazini mbio
Hutarudi kazini mbio
Hatarudi kazini mbio
Haturarudi kazini mbio
Hamtarudi kazini mbio
Hawatarudi kazini mbio
2. Msichana hatasahau picha
Wasichana hawatasahau picha
3. Msisikie uchungu, tutaonana
mwaka ujao
4. Ngoja kidogo, tutaoana mwaka
ujao
5. Ukikawa, hatutakuekea pombe
6. Kabla ya kufa, zaa watoto
7. Ukituachia watoto wako, hatu-
tasikia uchungu
8. Tukiwaona kwa macho, hatuta-
kusahaumbio
B. Yanl mitn yo :
1. Mp ya nini okomna bis
noki t ?
2. Okoznga sima ya mbla boni?
3. Tango okobla, okobta bna
boni ? ......
4. Ski balukeli y eleng-mwsi,
okobya y ?
5. Nni azali kolambela monze-
mba bilko ?
6. Bi aybi kosukola bilamb
lokla mwsi ya ndko ? ....
7. Tokokomelana mikandt mb
la ekoy ?
C. Silis maloba yo :
1. Tokotindela mbla
2. Tokomonana miso t
3. Bakolukela y t ... wa kobla
4. Bi azali kolambela bil
ko
5. Mwsi ya ndko azali kosuko
la
6. Nakoznga t libos ya
7. Tango nakozala mosik, nako-
luka
8. Tango bokoy fot
9. Atfka bna molai t
10. Ski omli, tokoyka
Maloba ya sika :
1. Otiki bis (kotik)
2. Okoznga t (koznga t)
3. Tokomeka (komeka)
4. Ski boyi (koy)
5. Bbsana t (kobsana t)
6. Okobla t (kobla t)
B. Jibu maswali haya :
1. Sababu gani hutatuona mbio ?
2. Utarudi baada ya myaka minga-
pi? ......
3. Utakapooa, utazaa watoto wa
ngapi ?
4. Wakikutafutia msichana, uta-
mkataa ?
5. Nani anampikia kapela chaku
la ?
6. Mpishi anajua kusafisha mavazi
kama vile bibi wa nyumba ?
7. Hatutaandikiana barua mwaka
ujao ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Tutatumiana mwaka
2. Hatutaonana macho
3. Hawatamtafutia wa kuoa
4. Mpishi anampikia chakula
5. Bibi wa nyumba anasafisha....
6. Sitarudi kabla ya
7. Nitakapokuwa mbali, nitata-
futa
8. Mtakapokuja picha
9. Asiwaache watoto mrefu
10. Ukikawia, tutasikia
Maneno mapya :
1. Unatuacha (kuacha)
2. Hutarudi (kutorudi)
3. Tutajaribu (kujaribu)
4. Mkija (kuja)
5. Msisahau (kutosahau)
6. Hutaoa (kutooa)
57
7. Akolambela bis (kolambela)
7. Atatupikia (kutupikia)
8. tikala t (kotikala t) 8. Usibaki (kutobaki)
9. Tokolukela y (kolukela) 9. Tutakutafutia (kutafutia)
10. Nakoboya y t (koboya t) 10. Sitamkataa (kutokataa)
11. Ekoki (kokoka) 11. Imetimia (kutimia)
12. Tokomonana (komnana) 12. Tutaonana (kuonana)
13. Tokoblana (koblana) 13. Tutaoana (kuoana)
14. Tokokomelana t (kokomela- 14. Hatutaandikiana (kutoandikia-
na t)
na)
15. Tokotindelana (kotindelana)
15. Tutatumiana (kutumiana)
16. Tokomonana t (komnana t)
16. Hatutaonana (kutoonana)
17. Bi (babi) 17. Mpishi (wapishi)
18. Monzemba (banzemba) 18. Kapela (kapela)
19. Eleng-mwsi (bileng-bsi)
19. Msichana (wasichana)
20. Mbla (mbla) 20. Mwaka (miaka)
21. Libos ya 21. Kabla ya
22. Sima ya 22. Baada ya
23. Kobmba 23. Kuweka
24. Kobta 24. Kuzaa
25. Kosukola 25. Kusafisha
26. Fot 26. Picha
58
UTEYA YA ZOMI NA MOTOBA
BITENI YA NZOTO
1. Nakmwi komna moto azali
kotmbola na mabko !
2. yo atmbolaka na mabko
azali elma
3. Moto klngn atmbolaka
na makolo
4. Mosl ya mabko nd kolia
mp kosakana
5. Nzto ya moto ezali nabitni
boni ?
6. Nzto ezah' na bitni ndng
na ndng
7. Boye, moto azali namoto n
libumu
8. Bitni wn mibal bikesni
mingi t
9. Mabko n makolo ekesni
mp t
10. Kasi mbala mingi etni na
etni ezali na mosl na ya
ng
11. Mosl ya miso ezali kotla
12. Mosl ya monoko ezah'kolia
mp koloba
13. Mosl ya zlo ezah' koyka
solo
14. Mosl ya misapi ezali koka
mata
15. Bitni mossu ya nzto bim-
nanaka t
SOMO LA KUMI NA SITA
SEHEMU ZA MWILI
1. Ninasangaa kumwona mtu ana-
tembea na mikono !
2. Mwenyi kutembea na mikono
ni kilema
3. Mtu mzima hutembea na mi
guu
4. Kazi ya mikono ni kula na
kucheza
5. Mwih wa mtu una sehemu
ngapi ?
6. Mwih una sehemu mbali mbali
7. Hivyo mtu ana kichwa na
tumbo
8. Sehemu hizo mbili zinafanana
kidogo
9. Mikono na miguu pia inafa-
nana
10. Lakini mara nyingi kila sehe
mu ina kazi yake
11. Kazi ya macho ni kuangalia
12. Kazi ya kinwa ni kula na
kusema
13. Kazi ya puani kusikia mnuko
14. Kazi ya vidole ni kugusa
15. Sehemu nyingine za mwih ha-
zionekani
59
16. Boye, monoko ezipi mino
mp lolmu
17. Tlo ebmbi motma
18. Nzto mobimba ebmbi ma-
kila mp mai
19. Mp ya koyka malmu, mo
to azali na mati mibal
20. Kasi monoko mk pmba
ekoki mp ya koloba mp
koha
21. Mp ya kosala mosl mp
kokima, moto azali na ma
bko mibal n makolo mi
bal
MIMEKANO
A. Loba maloba yo :
1. Akmwi koyka nyka ezah'
koymba
2. Nakmwi t koyka nyka
ezali koymba
3. Okokmwa t komna nyka
ezah' kobina
4. Bnabazali koymba na mino
ko, tango nyka ezali kobina
na mokila na yang
5. Etni yo eleki bitni binso
ya nzto nd motma
6. Bato bassu bazali na lobko
mk pmba : bazali bilma
7. yo azah' na lokolo mk
pmba, azah' mp elma
8. Liso mk etlaka malmu t
9. Lobko ya mosapi mk p
mba eslaka mosl ya mal
mu t
10. Moto wa minoko mibal azali
kitko t
60
16. Hivyo, kinwa kinafunika meno
na ulimi
17. Kifua kinaficha moyo
18. Mwih wote unaficha damu na
maji
19. Kwa kusikia vizuri mtu ana
masikio mawih
20. Lakini kinwa kimoja tu cha-
tosha kwa kusema na kula
21. Kwa kufanya kazi na kuki-
mbia mtu ana mikono miwili
na miguu miwili
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Anasangaa kusikia nyoka ikii-
mba
2. Sisangai kusikia nyoka ikiimba
3. Hutasangaa kuona nyoka ina-
cheza
4. Watoto wanaimba kwa vinwa,
wakati nyoka inacheza kwa
mkia wake
5. Sehemu inayopita sehemu nyi
ngine zote za mwih ni moyo
6. Watu wengine wana mkono
mmoja tu : ni vilema
7. Mwenyi mguu mmoja tu, ni
kilema pia
8. Jicho moja hahangahi vema
. 9. Mkono wa kidole kimoja tu
haufanyi kazi nzuri
10. Mtu wa vinwa viwili si mtu
mzuri
B. Yanl mitn yo :
1. Moto wa lino mk azali
moto klngn ?
2. Bitni nini ya nzto bizali na
misapi ?
3. Moto akomaka na etni nini
ya nzto ?
4. Kotnga ezali mosl ya etni
nini ?
5. Loposo ezipaka mikwa n
misis ?
6. Okoki kobka mokwa ? ....
7. Okoki kobnda mosis ya nz
to ?
8. Ski makil na y ebimi, nni
akobikisa y ?
9. Mai yo tomelaka etikalaka
wpi na kti ya nzto ?
10. Ya sl, mot n hbumu eke-
sni ?
C. Silis maloba yo :
1. Nakmwi ozngi
2. Nzto ezali na bitni mibal,
mot n
3. Mosl ya makolo ezali
4. Loposo ya moto ezipi
5 ezali mosl ya mati
6. Moto klngn azali na
7. Moto ya lobko mk pmba
azali
8. Mokwa ya emnanaka t
9. Moto atmbolaka t na
10 emnaka t na kti ya mo
lili.
Maloba ya sika :
1. Monoko (minoko)
2. Mot (mit)
B. Jibu maswali haya :
1. Mtu wa jino moja ni mtu
mzima ?
2. Sehemu gani za mwili zina
vidole ?
3. Mtu huandika na sehemu gani
ya mwili ?
4. Kusoma ni kazi ya sehemu
gani ?
5. Ngozi yafunika mifupa na mi-
shipa ?
6. Unaweza kuvunja mfupa ?
7. Unaweza kukokota mshipa wa
mwili ?
8. Damu yako ikitoka nani ata-
kuponyesha ?
9. Maji tukunywayo yanabaki
wapi mwilini ?
10. Ni kweli kama kichwa na tu-
mbo havifanani ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Ninasangaa unarudi
2. Mwili una sehemu mbili, ki
chwa na
3. Kazi ya miguu ni
4. Ngozi ya mtu inaficha
5 ni kazi ya masikio
6. Mtu mzima ana
7. Mwenye mkono mmoja ni
8. Mfupa wa hauonekani
9. Mtu hatembei na
10 hayaoni katika giza
\
Maneno mapya :
1. Kinwa (vinwa)
2. Kichwa (vichwa)
61
3. Mosapi (misapi)
4. Mokila (mikila)
5. Mokwa (mikwa)
6. Mosis (misis)
7. Lokolo
8. Lobko (mabko)
9. Loposo
10. Lolmu (ndmu)
11. Elma (bilma)
12. Etni (bitni)
13. Liso (miso)
14. Lino (mino)
15. Libumu (mabumu)
16. Liti (mati)
17. Tlo (tlo)
18. Solo (solo)
19. Makil
20. Nyka (banyka)
21. Zlo (bazlo)
22. Klngn
23. Nakmwi (kokmwa)
24. Ezali kobina (kobina)
25. Ekesni t (kokesene t)
26. Bimnanaka t (komnana t)
27. Ezipi (kozipa)
28. Ebmbi (kobmba)
29. Ezali koymba (koymba)
30. yo eleki (koleka)
31. Etlaka t (kotla t)
32. Ski ebimi
33. Kokima
34. Kobka
35. Kobnda
36. Kosakana, kobina
37. Tango
62
3. Kidole (vidole)
4. Mkia (mikia)
5. Mfupa (mifupa)
6. Mshipa (mishipa)
7. Mguu
8. Mkono (mikono)
9. Ngozi
10. Ulimi (ndimi)
11. Kilema (vilema)
12. Sehemu
13. Jicho (macho)
14. Jino (meno)
15. Tumbo (matumbo)
16. Sikio (masikio)
17. Kifua (vifua)
18. Mnuko (minuko)
19. Damu
20. Nyoka (nyoka)
21. Pua (mapua)
22. Mzima
23. Minasangaa (kusangaa)
24. Inacheza (kucheza)
25. Zinafanana (kufanana)
26. Hazionekani (kuloonckana)
27. Kinafunika (kufunika)
28. Kinaficha (kuficha)
29. Inaimba (kuimba)
30. Inayopita (kupita)
31. Haliangalii (kutoangalia)
32. Ikitoka (kutoka)
33. Kukimbia
34. Kuvunja
35. Kukokota
36. Kucheza
37. Wakati
UTEYA YA ZOMI NA SAMBO
NZEMBO N MABINA
1. Tl bna bazali kosakana na
Iibnd
2. Masano wn ezali ya koka-
matana t ya kolngisa nz
to ?
3. Lisano ya kokamatana ezali
mosl makasi t
4. Lisano ya koningisa nzto nd
mabina
5. Tango ya mabina mbonda eb-
tamaka
6. Mp bayembi bayembaka.
7. Ski oningisi mokongo t mp
kopumbuka-pumbuka t, oy
bi kobina libina t
8. Moymbi avimbisaka matma
9. Mongng na y eykanaka
mosik
10. Bandeke mp bayembaka ma
lmu
11. Banyama mp balingaka ma
bina
12. Oyo azali na king molai
aymbaka malmu kolka
moto wa king moks
13. Mongng ya nzmbo ebima-
ka na monoko mp ktaka
na mati
14. Bayembi mp babini batokaka
mitki
SOMO LA KUMI NA SABA
NYIMBO NA MICHEZO
1. Angalia watoto wanachezabo-
mani
2. Michezo hiyo ni ya kukama-
tana au ya kutikisa mwili ?
3. Mchezo wa kukamatana si kazi
ngumu
4. Mchezo wa kutikisa mwili ni
dansi
5. Wakati wa dansi ngoma zapi-
gwa
6. Na waimbaji pia huimba
7. Usipotikisa mgongo na kuruka-
ruka, hujui kucheza dansi
8. Mwimbaji avimbisha mashavu
9. Sauti yake yasikilika mbali
10. Ndege pia waimba vizuri
11. Wanyama pia wapenda dansi
12. Mwenyi shingo refu aimba vi
zuri kuliko mtu wa shingo
fupi
13. Sauti ya wimbo inatoka kwa
kinwa na inaingia kwa masi-
kio
14. Waimbaji na wachezaji wa da
nsi wanatoka jasho
63
15. Koymba mp kobina ezali
mosl
16. Bato bassu baftaka babini
17. Ngi mp ski nasepli, nako-
ki kofta mobini
18. Tokende koyka miziki mp
kotla mabina
19. Na sima tokoznga mp ty-
kola
20. Ebongi koykola Hbos ya
kosakana
MIMEKANO
A. Loba maloba yo :
1. Bna bavndi na libnd
2. Bna bazah' koymba na lib
nd
3. Bna bazali kosakana na lib
nd
4. Nakobta mbonda t
Okobta mbonda t
Akobta mbonda t
Tokobta mbonda t
Bokobta mbonda t
Bakobta mbonda t
5. Tango nakoymba, okobanda
kobina
6. Tango bakoymba, tokobanda
kobina
7. Tango bozali kobina, makolo
elngaka
8. Matma ya bayembi evimbi
9. Motoki etndi bilongi ya ba
bini
10. Mongng ya y ezali kitko
koleka mongng ya ndeke
64
15. Kuimba na kucheza dansi ni
kazi
16. Wengine hulipa wachezaji wa
dansi
17. Mimi pia nikifurahi, naweza
kumlipa mchezaji wa dansi
18. Twende kusikia muziki na kua-
ngalia dansi
19. Baadaye tutarudi kujifunza
20. Yafaa kujifunza kabla ya ku
cheza
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Watoto wanakaa bomani
2. Watoto wanaimba bomani
3. Watoto wanacheza bomani
4. Sitapiga ngoma
Hutapiga ngoma
Hatapiga ngoma
Hatutapiga ngoma
Hamtapiga ngoma
Hawatapiga ngoma
5. Nitakapoimba utaanza kuche
za dansi
6. Watakapoimba tutaanza ku
cheza dansi
7 Mnapocheza dansi, miguu ya-
tetemeka
8. Mashavu ya waimbaji yamevi-
mba
9. Jasho inajaa nyuso za wache
zaji
10. Sauti yako ni nzuri kuliko
sauti ya ndege
B. Yanl mitn yo :
1. Oybi kobta mbonda ?
2. Nni azali kobina na lib
nd ?
3. Moto yo azali na kingo mo
lai aymbaka boni ?
4. Ebongi kosakana libos ya
koykola ?
5. Mongng ebimaka wpi na
nzto ?
C. Silis maloba yo :
1. Nazali koyka na kti ya
mokongo
2. Miziki ekti na
3. Nzmbo ya bin ezali kole-
ka nzmbo ya ndeke
4. Tango ya tobtaka
5. Ski oningisi okobina ma
lmu
Maloba ya sika :
L Moymbi (bayembi)
2. Kokamatana
3. Nzmbo (banzmbo)
4. Lisano (masano)
5. Libina (mabina)
6. Mobini (babini)
7. Tango bozali kobina (kobina)
8. Bazali kosakana (kosakana)
9. Motoki (mitoki)
10. Kotoka
11. Mokongo (mikongo)
12. Mongng (mingng)
13. Litma (matma)
14. Mbonda (bambonda)
15. King
B. Jibu maswali haya :
1. Unajua kupiga ngoma ?
2. Nani anacheza dansi boma
ni ?
3. Mwenyi shingo refu aimba
je ?
4. Yafaa kucheza kabla ya kuji
funza ?
5. Sauti yatoka wapi mwilini ? ...
C. Maliza misemwa hii :
1. Ninasikia katika mgongo
2. Miziki inaingia kwa
3. Nyimbo zenu ni kuliko
nyimbo za ndege
4. Wakati wa twapiga
5. Ukitisa utacheza vizuri
Maneno mapya :
1. Mwimbaji (waimbaji)
2. Kukamatana
3. Wimbo
4. Mchezo (michezo)
5. Mchezo wa dansi (michezo ya
dansi)
6. Mchezaji wa dansi (wachezaji
wa dansi)
7. Mnapocheza (kucheza)
8. Wanachezea (kuchezea)
9. Jasho (jasho)
10. Kutoka jasho
11. Mgongo (migongo)
12. Sauti (sauti)
13. Shavu (mashavu)
14. Ngoma (ngoma)
15. Shingo
65
16. Miziki
17. Elongi (bilongi)
18. Na libnd
19. Makasi
20. Koningisa
2L Tokobta (kobta)
22. Ebtamaka (kobtama)
23. Baftaka (kofta)
24. Evirobi (kovimba)
25. Avimbisaka (kovimbisa)
26. Eykanaka (koykana)
27. Etndi (kotnda)
28. Tl (kotla)
29. Kopumbukapumbuka
30. Koleka
31. Moks
32. yo
33. Kolnga
66
16. Muziki
17. Uso (nyuso)
18. Bomani
19. Nguvu
20. Kutikisa
21. Tutapiga (kupiga)
22. Zapigwa (kupigwa)
23. Hulipa (kulipa)
24. Yamevimba (kuvimba)
25. Avimbisha (kuvimbisha)
26. Yasikilika (kusikilika)
27. Inajaa (kujaa)
28. Angalia (kuangalia)
29. Kurukaruka
30. Kuliko
31. Fupi
32. Mwenye
33. Kutetemeka
UTEYA YA ZOMI NA MWAMBI
MBULA, SANZA NA MIKOLO
1. Mwna yo asilisi mbla m
k' ut abtmi
2. Mwna wn asilisi snz boni
ut abtmi ?
3. Mbla mk ezali na snz
zmi na mibal
4. Mwna wa mbla mk azali
mwna yo akokisi snz
zmi na mibal
5. Snz mk ezali na bitni
boni ?
6. Snz mk ezali na bitni
minei babngaka biyenga t
semne
7. Sikyo, bitni ya eyengabib-
ngmakabni?
8. Bitni ya eyengabibngamaka
mikolo
9. Mikolo sambo ekokisi eyenga
mk
10. Na kti ya eyenga mobimba,
bato baslaka mosl mikolo
motb, n kopma mokolo
mk pmba.
11. Tng bakmb ya mikolo ya
semne
12. Mokolo ya kopma babngaka
yang mokolo ya lomingo
13. Mokolo yo elandi ebngama-
ka mokolo ya mosl mk
(t mokolo y lendi) '
14. Kmb ya mikolo missu ela-
SOMO LA KUMI NA NANE
MWAKA, MWEZI NA SIKU
1. Mtoto huyu amemaliza mwaka
mmoja tangu amezaliwa
2. Mtoto huyo amemaliza miezi
mingapi tangu amezaliwa ?
3. Mwaka mmoja una miezi kumi
na miwili
4. Mtoto wa mwaka mmoja ni
mtoto ambaye ametimiza
miezi kumi na miwili
5. Mwezi mmoja una sehemu
ngapi ?
6. Mwezi mmoja una sehemu nne
ziitwazo juma au wiki
7. Sasa, sehemu za. juma huitwa
je?
8. Sehemu za juma huitwa siku
9. Siku saba zinatimiza juma
moja
10. Katika juma nzima watu hufa-
nya kazi siku sita, na hupu-
mzika siku moja tu
11. Taja majina ya siku za wiki
12. Siku ya kupumzika inaitwa
jumapili
13. Siku ifwatayo yaitwi jumata-
tu
14. Majina ya siku ngingine yana-
67
N
ndni boye : mokolo ya mo
sl mibal, mokolo ya mos
l misto, mokolo ya mosl
minei, mokolo ya mosl mi-
tno, mokolo ya pso.
15. Mokolo yo babngaka lendi
nd mokolo ya yambo ya
eyenga, mp mokolo babnga
ka mokolo ya pso nd mo
kolo ya siika ya mikolo .ya
mosl.
16. Moto wa mosl aslaka snz
zmi na mk, mp apmaka
snz mk pmba.
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Mbla ekoy nakosla mob
mbo na eklo-mopaya
2. Semne ekoy tokosla mob
mbo na eklo mosik
3. Mikolo ekoy ekozala mikolo
ya molung
4. Semne eleki, mbla en^kki
mingi
5. Mokolo ya mosl mk ya
semne ekoy nakokokisa
mbla libw ut mbtm na
ngi
6. Mokolo ya mosl minei toko-
smba nyama ya nglu t
7. Leka hbos, nakolanda y si
ma
8. Na mbla minei, mwna na
ngi akosilisa kelsi na y
9. Bitni ya mokolo bibngama-
ka ngonga
68
fwatana hivi : jumanne, juma-
tano, alhamisi, ijumaa na ju-
mamosi
15. Siku iitwayo jumapili ndio si
ku ya kwanza ya juma na
siku iitwayo jumamosi ndio
siku ya mwisho ya siku za
kazi
16. Mfanya-kazi afanya kazi miezi
kumi na mmoja na apumzika
mwezi mmoja tu.
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Mwaka ujao nitasafiri nchi ya
kigeni
2. Wiki ijayo tutasafiri nchi ya
mbali
3. Siku zijazo zitakuwa siku za
joto
4. Wiki iliyopita mvua ilinyesha
nyingi
5. Jumatatu ya wiki ijayo nitati-
miza myaka tisa tangu kuza-
liwa kwangu
6. Alhamisi hatutanunua nyama
ya nguruwe
7. Pita mbele, nitakufwata baada
ye
8. Katika myaka minne mtoto
wangu atamaliza masomo ya
ke
9. Sehemu za siku zaitwa saa
10. Mokolo mobimba ya mosl
eftamaka mosoloya shilingi
zmi t makt tk sambo
B. Yanl mitn yo :
1. Mokolo ya lomingo okokokisa
semne boni ut tango ok-
mki wa ?
2. Mbla yo ezali konoka ut
ngonga boni ?
3. Mwsi na y akosmba nyama
ya ntaba t nyama ya ng-
lu?
4. Opmaka mokolo nini ya eye
nga ?
5. Snz yo ekosila mokolo ni
ni
6. Mbla nini okosla mobe'mbo
na Tanzania ?
7. Mokolo ya ska ya eyenga eb-
ngamaka boni ?
C. Silis maloba yo :
1. Mokolo ya misto ya semne
ebngamaka
2. Nakosla mobmbo semne
ekoy
3. Mwna na y akokokisa
mbla ekoy
4. Lel nasilisi ut nayki
wa
5. Mobh na y ajingaka kolia
nyama ya
6. Ski mbla enki na zndo
7. Mbla eleki, toslki mobmbo
8. Mokolo yamosl mitno ezali
mokolo
10. Siku nzima ya kazi inalipwa
mshahara wa shilingi kumi au
makuta sabini
B. Jibu maswali haya :
1. Siku yajumapiliutatimizajuma
ngapi tangu ulifika hapa ? ....
2. Mvua hii inanyesha tangu saa
ngapi ?
3. Bibi yako atanunua nyama ya
mbuzi au nyama ya nguru-
we ?
4. Unapumzika siku gani ya ju
ma ?
5. Mwezi huu utamalizika siku
gani ?
6. Mwaka gani utasafiri Tanzania ?
7. Siku ya mwisho ya juma yai-
twaje ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Siku ya tatu ya wiki yaitwa
2. Nitasafiri wiki ijayo
3. Mtoto wako atatimiza mwa
ka ujao
4. Lo nimemaliza tangu nili-
kuja hapa
5. Bwana yake apenda kula nyama
ya , .
6. Mvua ikinyesha sokoni
7. Mwaka uliopita, tulisafiri
8. Ijumaa ni siku
69
Maloba ya sika :
I. Ntaba
2. Mosolo (misolo)
3. Mbla (mbla)
4. Mbla
5. Snz (snz)
6. Zmi
7. Kmb (bakmb)
8. Sikyo
9. Ya yambo
H). Nakolanda y
II. Elandani (kolandana)
12. Abtmi (kobtama, mb-
tm)
13. Ebngamaka (kobngama)
14. Okosla mobmbo (kosala mo
bmbo)
15. Ekosila (kosila)
16. Okokokisa
17. Lek (koleka)
18. Nglu
19. Tk sambo
20. Lel
21. Ska
22. Na zndo
23. Eyenga (semne)
24. Mokolo ya pso
25. Mokolo ya lomingo
26. Mokolo ya moslmk
27. Mokolo ya mosl mibal
28. Mokolo ya mosl misto
29. Mokolo ya mosl minei
30. Mokolo ya mosl mftano
70
Maneno mapya :
I. Mbuzi
2. Mshahara (mishahara)
3. Mwaka (miaka)
4. Mvua
5. Mwezi (myezi)
6. Kumi
7. Jina (majina)
8. Sasa
SI Ya kwanza
10. Nitakufwata (kufwata)
II. Yanafwatana (kufwatana)
12. Amezaliwa (kuzahwa)
13. Yaitwa (kuitwa)
14. Utasafri (kusafiri)
15. Utamazika (kumalizika)
16. Utatimiza (kutimiza)
17. Pita (kupita)
18. Nguruwe
19. Sabini
20. Lo
21. Mwisho
22. Sokoni
23. Juma (wiki)
24. Jumamosi
25. Jumapili
26. Jumatatu
27. Juma-nne
28. Jumatano
29. Alkhamisi
30. Ijumaa
UTEYA YA ZOMI NA LIBWA
BAKOMBO YA BASANZA
1. Lel mokolo mk ya snz
ya yambo
2. Lel ezah' eyenga enne na
mokili mobimba
3. Lob na bandeko bnso by
tsepela elong
4. Snz ya mibal t febwli
nd moks koleka basnz
nyso mossu
5. Snz ya misto ebngamaka
mp mlisi
6. Mlisi ezah' snz ya mikolo
tk misto na mk
7. Snz ya minei ezah'na miko
lo tk misto
8. Na snz ya mitno, mbla
enkaka mingi
9. Basnz ya motb, ya sambo
n mp ya mwambi ezah'
snz ya elanga
10. Tango ya basnz yo misto,
babti bapekisaka bna kosa
kana na hbnd
11. Snz ya mwambi n snzya
libw, baykoli bakendaka
kelsi t
12. Snz ya zmi, baykoli bafu-
ngolaka lissu babku
13. Snz ya zmi na mk, bala-
kisi babandaka kopsa ekiza-
m
SOMO LA KUMI NA TISA
MAJINA YA MIEZI
1. Lo ni tarehe moja mwezi wa
kwanza
2. Lo ni sikukuu duniani kote
3. Waambie ndugu wote waje tu-
furahi pamoja
4. Mwezi wa pili au Februari
ndio mfupi kuliko miezi mi-
ngine yote
5. Mwezi wa tatu huitwa pia-
Machi
6. Machi ni mwezi wenye siku
thelathini na moja
7. Mwezi wa nne una siku thela
thini
8. Mwezi wa tano mvua hunye-
sha nyingi
9. Miezi ya sita, ya saba na ya
nane ni miezi ya kipwa
10. Muda wa miezi hii mitatu,
wazazi huwakataza watoto
wasicheze bomani
11. Mwezi wa nane na mwezi wa
usa wanafunzi hawaendi shu
leni
12. Mwezi wa kumi wanafunzi
hufungua tena vitabu
13. Mwezi wa kumi na moja waa-
limu huanza kupana mitiha-
ni
71
14. Snz ya ska ya mbla ezali
snz ya zmi na mibal t
desmbele
15. Febwli ezah' na mikolo tk
mibal na mwambi t tk
mibal na fibw
16. Basnz mossu ezah' na miko
lo tk misto t tk mis
to na mk
17. Kmb mossu ya snz ya
mitno nd mai
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Komb mossu ya snz ya
yambo nd yanwli
2. Kmb mossu ya snz ya
minei nd avilili
3. Kmb mossu ya snz ya
motb nd yni
4. Kmb mossu ya snz ya
sambo nd yli
5. Kmb mossu ya snz ya
mwambi nd ogsiti
6. Kmb mossu ya snz ya
libw nd setmbele
7. Kmb mossu ya snz ya
zmi nd okotbele
8. Kmb mossu ya snz ya
zmi na mk nd novmbele
9. Lobl tat yla bis sukli
lel
10. Mwna, suklbasni, ti mp
yang na ms
11. Bapaya btika makelle, mp
te baykoli bkoka kotnga
12. Tsla makasi, mp te tkoka
ekizamya lel
72
14. Mwezi wa mwisho wa mwaka
ni mwezi wa kumi na mbili
au Decemba
15. Februari ina siku ishirini na
nane au ishirini na tisa
16. Miezi mingine ina siku thela-
thini au thelathini na moja
17. Jina lingine la mwezi wa tano
ni Mei
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Jina lingine la mwezi wa kwa
nza ni Januari
2. Jina hngine la mwezi wa nne
ni Aprili
3. Jina hngine la mwezi wa sita
ni Juni
4. Jina lingine la mwezi wa saba
ni Julai
5. Jina lingine la mwezi wa nane
ni Agosti
6. Jina hngine la mwezi wa tisa
ni Septemba
7. Jina lingine la mwezi wa kumi
ni Oktoba
8. Jina hngine la mwezi wa kumi
na moja ni Nbvemba
9. Mwambie baba atuletee sukari
leo
10. Mtoto safisha sahani na uzitie
mezani
11. Wageni waache makelele kusudi
wanafunzi waweze kusoma
12. Tufanye nguvu ili tuweze mti-
hani wa leo
B. Yanl mitna yo :
1. Mbla ezali na sanza boni ? ....
2. Snz ya mi'nei ebngamaka li-
ssu boni ?
3. Kmb mosusu ya setmbele
ezah' nini ?
4. Yli ezah' na mikolo boni ? ....
5. Snz ya mibal ezali na miko
lo boni ?
6. Okosla mobmbo na ekolo
Zare sanza nini ?
7. Mbla eleki, baykoli bakang-
ki kelsi mokolo nini mpt:
sanza nini ?
8. Mbla yo, mbla ekonoka sa
nz nini ?
9. Lbi ekozala mokolo nmi ? ....
C. Silis maloba yo :
1. Kmb mosusu ya sanz ya
mi'tno ezali
2. Ogsiti ebngamaka mp
3 mp ezali sanz ya
elanga
4 ezali snz ya mbla n
ya malili
5 ezali sanz ya moi n ya
molung
6. Mwna, kang mp ke-
nde na kelsi
7. Mwna, fungl mp t-
nga
8. Febwli ezali na mikolo
9. Snz ya ezali" na
tk misto
10 ezali na mikolo na
mko
11. Lbi ezalaki mokolo ya
B. Jibu maswali haya :
1. Mwaka una miezi mingapi ? ....
2. Mwezi wa nne huitwa tena
je ?
3. Jina lingine la Septemba ni
gani ?
4. Julai ina siku ngapi ?
5. Mwezi wa pili una siku nga-
Pi ?
6. Utasafiri nchi ya Zaire mwezi
gani ?
7. Mwaka uiopita wanafunzi wali-
funga shulesiku ganina mwe
zi gani ?
8. Mwaka huu mvua itanyesha
mwezi gani ?
9. Kesho itakuwa tarehe gani ? ....
G. Mafiza misemwa hii :
1. Jina lingine la mwezi wa tano
ni
2. Agosti huitwa pia
3 na ni miezi ya kipwa
4 ni mwezi wa mvua na
baridi
5 ni mwezi wa jua na joto
6. Mtoto funga na uende
shuleni
7. Mtoto fungua na usome
8. Februari ina siku
9. Mwezi wa una. thela-
thini
10 ina siku na moja
11. Jana ilikuwa terehe
73
Maloba ya sika :
1. Lobla bang (kolobela)
2. Enokaka (konka)
3. Bpekisa bang (kopekisa)
4. Bafungolaka (kofungola)
5. Bakangaki (kokanga)
6. Sukla (kosukola)
7. Tia yang (kotia)
8. Btika (koti'ka)
9. Ekizam (bikizam)
10. Bku (babku)
11. Makelle
12. Maksi
13. Na ms
14. Sni (basni)
15. Mpote
16. Mp5 te
17. Lel
18. Na mokili
19. Tk mibal
20. Tk misto
21. Yayambo
22. Sukali
23. Mokolo ya
24. Lbi
25. YanwU
26. Febwal
27. Mlisi
28. Avilli
29. Mai
30. Yni
SI. YU
32. Ogsiti
33. Setmbele
34. Okotbele
35. Novmbele
36. Desembele
74
Maneno mapya :
1. Waambie (kuambia)
2. Yanyesha (kunyesha)
3. Wawakataze (kukataza)
4. Hufungua (kufungua)
5. Walifunga (kufunga)
6. Safisha (kusafisha)
7. Uzitie (kutia)
8. Waache (kuacha)
9. Mtihani (mitihani)
10. Kitabu (vitabu)
11. Makelle
12. Nguvu
13. Mezani
14. Sahani
15. Kusudi
16. IU
17. Lo
18. Duniani
19. Ishirini
20. Thelathini
21. Wa kwanza
22. Sukari
23. Tarehe
24. Kesho
25. Januari
26. Februari
27. Machi
28. Aprili
29. Mei
30. Juni
31. Julai
32. Agosti
33. Septemba
34. Oktoba
35. Novemba
36. Desemba
LITEYA YA TUKU MIBALE
OZALI NA MBULA BONI ?
1. Nabtmki na mob nkto
mk km libw na tk
minei
2. Mbla yo ezah' nkto m5ko
km libw tk sambo na
minei
3. Boye, nazah' na mib tk
misto na minei
4. Tat na y azali na mib
boni ?
5. Tat na ngai akfki kala,
tango azalaki na mbla tk
mitno
6. Liw na y ekmlki bis
tango nazalki na mbla z-
mi na mi'tno
7. Kultu na ngi ya mobli aza
laki asi'li kobla mwsi
8. Mp ya makil na ngi mab,
nakokaki t koblatango na-
zwki mib tk mfbal
9. Moyibi ayibki mbngo yo
tat ati'kki liboso ya liw na
10. Kultu na ngi ya mobli aza
laki na mosl ya koftela
ngi kelsi mp ya kobokola
balki na ngi
11. Mama y mpazalaki namb
la tk minei na mwambi
SOMO LA ISHIRINI
UNA MIAKA Ml NGAPI ?
1. Nilizaliwa mwaka elfu mia tisa
arobaini
2. Mwaka huu ni elfu mia tisa
sabini na nne
3. Hivyo nina miaka thelathini
na nne
4. Baba yako ana miaka minga-
pi?
5. Baba yangu alifariki zamani,
akiwa na miaka hamsini
6. Kifo chake kilitufkia nikiwa
na miaka kumi na mitano
7. Kaka yangu alikuwa amekwi-
sha kuoa mwanamke
8. Kwa bahati yangu mbaya, si-
kuweza kuoa nilipopata mia
ka ishirini
9. Mwizi aliiba mali ambayo ba
ba aliacha kabla ya kifo dia
ke
10. Kaka yangu alikuwa na kazi
ya kunilira masomo na ya
kuwalea wadogo wangu
11. Mama naye alikuwa na miaka
arobaini na nane
75
12. Sikyo azali' mobang penz;
abandi' kozela liw
13. Kasi liw eponaka moto t;
lki akoki' kokfa libos ya
kultu na y
14. Moto wa bobto akoki' kokfa
elong na moto wa lofndo
15. Bayibi babomaka bato mal-
mu
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Mob mk
Mib zmi
2. Snz zmi na mko
Snz tk mibal
3. Semne tk mibal na mibal
Semene tk mi'sto
4. Mikolo tk minei
Mikolo tk mitno
5. Ngonga tk motb
Ngonga tk sambo
6. Ngonga tk mwambi
Ngonga tk libw
7. Ngonga km mk
Ngonga km misto
8. Mib nkto moka
Mib nkto mibal
9. Mbla mk ezah' na mikolo
km misto tk motb na
mitno
10. Abtmki mob nkto mko
km libw tk mi'tno na
minei
11. Mokolo nakokfa, mokili eko-
zala na esengo t
76
12. Sasa ni mzee sana; anaanza
kungoja kifo
13. Lakini kifo hakichagui mtu :
mdogo anaweza kufa mbcle
ya mkubwa yake
14. Mtu mpole anaweza kufa pa-
moja na mtu wa kiburi
15. Wezi huua watu wema
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Mwaka mmoja
Miaka kumi
2. Miezi kumi na moja
Miezi ishirini
3. Wiki ishirini na mbili
Wiki thelathini
4. Siku arobaini
Siku hamsini
5. Saa sitini
Saa sabini
6. Saa themanini
Saa tisini
7. Saa mia moja
Saa mia tatu
8. Miaka elfu moja
Miaka elfu mbili
9. Mwaka mmoja una siku mia
tatu sitini na tano
10. Alizaliwa mwaka elfu mia tisa
hamsini na nne
11. Siku nitakapofariki dunia hai-
takuwa na heri-
12. Liw na y ekoyla bi's ma-
wa na kti ya mitma
13. Moyibi abomi smzili na bo-
ndki
14. Bakultu n balki na ngi
bnso bazali bato ba bobto
15. Molakisi yo azali na makil
mab : moyibi akmki esi-
k na y na but
B. Yanl mitn yo :
1. Lki nay abtmki nambla
nini ?
2. Kultu na y azalaki na mib
boni ?
3. Liw ya ndeko na y ekmki
snz nini ?
4. Okozala na mib boni mbla
ekoy ?
5. Mob moleki ezalki mbla
nini ?
6. Nnl abomi molakisi wa bin?
C. Silisa maloba yo :
1. Kultu nangi azali namib....
2. Lki na ngi abtmki na
mbla
3. Liw na y eylki bis na
kti ya motma
4. Nazali na mib tk minei na...
5. Moyibi babi nabondki
6. Moto akangki moto wa
bobto
7. Ski nakfi kokmwa t
12. Kifo chake- kitatuletea uchu-
ngu mioyoni
13. Mwizi amemuua mchungaji wa
usiku kwa bunduki
14. Makaka yangu na wadogo wa-
nguwote ni watuwapole
15. Mwalimu huyu ana bahati
mbaya : mwizi alifka kwake
usiku
B. Jibu maswali haya :
1. Mdogo yako alizaliwa mwaka
gani ?
2. Kaka yako alikuwa na miaka
mingapi ?
3. Kifo cha ndugu yake kilifika
mwezi gani ?
4. Utakuwa na miaka mingapi
mwaka ujao ?
5. Mwaka uliopitaulikuwamwaka
gani ?
6. Nani amemuua mwalimu we-
nu ?
C. MaHza misemwa hii :
1. Kaka yangu anamiaka
2. Mdogo wangu alizaliwa mwa
ka
3. Kifo chake kilituletea mo-
yoni
4. Nina miaka arobaini na
5. Mwizi wapishi kwa bundu
ki.
6. Mtu alimfunga mtu mpole.
7. Nikifariki usishangae.
77
Maloba ya sika :
Maneno mapya :
1. Mobi (mib)
1. Mwaka (miaka)
2. Akfki (kokfa)
2. Alifariki (kufariki, 'cufa)
3. Babomaka (koboma)
3. Huua (kuua)
4. Ekmlki bis (kokmela)
4. Kilitufkia (kufkia)
5. Ayibki' (koyiba)
5. Aliiba (kuiba)
6. Moyibi (bayibi)
6. Mwizi (wezi)
7. Koftela ngi (koftela)
7. Kunilipia (kulipia)
8. Kobokola bang (kobokola)
8. Kuwalea (kulea)
9. Eponaka t (kopona t)
9. Hakichagui (kutochagua)
10 bobto
10 ple
11. Kultu
11. Mkubwa, kaka
12. Mbngo
12. Mali
13. Makila mab
13. Bahati mbaya
15. Lki
15. Mdogo
16. Liw
16. Kifo
17. Kala
17. Zamani
18. Sfnzili
18. Mchungaji wa usiku
19. Esengo 19. Heri
20. Zmi
20. Kumi
21. Tk mibal
21. Ishirini
22. Tk minei
22. Arobaini
23. Tk motb 23. Sitini
24. Tk mwambi
24. Themanini
25. Nkto 25. Elfu
26. Bondki
26. Bunduki
27. Esik na y
27. Kwake
28. Km
28. Mia
29. Tk misto 29. Thelathini
30. Tk mitno
30. Hamsini
31. Tk libw
31. Tisini
78
UTEYA YA TUKU MIBALE NA
MOKO
BIKOLO YA MOKILI
1. Mokili ezali na biklo ndng
na ndng
2. Biklo binso wn bisangni
na kti ya lisang mk
3. Lingmb wn libngmi li-
ngmb ya lisang ya biklo
4. Ekolo na eklo elobaka ndi-
nga ya yang mk
5. Mokili ezali na bitni binne
bya mabel mitno yo eb-
ngmi kotin
6.. Biklo bya mindl bizwmi
na kti ya bakotin ya Pt
n Amelika
7. Bikplo bya bato moindo bi-
zwmi na kti ya kotin ya
Afilika
8. Bato ya lngimosusu bazwmi
na bakotin ya Azi n ya
Ositalali
9. Biklo bya Afilika bisangni
na kti ya lingmb ya lisa
ng ya Afilika
10. Bato ba kotin ya Afilika
balobaka ndinga ndng na
ndng
11. Ndinga monne ya Afilika
nd : kiswahfli, kihasa, kia-
rbu, lingla, na bng na
bng
12. Biklo bya Afilika nd : Ali-
jeri, Ejipito, Niieli, Sngal,
SOMO LA ISHIRINI NA MOJA
MATAIFA YA DUNIA
1. Dunia ina mataifa mbalimbai
2. Mataifa hayo yote yanaungana
katika shirika moja
3. Shirika hilo linaitwa shirika la
umoja wa mataifa
4. Kila taifa linasema lugha ya
kipekee
5. Dunia ina sehemu kubwa za
udongo tano ziitwazo mabara
6. Mataifa ya wazungu hupatika-
na katika mabara ya Ulaya
na Amenka
7. Mataifa ya watu weusi hupa-
tikana katika bara la Afrika
8. Watu wa rangi nyingine hupa-
tikana katika mabara ya Azia
naOstralia
9. Mataifa ya Afrika yanaungana
katika shirika la umoja wa
Afrika
10. Watu wa bara la Afrika huse-
ma lugha mbalimbai
11. Lugha kubwa za Afrika ndizo :
Kiswahili, Kihausa, Kiarabu,
Lingala, na kadhalika
12. Mataifa ya Afrika ndio : Aljc-
ria, Misri, Nijeria, Sngal,
79
Kenya, Uganda, Etiopi ,Tanza-
m'a, Zare, Zambi, na bng
na bng
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Ekolo ya y elobaka ndinga
nini ?
2. Eklo ya y elobaka kiarbu
3. Eklo ya y n eklo ya ngi
esangni na kti ya lingmb
mk
4. Lingmb ya basli esngi let
bakisa misolo
5. Balakisi ba minoko bask' ling
mb mk
6. Na mob nkto mk km
libw na tk motb, bami-
ndlbabengnmki na lib-
nda ya Afilika
7. Mindl balobaka minoko ya
kimundl n bato moindo
balobaka ndingaya kiafilika
8. Kotin ya Afilika nd kotin
kitko koleka bakotin mo
susuya mokili mobimba
B. Yanl mitn yo :
1. Bato ya mokili bazali na lngi
nfni?
2. Kotin ya Afilika ezalf ya mi
ndl ?
3. Biklo nini bizwmi na Azi ?
4. Balobaka monoko ya kiafilika
na Pt ?
5. Biklo ya Amelika n ya Pt
bisangni na kti ya ling
mb nini ?
80
Kenya, Uganda, Uhabeshi,
Tanzania, Zare, Zambia, na
kadhalika
MAZOEZ1
A. Sema maneno haya :
1. Taifa lake lasema lugha gani ?
2. Taifa lake husema kiarabu
3. Taifa lake na taifa langu yanau
nganakatika shirika moja
4. Shirika la wafanya-kazi linao-
mba serikali iongeze misha-
hara
5. Waalimu wa lugha wamefanya
shirika moja
6. Katika mwaka elfu mia tisa na
sitini, wazungu walifukuzwa
nje ya Afrika
7. Wazungu husema lughaza kizu-
ngu na watu weusi husema
lugha za kiafrika
8. Bara la Afrika ndilo bara nzuri
kuliko mabara mengine ya
dunia yote
B. Jibu maswali haya :
1. Watu wa duni ni wa rangi gani?
2. Bara la Afrika ni la Wazungu ?
3. Mataifa gani hukaakatika Azia?
4. Husema lugha za Kiafrika Ula
ya ?
5. Mataifa ya Amerika na ya Ulaya
yanaungana katikashirika ga
ni ?
6. Biklo bya Afilika bizali na
lingmb mk ?
7. Mindl baykolaka ndinga ya
kiafilika ?
8. Biklo m'ni bilobaka kiswahili
t lingla na kti ya Afilika ?
C. Sh's maloba yo :
1. Biklo bya mokili bilobaka ....
mk t
2. Mokili ezah' na mk
pmba t
3. Mindl bazwmi na kotin
ya
4. Kotin ya ezali ya bato
moi'ndo
5. Biklo ya Afilika bilobaka
6. Nijeli ezali eklo ya
7. Kihasa ezah' ndinga ya
8. Mosolo ya y ebaki'smi na ....
9. Moyibi abengnmki na mo
b
10. Lingmb ya biklo bya Afi
lika ebngamaka
Maloba ya ka :
1. Eklo (biklo)
2. Lingmb (mangmb)
3. Lisang
4. Mabel
5. Mondl (mindl, bamindl)
6. Let
7. Lngi
8. Ositalah'
9. Pt
10. Azi
11. Bizwmi (kozwama)
12. Bisangni (kosangana)
13. Esngi* (kosnga)
6. Mataifa ya Afrika yana shirika
moja ?
7. Wazungu hujifunza lugha za
Kiafrika ?
8. Mataifa gani husema kiswahili
au Lingala katika Afrika?
G. Maliza misemwa hii :
1. Mataifa ya dunia hayasemi ....
moja
2. Dunia haina moja tu
3. Wazungu hupatikana katika
bara la
4. Bara la ni la watu weusi
5. Mataifa ya Afrika husema
6. Nijeria ni taifa la
7. Kihausa ni lugha ya
8. Mshahara wake umeongezwa
na
9. Mwizi alifukuzwa mwaka
10. Shirika la mataifa ya Afrika
huitwa
Maneno mapya :
1. Taifa (mataifa)
2. Shirika (mashirika)
3. Umoja
4. Udongo
5. Mzungu (wazungu)
6. Serikali
7. Rangi
8. Ostralia
9. Ulaya
10. Azia
11. Hupatikana (kupatikana)
12. Yanaungana (kuungana)
13. Linaomba (kuomba)
81
14. Babengnmki (kobenganama)
15. Abakisa (kobakisa)
16. Ya yang mk
17. Kotin (bakotin)
18. Libnd
19. Bato moi'ndo
20. Etiopi
21. Amelika
22. Afilika
82
14. Walifukuzwa (kufukuzwa)
15. longeze (kuongeza)
16. Ya kipekee
17. Bara (mabara)
18. Nje
19. Watu weusi
20. Uhabeshi
21. Amerika
22. Afrika
UTEYA YA TUKU MIBALE NA SOMO LA ISHIRINI NA MBILI
MIBALE
NANI NDE ABENGANI YO ? NI NANI AMEKUFUKUZA ?
1. Sqki obki mobko ya let,
bakokanga y na bolko
2. Let asli mibko mp bato
btungisanaka t
3. Kokangama na bolko ezah'
etmbu ya moto yo abki
mobko ya let
4. Ski obki mobko ya kelsi,
molakisi akobengana y
5. Eklo na eklo ezali na mib
ko na yang
6. Biklo ndng na ndng bis-
laka mibko ndng na nd
ng
7. Let apekis kobunda na nd
ng ezng ntma
8. Bapoh'si t basod, ski bak-
ti y olngwi na balabla,
bakomema y
9. Komela masanga epekfsmi t,
kasi kolngwa ezali mab
10. Mobko mosusu epeki'si kobo-
ma banyama ya zmba na
bondki t na motmbo
11. Ski moto atungisi' y, fnd
y esilc ya bakngeli-mibko
12. S5ki' molakisi abengm y, na
ndng ezng nti'na, ybis
mokonzi wa kelsi
13. Ski moyekoli abki mobko
ya kelsi, akozwa etmbu
1. Ukivunja sheria ya serikali uta-
fungwa gerezani
2. Serikali imefanyasheria ili wa
tu wasisumbuane
3. Kufungwa gerezani ni malipizi
ya mtu avunjaye sheria ya
serikali
4. Ukivunja sheria ya shule, mwa
limu atakufukuza
5. Kila taifa lina sheria zake
6. Mataifa mbalimbai yanafanya
sheria mbalimbai
7. Serikali inakataza kugombana
bila sababu
8. Mapolisi au Maaskari wakiku-
kuta unalewa barabarani, wa-
takuchukua
97Kunywa^ pombe haik,atazwi,
lakini kulewa ni vibaya
10. Sheria nyingine inakataza kuua
wanyama wa pori kwa bundu-
ki au mtego.
11. Mtu akikusumbua, umshitaki
kwa wachunga-sheria
12. Mwalimu akikufukuza bila sa
babu, umjulishe kiongozi wa
shule
13. Mwanafunzi akivunja sheria ya
shule, atapata malipizi
83
14. Libos ya kofnda moni'ng 14. Kabla ya Kumshtaki mwenza-
na y, yb nai'no okosmba ko, ujue utateteaje.
boni.
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Basod babtki molngwi
mp atmlki bang
2. Balngwi batmlki soda na
balabla
3. Mobkoepeki'si matmoh'
4. Poh'si abtlki molngwi mo-
langi ya masanga
5. Moto ya lofndo abyki ko-
landa soda
6. Soda abtki sofle mbat
7. Sofle abomki molngwi na
mtuka na y
8. Basofle balngwi bakangmi
na bolko
9. Epeki'smi koboma moto na
mtuka, na motmbo t na
bondki
10. Moyekoli wa lofndo azwki
mbat lokla etmbu na y
B. Yanl mitn yo :
1. Ski obki mobko ya kelsi
okozwa m'ni ?
" 2. Ski obki mobko ya let
okokende wpi ?
3. Molakisi alingaka mwna ya
matmoh' ?
4. Soda abtki sofle mbat bo
ni?
5. Nni abtlki soda bond
ki ?
6. Molngwi amelki milangi bo
ni ?
84
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Maaskari walimpiea mlevi kwa
sababu aliwachokoza
2. Walevi walimchokoza askari
barabarani
3. Sheria yakataza uchokozi
4. Polisi alimnyang'anya mlevi
chupa ya pombe
5. Mtu mwenye kiburi alikataa
kumfuata askari
6. Askari alimpiga derevakofi
7. Dereva alimwua mlevi kwa gari
lake
8. Madereva walevi wamefungwa
gerezani
9. Inakatazwa kuua mtu kwa
gari, kwa mtego au kwa bu-
nduki
10. Mwanafunzi mwenye kiburi
alipata kofi kama malipizi ya
ke
B. Jibu maswali haya :
1. Ukivunja sheria ya shule uta-
pata nini ?
2. Ukivunja sheria ya serikali uta-
kwenda wapi ?
3. Mwalimu hupenda mtoto
mchokozi ?
4. Askari alimpiga dereva makofi
mangapi
5. Nani alimnyang'anya askari
bunduki ?
6. Mlevi alikunywachupa ngapi ?
7. Balabla ezali esik ya kobu-
nda ?
8. Ski moto atmli y na nd
ng ezng nti'na, okobta
y ?
9. Nniapski yetmbu wn?
10. Okosilisa snz boni na bol
ko ?
C. Silis maloba yo :
1. Molngwi azwi snz ya
bolko
2. Soda amelki ya masanga
3. Moyekoli atmlki
4. Mwna ya lofndo abyki ....
5. Ski obyi koykola, okoko-
ka t
6. Kelsi ezali esik ya
7. Etmbu na y ezah'
8. Molngwi abkki ya let
9. Sofle moto na mtuka
10. Ski obyi kolanda soda, ba-
kobta y
Maloba ya sika
1. Soda (basod)
2. Molngwi (balngwi)
3. Poli'si (bapoh'si)
4. Sofle (basofle)
5. Bolko
6. Molangi (milangi)
7. (Na) balabla
8. Mobko (mibko)
9. Na ndng ezng nti'na
10. Matmoh' (moto ya )
11. Bakngeli-mibko
7. Barabarani ni mahali pa ku-
gombana ?
8. Mtu akikuchokoza bila sababu,
utampiga ?
9. Nani alikupatia malipizi hayo ?
10. Utamaliza miezi mingapi gere
zani ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Mlevi amepata miezi ya ge-
reza
2. Askari alikunywa yapombe
3. Mwanafunzi alichokoza
4. Mtoto mwenye kiburi alika-
taa
5. Ukikataa kujifunza, hutaweza...
6. Shule ni mahali pa
7. Malipizi yake ni
8. Mlevi alivunja ya erikali
9. Dereva mtu kwa gari
10. Ukikataa kumfwata askari, wa-
takupiga
Maneno mapya :
1. Askari (maaskari)
2. Mlevi (walevi)
3. Polisi (mapolisi)
4. Dereva (madereva)
5. Gereza
6. Chupa (chupa)
7. Barabara ( - ni)
8. Sheria
9. Bila sababu
10. Uchokozi (mchokozi)
11. Wachunga-sheria
85
12. Abyki (kobya)
13. Epeki'smi (kopekisama)
14. Motmbo (mitmbo)
15. Etmbu
16. Esik
17. Lokla
18. Kolngwa
19. Abtlki (kobtola)
20. Batmlki y (kotmola)
21. Abkki (kobka)
22. Ski bakti y (kokta)
23. Okosmba (kosmba)
24. Bakomema y (komema)
25. Ski atungisi y (kotungisa)
26. Kofnda
27. Mbat (mbat)
86
12. Alikataa (kukataa)
13. Inakatazwa (kukatazwa)
14. Mtego (mitego)
15. Malipizi
16. Mahali
17. Kama
18. Kulewa
19. Alinyang'anya(kunyang'anya)
20. Walimchokoza (kuchokoza)
21. Alivunja (kuvunja)
22. Wakikukuta (kukuta)
23. Utatetea (kutetea)
24. Watakuchukua (kuchukua)
25. Akikusumbua (kusumbua)
26. Kushtaki
27. Kofi (makof)
UTEYA YA TUKU MIBALE NA
MISATO
MOBEMBO YA MOSIKA
1. Bn btmbola makolo, t-
tmbola noki
2. Ski batmbli noki t, toko-
znga ppo ya ngonga ya li
bw ya tng
3. Kasi nk na y atlmi nai'no
t !
4. Lobla y tlema, mp landa
nzel ya libnd ya ppo
5. Bpsa lokendo, ppo ezali
penepene na kopumbuka
6. Etikli naino lokendo ya kil-
mtele mibal na ndmbo
libos ya kokma na liband
yappo
7. Bokopumbuka na ppo ya ko-
mpanyi m'ni ?
8. Ppo ya sika koleka ezali yo
ya kompany ya "Mopepe ya
Zare" mp yo ya "Nzel
ya mopepe ya lingmb ya
Afilfka oriantle"
9. Tlo ya tik ezali* malmuepi
ya bakompany mibal wn
10. Kolongwa na Bujumbra ti'i
na Entbbe, moto na moto
akofta bobl shih'ngi km
misto t za're tk mibal
na mk
SOMO LA ISHIRINI NA TATU
SAFARI YA MBALI
1. Watoto wainue miguu, tute-
mbee mbio
2. Tusipotembea mbio, tutache-
lewa ndege ya saa tatu asu-
buhi
3. Mbona mjomba yako hajasi-
mama bado !
4. Umwambie asimame, na afwa-
te njia ya uwanja wa ndege
5. Sukumeni mwendo, ndege ipo
karibu kuruka
6. Kunabaki bado mwendo wa
kilomita mbili na nusu kabla
ya kufika uwanjani
7. Mtaruka na ndege ya kampuni
gani ?
8. Ndege mpya zaidi ni zile za
kampuni ya ,4Hewa ya Zaire"
na zile za "Njia ya Hewa ya
Shirika la Afrika Mashariki"
9. Bei ya tiketi ni rahisi kwenyi
makampuni hayo mawili
10. Kutoka Bujumbura hadi Ent
bbe kila moja atalipa tu shili-
ngi mia tatu au zaire ishirini
na moja
87
11. Bokokita nanzeltango mok,
t bokokende libl tii na
Kinshasa ?
12. Ski tokiti, tokomela ngonga
mk na ndmbo na mbka
Tabra
13. Tozali na bandeko baye bako-
zila bis esik ya libnd ya
ppo ya Tabra
14. yo nd mbala ya libos bna
na ngi basli mobmbo ya
mosik
MIMEKANO
A. Loba maloba yo :
1. Tos tomesni na ppo
2. Bamesni na mobmbo ya p
po naino t
3. Ppo ekiti na libndnaino t
4. yo nd mbala ya ska nat-
mbli na mtuka
5. Ski olingi, mela mingi t
6. Ski bolingi, btmbola ma-
bko ya bi'n
7. Nk na y azali kalka na
kti ya kompany ya ppo
8. Ski atlmi, soply masa-
nga na elongi
9. Ps mbto tii efelo yandko
10. Tango tokomnana elongi na
elongi ndnakoybisa y sa-
ngonay
88
11. Mtashuka njiani kwa mda
mdogo au mtasafiri moja kwa
moja mpaka Kinshasa ?
12. Tukishuka, tutakawia saa moja
na nusu mjini Tabra
13. Tuna wandugu watakaotungo-
ja pa uwanja wa ndege wa
Tabra
14. Hii ni mara ya kwanza, watoto
wangu wanafanya safari ya
mbali
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Tunakwsha'zoea ndege
2. Hawajazoea safari ya ndege
3. Ndege haijatuabado uwanjani
4. Hii ni mara ya mwisho nina-
tembea kwa gari
5. Tafadhali usikawie sana
6. Tafadhali, inueni mikono yenu
7. Mjomba yake ni karani katika
kampuni ya ndege
8. Akisimama, ummwagie pombe
usoni
9. Sukuma kitanda hadi ukuta
wa nyumba
10. Tutakapoonana uso kwa uso,
ndipo nitakupasha habari ya
ke
B. Yanla mitn yo :
1. Ezali lokendo ya kilmtele
boni ut wa tii na libnd
ya ppo ?
2. Bappo ya sika koleka ezali ya
kompany nini ?
3. Bokomela ngonga boni' na
nzel, ski botmbli na ma-
kolo?
4. Ski -alandi bi'n noki, akokta
bin wpi ?
5. Ski ozngi ppo ya lel, oko-
kende mokolo nini ?
6. Ppo wn epumbukaka kil
mtele boni nangongamk
7. Tlo ya tik ut Kinshasa tii
Dar-es-salaam ezali boni ? ....
8. Ski' osopli bang mai, bako-
seka ?
9. Ski atlmi noki, okozela y
wpi ? ......
C. Sih's maloba yo :
1. Ski nazngi nakokende
na makolo
2. Mp ya kokoma noki", ebongi
kopumbuka na
3. Libnd ya ezali mosik
na
4. Eti'kli bobl libos ya
kokita
5. Kilmtele minei ezah'
moks t
6. Ski amli, akoznga
7. Kompany ya Zare, eb
ngamaka
B. Jibu maswali haya :
1. Ni mwendo wa kilomita ngapi
tangu hapa hadi uwanja wa
ndege ?
2. Ndege mpya zaidi ni za kampu
ni gani ?
3. Mtakawia saa ngapi njiani, mki-
tembea kwa miguu ?
4. Akiwafwata mbio, atawakuta
wapi ?
5. Ukichelewa ndege ya leo, uta-
kwenda siku gani ?
6. Ndege hiyo yaruka kilomita
ngapi kwa saa moja ?
7. Bei ya tiketi kutoka Kinshasa
mpaka Dar-es-salaam ni je ? ..
8. Ukiwamwangia maji, watache-
ka ?
9. Akisimama mbio, utamngoja
wapi ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Nikichelewa nitakwenda
kwa miguu
2. Kwa kufika mbio, yafaa kuru-
ka kwa
3. Uwanja wa upo mbali ya...
4. Kunabaki tu kabla ya
kushuka
5. Kilomita nne si mfupi
6. Akikawia, atachelewa
7. Kampunyi ya ya Zaire,
huitwa
89
8. Libnd ya ppo ya mbka- 8. Uwanja wa ndege wa mji mku-
mokonzi ya Uganda ebnga- bwa wa Uganda huitwa
maka
9. Ski atlmi noki t, nako- 9. Asiposimama mbio, nita-
sopela y mmwangia
10. yo ezah' mbala ya Ubos 10. Hii ni mara ya kwanza, tunao-
tomnni elongi nanauso ......
Maloba ya sika
l.Ppo
2. Kompany
3. Mopepe
4. Tik
5. Libl
6. (Na) elongi (bilongi)
7. Mbto (bambto)
8. Efelo (bifelo)
9. Bakoseka (koseka)
10. Bamesni naino t (komesene
t)
11. Ekiti naino t (kokita t)
12. Btmbola (kotmbola)
18. Ski atlmi (kotlema)
14. Libnd ya ppo
15. Kilmtele
16. Orientale
17. Epi
18. Ti
19. Ndmbo
20. Bokomela (komela)
21. Epumbki (kopumbuka)
22. Okozela y (kozela)
23. Tokoznga (koznga)
24. Bpsa (kopsa)
25. Bokokita (kokita)
26. Ski osopli bang (kosopela)
90
Maneno mapya :
1. Ndege
2. Kampuni
3. Hewa
4. Tiketi
5. Moja kwa moja
6. Uso (-ni) (nyuso)
7. Kitanda (vitanda)
8. Ukuta (kuta)
9. Watacheka (kucheka)
10. Hawajazoea (kutozoea)
11. Haijatua (kutotua)
12. Wainue (kuinua)
13. Akisimama (kusimama)
14. Uwanja wa ndege
15. Kilomita
16. Mashariki
17. Kwenyi
18. Hadi, mpaka
19. Nusu
20. Mtakawia (kukawia)
21. Inaruka (kuruka)
22. Utamungoja (kungoja)
23. Tutachelewa (kuchelewa)
24. Sukumeni (kusukuma)
25. Mtashuka (kushuka)
26. Ukiwamwagia (kumwagia)
UTEYA YA TUKU MIBALE NA SOMO LA ISHIRINI NA NNE
MINEI
BAKOBENGANA YO NA MOSA- WATAKUFUKUZA KAZINI
LA
1. Lbi mp lel oyki sima ya
tango na bil
2. Ski ozngi bi'si, ebongi b-
tela ngi telefne
3. Boye nakoyba te okoy sima
na mosl
4. Ebongi kobanda mosl na
tango
5. Koloba lokut mp koksa
bakonzi na y ya mosl eza
li lismu
6. Ski ozali na maksi ya koya,
t ya kobte telefne t,
tind ndeko na y
7. Boye, ski bangn na y
bameki kotia songisongi li-
kol na y, nakondimabang
t
8. Oybi te Tmbwe aloblki
ngi te ozalki kofinga y na
kti ya bisi ?
9. Moto lokla Tmbwe azali
moto ya kokba na y mingi
10. Akoki kokwisa y na kti ya
likma mp ya lokut na y
11. Kb na bato lokla y wn
12. Ski olandi toli yo nazali
kopsa y t, bakobengana
y na mosl
l.Jana na leo umefika nyuma
ofisini
2. Ukichelewa/basi, yafaa unipi-
gie simu
3. Hivyo, nitajua kwamba utafika
nyuma kazini
4. Yafaa kuanza kazi kwa wakati
5. Kusema wongo na kudanganya
wakubwa wako wa kazi ni
dhambi ;
6. Kama huna nguvu ya kufika
au ya kupiga simu, tuma ndu
gu yako
7. Hivyo, kamamaadui wako wa-
najaribu ktikuteta, sitawasa-
diki
8. Unajua kama Tmbwe alinia-
mbia kwamba ulikuwa uki-
mtukana katika basi ?
9. Mtu kama Tmbwe ni mtu wa
kufanyia angalisho sana
10. Anaweza kukuangusha katika
msiba sababu ya wongo wake
11. Fanya angalisho nawatu kama
huyo
12. Usipofwata shauri hili ninalo-
kupatia watakufukuza kazini
91
13. Mokonzi na y ya mosl,
ski akti, tlm, mp ya
kopsa y mbte
14. Bakonzi balingaka baye bazali
kopsa bang limemy
15. A ta ski osakanaka na moko
nzi wa y, kb tango azali
kopsa mibko na y
MIMEKANO
A. Loba maloba yo :
1. Ozngki bisi mp oyki sima
ya tango
~_j 2. Ski olingf koznga bisi t,
yk libos ya tango
3. Bakobtela ngi telefne na
ngonga boni ?
4. Koksa ngi mbala mosusu t
5. Tango okoksa lissu, nako-
bengana y na kelsi
6. Bangn na y bafndki y
epi na ngi, kasi nandimaki
bang t
7. Ata baning na y bafingki
y mp baslli y songisongi
8. Kb mingi na bakonzi na y
ya mosl
9. Tango okokwa na kti ya
hbl okobnga ngi mp
nasalisa y
10. Bakoseka y t mp olandki
toli yo tat na y atiklkf
y
92
13. Mkubwa wako wa kazi, akii-
ngia, simama kwa kumsalimia
14. Wakubwa hupenda watu we-
nyi kuwapatia heshima
15. Hta kama unazoea kucheza
na mkubwa wako, ufanye
angalisho anapotoa amri zake
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Ulichelewa basi, sababu ulifika
nyuma ya wakati
2. Usipotaka kuchelewa basi, fi-
ka mbele ya wakati
3. Watanipigia simu saa ngapi ?
4. Usinidanganye mara nyingine
5. Utakapodanganya tena, nita-
kufukuza shuleni
6. Maadui wako walikushtaki
kwangu, lakini sikuwasadiki
7. Hta wenzako walikutukana
na kukuteta
8. Angalisho sana na wakubwa
wako wa kazi
9. Utakapoanguka shimoni, uta-
niita ili nikusaidie
10. Hawatakuchekelea sababu uli-
fwata shauri baba yako alilo-
kupatia
B. Yanl mitn yo :
1. Tango omnki y, apski
y toli nini ?
2. Nni abki basni ?
3. Mokolo nini osliski ngi na
mokmb ?
4. Mp ya nini bakski y ?...
5. Ski abyi koyamba telefne,
okosla y boni ?
6. Mongn, ski afingi y, oko-
fnda y wpi ?
7. Tango okmki na Tabra
mbab ya libos, okmwki
t ?
8. Mp ya nini babengnki mo-
ning na y ha mosl ?
9. Mwna na y abandi kotle-
ma ?
10. Likm wn eslmki mo
kolo nini ya semne ?
C. Sili's maloba yo :
1. Nasiliki mp mwna na
ngi na kelsi
2. Bangn na ngi epi ya
mokonzi ya mosl
3. Olandki toli t
4. Ski mopaya aslisi y
telefne
5. Kba, na libl
6. Bakski ngi bozba na
ngi
7. Mobko ya kopekisa masanga
ezali
8. Mtuka na y na kti ya
liblu
B. Jibu maswali haya :
1. Ulipomwona, alikupatia shauri
gani ?
2. Nani amevunja masahani ? ...
3. Siku gani ulinisaidia kwa mzi-
go ?
4. Sababu gani walikudanganya? ...
5. Akikataa kujibu simu, utamfa-
nya je ?
6. Adui akikutukana, utamshtaki
wapi ?
7. Ulipofika Tabra mara ya
kwanza, hukusangaa ?
8. Sababugani walimfukuza mwe-
nzako kazini ?
9. Mtoto wako anaanza kusima-
ma ?
10. Msiba huo ulifanyika siku gani
ya wiki ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Ninakasirika kwa sababu
mtoto wangu shuleni
2. Maadui wangu kwa mku-
bwa wa kazi
3. Hukufuata shauri
4. Mgeni akikusaidia simu
5. Angalisho, shimoni
6. Walinidanganya ujingawa
ngu
7. Sheria yakukataza pombe ni...
8. Gari lake shimoni
93
9. Ski oslisi ngi na mok-
mba' telefne
10. Bato ya lokut bazali mi-
k, kasi bato ya sl bazali ...
Maloba ya sika
1. Mongn (bangn)
2. Likm (makam)
3. Mokonzi ya mosl (bakonzi
ya mosl)
4. Motindo (mitindo)
5. (Na) libl (mabiilu)
6. Mokmb (mikmb)
7. Lokut
8. Toli
9. Maksi
10. Telefne
11. Bisi
12. Kb (kokba)
13. Ti'nd (kotinda)
14. Nakondima bang t (kondi-
ma t)
15. Lismu (masmu)
16. Limemy
17. Epi na ngi
18. Te
19. (na) bil
20. Aloblki ngi (kolobela)
21. Bakobengana y (kobengana)
22. Ski oseki (koseka)
23. Koksa ngi t (koksa t)
24. Bafingki y (kofinga)
25. Nasalisa y (koslisa)
26. Okmwki t (kokmwa)
27. Eslmki (kosalama)
28. Tango okokwa (kokwe'a)
94
9. Ukinisaidia kwa mzigo
simu
10. Watu wenye uongo ni wa-
chache lakini watu wa ukweli
ni
Maneno mapya :
1. Adui (maadui)
2. Msiba (misiba)
3. Mkubwa wa kazi (wakubwa
wa kazi)
4. Amri
5. Shimo (ni) (mashimo)
6. Mzigo (mizigo)
7. Uongo
8. Shauri
9. Nguvu
10. Simu
11. Basi
12. Angalisho (kufanya angalisho)
13. Tuma (kutuma)
14. Sitawasadikia (kutosadikia)
15. Dhambi
16. Heshima
17. Kwangu
18. Kwamba
19. Ofsi (ni)
20. Aliniambia (kuambia)
21. Watakufukuza (kufukuza)
22. Ukicheka (kucheka)
23. Usinidanganye (kutodanganya)
24. Walikutukana (kutukana)
25. Nikusaidie (kusaidia)
26. Hukushangaa (kushangaa)
27. Ulifanyika (kufanyika)
28. Utakapoanguka (kuanguka)
29. Bameki (komeka) . 29. Wanajaribu (Kujaribu)
30. Bakoseka y t (koseka t) 30. Hawatakuchekelea (kutochekelea
31. Tango okotlema (kotelema) 31. Utakaposimama (kusimama)
32. Kosla songisong likolo na y 32. Kukuteta
95
UTEYA YA TUKU MIBALE NA SOMO LA ISHIRINI NA TANO
MITANO
LIKAMA YA MOTUKA NA MSIBA WA GARI NJIANI
NZELA
1. Sofle yo alngwki masanga
azalaki kotmbwisa mtuka
na but
2. Absnki kopelisa mwi'nda
ya mtuka
3. Mp ya molili mingi akokki
t komna balabla malmu
/ 4. Atti nzet eye ezalki pe-
mbni ya nzel
5. Mtuka ebbki mabmp y
mk azokki
6. Akwki na se mp allki
penepene ya mtuka
7. Bato baye bazalki koleka ba-
ykki mongng ya moto
yo azali na psi
8. Tango bamni y, bamemi y
na lopitlo
9. Knbamnganga basukli y
mp bapsi y kisi
10. Sikyo bapt na y nyso
ekobika na sima ya mikolo
mik
11. Sofle wn alpi te akomela
lissu masanga t
12. Kasi mbala na mbala, moto
ski asili abiki, absanaka
mp akwaka lissu
96
1. Dereva aliyelewa pombe alite-
mbeza gari usiku
2. Alisahau kuangaza mataa ya
gari
3. Sababu ya giza nyingi haku-
weza kuona barabara vizuri
4. Aligonga mti uliokuwa pembeni
ya njia
5. Garililiharibikavibaya na yeye
mwenyewe aliumia
6. Alianguka chini na akalala ka-
ribu nagari
7. Watu waliopita walisikia sauti
ya mtu mwenyi maumivu
8. Walipomwona wakamchukua
hospitalini
9 Huko waganga wamemsafisha
na wamempa dawa
10. Sasa vidonda vyake vitapona
katika siku chache
11. Dereva huyo ameapa kwamba
hatakunywa tena pombe
12. Lakini mara na mara mtu
akiishapona anasahau na ana-
anguka tena
13. Ebongi', ski omeli masanga
koleka, kotmbwisa mtuka
t
14. Mp tango ozali kotmbwisa,
ebongi t mela masanga
15. Kasi komela pmba ezali ma-
b t lokla kolngwa
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Ski ozali kotmbwisa mtu
ka na but, pelis mwinda
2. Ski ozali* na mwi'nda t ko
tmbwisa mtuka na but t
3. Mtuka, ski ezali na minda,
kobsana kopelisa yang t
4. SAki olingi, tla libos mp
landa balabla malmu
5. Mtuka ekotta nzet t, ski
olandi nzel
6. Ski ozoki' bapt, kend na
lopitlo
7. Ski ozali' na pt, kobnga
kisi t
8. Molngwi alpi te akozoka
lissu t
9. Tango abikki, absni psi
yo aykki kala
10. Molngwi alingaka koymba,
nzokand mongng na y
ezah' mab
B. Yanl mitn yo :
1. Mp ya m'ni ottki nzet
pembni ya nzel ?
13. Yafaa ukinywa pombe mno
usitembeze gari
14. Na unapotembeza gari haifai
unywe pombe
15. Lakini kunywa tu si vibaya
kama kulewa
MAZOEZI
A. Sema maneno haya
1. Kama unaongoza gari usiku,
wakisha taa
2. Kama huna taa, usiongoze gari
usiku
3. Kama gari lina mataa, usisahau
kuyawakisha.
4. Tafadhali angalia mbele, ili
ufwate barabara vizuri.
5. Gari halitagonga mti kama una-
fwata njia
6. Ukiumia vidonda, nenda hospi-
talini
7. Ukiwa na kidonda, usiogope
dawa
8. Mlevi ameapa kwamba hatau-
mia tena
9. Alipopona, amesahau maumivu
aliyoyasikia zamani
10. Mlevi hupenda kuimba ijapo
sauti yake ni mbaya
B. Jibu maswali haya :
1. Sababu gani uligonga mti pe
mbni ya njia ?
97
UTEYA YA TUKU MIBALE NA SOMO LA ISHIRINI NA SITA
MOTOBA
BOZALAKI WAPI ? MLIKUWA WAPI ?
1. Tozalki kotia tembe te bako -
y lissu t
2. Totmblki tng saa
3. Ski bollki pongf, mbele
boktki bis wa t
4. Bin mp, ski' bozilki t,
mbele toktki bin t
5. Kasi lbi na pkwatolembki
na kolukabin
6. Ski bolukki bi's penepene
na libngo, mbele toktnki
7. Tango tozalki koleka pene
pene na ebale, totngki liy-
bisi yo epekisi' bato kowa-
yawaya na but
8. Ski bobngki liybisi wn
t, mbele bosliski bis ko-
silisa tembe na bis
9. Tozalki komibmba na- se
ya nzet mp tovndki liko
lo ya zlo ya libngo
10. Ski bozalki kosolola na mo-
ngng molai, mbele toz-
ngki sima t
11. Kasi toybki t te bozalki
koluka bis
12. Mokolo mosusubotungisa bis
ndng wn t na kowaya-
waya
100
1. Tulikuwa tukifanya ubishi
kwamba hawatakuja tena
2. Tulitembea usiku kucha
3. Mngalilala usingizi hamngetu-
kuta hapa
4. Nyinyi pia hamngalitungoja,
hatungewakuta
5. Lakini jana jioni tulichoka ku-
watafuta
6. Mngalitutafutia karibu na ki-
vuko, tungalikutana
7. Tulipopita karibu ya mto, tuli-
soma tangazo linalokataza
watu kuwayawaya usiku
8. Hamngaliogopa tangazo hilo,
mngalitusaidia kumaliza ubi
shi wetu
9. Tulikuwa tunajificha chini ya
mti tukikaa juu ya mchanga
wa kivuko
10. Mngalikuwa mnaongea kwa
sauti kubwa, hatungalirudi
nyuma
11. Lakini hatukujua kama mliku-
wa mkitutafuta
12. Siku ingine msitusumbue hi
vyo na kuwayawaya
13. Mokolo mosusu tokosnga bi
n ndingisa ya kotmbola
mosik
14. Ski bosngki ndingisa, mbe
le totiki tembe t
15. Tolingki komata likolo ya
maswa yo ezalki na lib-
ngo, kasi tozwki ndingisa t
MIMEKANO
A. Loba maloba yo :
1. Ski naybki lingla, mbele
nakendki na Zaire
2. Ski oybki kiswahili, mbele
otangaki liybisi yo
3. Ski tozalki na tango, mbele
tomatki likolo ya maswa
4. Ski akmki noki t, mbele
tosi'ii'ski tembe
5. Ski bazalaki na mbngo eko-
ki, mbele basmbki mtuka
ya sika
6. Ski ozih' snz mk, mbele
tokei na Tanzam'a elong
7. Ski tat apski ngi ndingi
sa, mbele nalandaki bin
8. Ski mama atindaki ngi na
zando, mbele nabyi t
9. Ski olngwki masanga t,
mbele ozokki bapt mingi
t
10. Ski ofngaki ngi, mbele na-
fndi y na tat
13. Siku ingine tutawaomba ruhu-
sa ya kutembelea mbafi
14. Mngaliomba ruhusa, hatunga-
libishi
15. Tulitamani kupanda juu ya
merkebu iliyokuwa kivukoni,
lakini hatukupata ruhusa
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Ningalijua lingala, ningekwe-
nda Zaire
2. Ungalijua kiswahili, ungaliso-
ma tangazo hili
3. Tungalikuwa na wakati, ka
ma tulipanda juu ya merke
bu
4. Hangalifika mbio, kama tuli-
maliza ubishi
5. Wangekuwa na pesa ya kuto-
sha wangenunua gari mpya
6. Ungengoja mwezi moja, kama
tutakwenda Tanzania pamoja
7. Baba angalinipa ruhusa, kama
niliwafwata
8* Mama angenituma sokoni, -
ngekataa
9. Hungalilewa pombe, hungalhi-
mia vidonda vingi
10. Ungenitukana, kama nitaku-
shtaki kwa baba
101
B. Yanl mitnyo :
1. Ski atmbwi'saki mtuka
mbngu penz, mbele aktki
y wpi ?
2.-Ski naybki angel, mbele
opsi ngi'nini?
3. Ski* azangki maswa, mbele
asli lissu mobmbo na ni
ni ?
4. Tango okmki na libngo,
omibmbki wapi ?
5. Libngo ezah' moska t pne-
pne ya magazii ?
6. Pembni ya ebale wn ezah'
zb mp mabng ?
7. Tembe kti ya bin mibal
esflki bm' ?
8. Nni nd adfki mtuka na
y ?
9. Ski asngki te dfa bila-
mb na y, mbele obyki" ?
10. Ski tat na y asngki ndi
ngisa, mbele obenganaki bi
s ? ......
C. Silis maloba yo :
1. Ski naybki" mokand
epi na y
2. Ski* ofngaki ngi,
3. Ski mbla enkki, mbele...
noki
4. Ski azwki maswa, mbele
ayki na t
5. Ski alngwki mbele
attaki
6. Ski* tondimki toli1 ya ,
mbele tokwki
102
B. Jflbu maswali haya :
1. Angalitembeza gari mbio sana,
angalikukuta wapi ?
2. Ningejuai kiingereza, ungenipa
nini ?
3. Angalichelewa merkebu, kama
atasafiri tena na nini ?
4. Ulipofika kivukoni, ulijifcha
wapi ?
5. Kivuko kipo mbaK au karibu
na duka ?
6. Pembeni ya mto huo kuna
mchangana mawe ?
7. Ubishi kati ya nyinyi wawili
ulikwisha je ?
8. Ni nani alijiazima gari lake ?...
9. Angaliomba kujiazima mavazi
yako, ungalikataa ?
10. Baba yako angaliomba ruhusa,
ungalitufukuza ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Njngelijua, barua kwake
2. Ungelinitukana,
3. Mvua ingelinyesha,.... mbio
4. Angelipata merikebu, hangeli-
kuja na
5. AngeKIewa angeligonga...
6. TungeKsadiki angalisho la
tungelianguka
7. Ski tobkki mobko,
tokfki
8. Ski asngki ndingisa,
azwki
9. Ski otiki tembe, mbjele oz-
ngki
10. Ski alandki bis, mlf>ele
aktki
D. Maloba ya sika :
1. Ebale (bibale)
2. (na) libngo (mabongo)
3. Liybisi (maybisi)
4. Libng (mabng)
5. dfa (kodfa)
6. Zlo
7. Ndingisa
8. Oyklki (koykola)
9. Tolembki (kolemba)
10. Qmibmbki (komibmba)
11. Toktnki (koktana)
12. Btungisa (kotungisa)
13. Tomatki (komata)
14. Qbyki (kobya)
15. Asngki (kosnga)
16. Balukki (koluka)
17. Bobngki (kobnga)
18. Kosolola
19. Kowayawaya
20. Mbngu
21. Mbele
22. Maswa
23. Tembe
7. Tungelivunja sheria tunge-
lifariki
8. Angeliomba ruhusa ange-
lipata
9. Ungelifanya ubishi, ungeliche-
lewa
10. Angelitufuata, angelikuta
D. Maneno mapya :
1. Mto (mito)
2. Kivuko (ni) (vivuko)
3. Tangazo (matangazo)
4. Jiwe (mawe)
5. Ajiazime (kujiazima)
6. Mchanga
7. Ruhusa
8. Ulijifunza (kujifunza)
9. Tulichoka (kuchoka)
10. Ulijifcha (kujificha)
11. Tulikutana (kukutana)
12. Msumbue (kusumbua)
13. Tulipanda (kupanda)
14. Ulikataa (kukataa)
15. Aliomba (kuomba)
16. Walitafuta (kutafuta)
17. Mliogopa (kuogopa)
18. Kuongea
19. Kuwayawaya
20. Mbio
21. Kama
22. Merikebu (meli)
23. Ubishi
103
UTEYA YA TUKU MIBALE NA SOMO LA ISHIRINI NA SABA
SAMBO
TANGO TATA AKUFAKI
NALELAKA mNGI
1. Nazalk mwna mok tango
tat akendki* na etumba
2. Sima ya etumba, azngk
lissu t
3. Basod baye babundak etu
mba bang bnso bakfk
4. Etumba wn ezalk maksi
mingi
5. Tango tat azngk t, nale-
lk mingi
6. Libos ya etumba, mbka na
bis ezalk nabilko ndng
na ndng
7. Na sima ya liw ya bank,
topanznk na mikili mis-
su
8. Libos tat bnga, atiklk
ngi mtuka
9. Tango tat azalk naino na
bomoi, nazalk kolinga y
mingi
10. Tango nazalk mwnamok,
tat azalk kobta ngi t
11. Tango kultu na ngi asih'sk
kelsi, tat apska y mme
mobimba
104
BABA ALIPOFARIKI
NIKALIA SANA
1. Nilikuwa bado mtoto mdogo,
baba alipokwenda katika vita
2. Baadayavita,hakurudi kamwe
3. Waaskari waliopigana vita, wo-
te wakafa
4. Vita hiyo ilikuwa nguvu sana
5. Wakati baba hakurudi, nikalia
sana
6. Kabla ya vita, nchi yetu iliku
wa na vitu vya kila aina
7. Baada ya kifo cha wajomba,
tukatawanyika katika nchi
nyingine
8. Mbele baba apotee, akaniachia
motokaa
9. Baba alipokuwa bado mzima,
nilikuwa nikimpenda sana
10. Nilipokuwa mtoto mdogo, ba
ba hakuwa akinipiga
11. Mkubwa wangu alipohitimu
shule, baba akampa kondoo
nzima
12. Tango asih'sk kelsi, azalk
koluka mosl ya kalka
13. Tango nazalk moyekoli, na
zalk kotta lso ya tat-
mwsi'
14. Tango tat-mwsi akimk,
nabklk balki na ngi
15. Nazalk kolakisa bang, ta
ngo bazalk bn mik
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Tango nazalk na kelsi, na
zalk kotta lso na y
2. Tango nazalk molakisi, na
zalk koykola t
3. Libos tat-mwsi kfa, na
zalk kobina mingi
4. Libos tat-mwsi kende, ati-
klk ngi mosl
5. Tango akendk, atiklk
ngi makambo
6. Nazalk kolia epi na bang,
tango tat attk mtuka na
7. Nazalk naino moyekoli, ta
ngo etumba esilk
B. Yanl mitn yo :
1. Ozalk na mib boni, tango
tat na y akfk ?
2. Tango tat-mwsi' na y akf
k, bn batiklk wpi ? ....
3. Liboszngana Kinshasa, ov-
ndk na mbka nini ?
12. Alipohitimu masomo, alikuwa
akitafuta kazi ya karani
13. Nilipokuwa mwanafunzi, nili
kuwa nikitwanga mpunga wa
shangazi
14. Shangazi alipokimbia, nikawa-
lea wadogo wangu
15. Nilikuwa nikiwafundisha, wali-
pokuwa bdo watoto wadogo
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Nilipokuwa shuleni, nilikuwa
nikitwanga mpunga wake
2. Nilipokuwa mwalimu, sikuwa
nikijifunza
3. Mbele shangazi afariki, niliku
wa nikicheza sana ngoma
4. Mbele shangazi aende, akania-
chia kazi
5. Alipokwenda, akaniachia ma-
mbo
6. Nilikuwa nikilia kwao, baba
alipougonga motokaa wake
7. Nilikuwa bado mwanafunzi,
vita ilipomalizika
B. Jibu maswali haya :
1. Ulikuwa na miaka mingapi, ba
ba yako alipofariki ?
2. Shangazi yake alipofariki, wato
to walibaki wapi ?
3. Mbele urudi Kinshasa, ulikaa
katika mji gani ?
105
4. Tango ozalk koyekola, nni
moto azalk koslisa y ?
5. Tango bozalk kolela liw ya
tat na bin, bozalk kolla
wpi ?
6. Tango azalk naino mwna
opsk y elkonini ?
C. Si'h's maloba yo :
1. Tango naykk malili
mai ya mto
2. Tango nazngk na ndko, ba
yibi bilamb nyso
3. Libos nbta bna, ko
yekola mingi
4. Libos mopaya kta ko-
ybisabis sango
5. Sima ya liw ya mwsi na y,
kowayawaya
6. Tango mwsi na y akendk
mobmbo, komela masa
nga
7. Azalk na snz tango
mama na y akimk
Maloba ya sika :
1. Etumba (bitumba)
2. Mtuka (mi'tuka)
3. Mme
4. Tat-mwsi (batat-mwsi)
5. Baye babundk (kobunda)
6. Nalelak (kolela)
7. Topanznk (kopanzana)
8. Abiinga (kobnga)
9. Na bomoi (tangoazalk)
10. Tangoasilisak kelsi (kosilisa)
kelsi)
106
4. Ulipokuwa ukijifunza, mtu gani
alikuwa akikusaidia ?
5. Mlipokuwa mkilia kifo cha baba
yenu, mlikuwa mkilala wa-
Pi ?
6. Alipokuwa bado mtoto, ulimpa
kitu gani ?
C. Maliza misemwa hii :
1. Niliposikia baridi, maji ya
moto
2. Niliporudi nyumbani, wezi
mavazi yote
3. Mbele nizae watoto, nikiji-
funza sana
4. Mbele mgeni aingie akitu-
pasha habari
5. Baada ya kifo cha bibi yake,
kuwayawaya
6. Bibi yake alipokuwa amesafiri,
kunywa pombe
7. Alikuwa na miezi mama
yake alipokimbia
Maneno mapya :
1. Vita
2. Motokaa
3. Kondoo
4. Shangazi (mashangazi)
5. Waliopigana (kupigana)
6. Nikalia (kulia)
7. Tukatawanyika (kutawanyika)
8. Apotee (kupotea)
9. (Alipokuwa) mzima
10. Alipohitimu (kuhitimu)
11. Nazalk kotta (kotiita) 11. Nilikuwa kutwanga (kutwanga)
12. Tango akimk (kokima) 12. Alipokimbia (kukimbia)
13. Nabokolaka bang (kobokola) 13. Nikawalea (kulea)
14. Lso 14. Mpunga
107
0&-
UTEYA YA TUKU MIBALE NA
MWAMBI
NAZALAKI MOYEKOLI
1. Mob eleki nazalki moyekoli
2 Kelsi na ngi ezalki mosik
na ndko ya bis
3. Ut ndko ya bis tii kelsi,
ezalk lokendo ya kilmte
le mitno
4. Yang wn nazalk kolo
ngwa na ndko na tng
5. Kasi nazalk t kokende na
kelsi na makolo
6. Nazalk kokamata bisi t ko-
tmbola na vel
7. Mokolo mk mk, ski na-
zngki bisi t ski vel
ezngki mopepe, nazalk
kotmbola na makolo
8. Kasi na ndng wnnazalk
kokma na kelsi sima penz
ya tango
9. Matya ezalk kobanda na
ngonga ya mwambi ya tng
10. Tango nayk sima, molakisi
azalk kogngela ngi t
kopsa ngi etmbu
11. Libos ya kobima na ndko,
nazalk koh'aboli ya tng
108
SOMO LA ISHIRINI NA NANE
NILIKUWA MWANAFUNZI
1. Mwaka uliopita nilikuwa mwa
nafunzi
2. Shule yangu ilikuwa mbali na
nyumbani
3. Kutoka nyumbani mpaka shu-
leni ilikuwa mwendo wa kilo-
meta tano
4. Hivyo nilikuwa nikitoka nyu
mbani mapema kabisa
5. Lakini sikuwa nakwenda shu-
leni kwa miguu
6. Nilikuwa nikichukuwa basi au
kutembea kwa baisikeli
7. Siku mojamoja, nikichelewa
basi au kama baisikeli inakosa
hewa, nilikuwa nikitembea
kwa miguu
8. Lakini namna hiyo, nilikuwa
nikifika shuleni nyuma sana
ya wakati
9. Masomo yalikuwa yakianza pa
saa mbili za asubuhi
10. Nilipofika nyuma, mwalimu
alikuwa akinikanpia au kuni-
pa malipizi
11. Mbele ya kutoka nyumbani,
nilikuwa nikila chakula cha
asubuhi
12. Mam azalk kolamuka na
tng koleka, mp lmba
tii n mki
13. Mokolo na mokolo na tng,
tozalk koyekola ndinga n
kalikile
14. Mokolo na mokolo ya kelsi
ezalk na bitni mibal :
tango ya matya n tango ya
masano
15. Tozalk koh'a boli ya moi
na kelsi
16. Matya ezalk kosila na ngo
nga ya minei na ndmbo
MIMEKANO
A. Lob maloba yo :
1. Tango nazalki moyekoli, naza
lk koznga na ndko na
ngonga ya mitno
2. Ut ngonga ya motb tii ngo
nga ya sambo ya pkwa naza
lk koslisa babti ba ngi
na misl ya ndko
3. Sima ya kolia boli ya pkwa
nazalk kovnda elong na
libt mp tozalk kosolola
mp kotla talavizy
4. Sima ya koyka sango ya tala
vizy nazalk komikangela
nakti yasmbele mpny-
kola matya ya moi
5. Tango nasih'ski koyekola ngo
nga mk mobimba, nalo-
ngwk bilamb mp nami-
tandka likolo ya mbto
12. Mama alikuwa akiamka mape-
ma zaidi ili apike chai na
mayai
13. Kila siku asubuhi tulikuwa
tukijifunza lugha na hesabu
14. Kila siku ya masomo ilikuwa
na vipindi viwili : wakati wa
masomo na wakati wa mi-
chezo
15. Tulikuwa tukila chakula cha
mchana shuleni
16. Masomo ilikuwa ikimalizika
saa kumi na nusu
MAZOEZI
A. Sema maneno haya :
1. Nilipokuwa mwanafunzi, nili
kuwa nikirudi nyumbani pa
saa kumi na moja
2. Tangu saa kumi na mbili hadi
saa moja ya jioni nilikuwa
nikiwasaidia wazazi kwa kazi
za nyumbani
3. Baada ya kula chakula cha jioni
nilikuwa nikiketi pamoja na
jamaa tukiongea na kuangalia
televisheni
4. Baada ya kusikia habari zatele
visheni nilikuwa nikijifungia
chumbani ili nijifunze maso
mo ya mchana
5. Nilipokuwa nimejifunzamdawa
saa moja nihvua mavazi na
kujikunjua kitandani
109
6. Sima mok nazalk kozwa po-
ngi mp kolta ndto ya
kokmwisa
B. Yanl mitn yo :
1. Ozalki kosla nini mob ele-
ki ?
2. Ozalk kolia boli ya pkwa
na ngonga boni ?
3. Sima ya kotla talavizyo mp
koyka basango ya mokili
ozalk kolta ndto nini ? .
4. Babti na y bazalk koslisa
y na koyekola matya na y
ya mokolo na mokolo ?
5. Tango ozalk kokma na kel
si sima, molakisi azalk ko
sla nini ?
C. Si'lis maloba yo :
1. Tango nazalki moyekoli,
koyekola mingi
2. Baning bna kotmola
ngi sk mok t
3. Ya sl na bwny elong
na maksi
4. Ski batiki tembe, mbele na-
zngisk bang liloba ya
5. Ski bamekki kobundana na
mbele natmbwisk
bang na mablng
6. kolta ndto ya kokmwi
sa
7. Talavizyo kolekisa tango na
ngi ya koyekola
8. Nazalk kotanda makolo liko
lo ya mbto na ngongaya
110
6. Bado kidogo nilikuwa nikipata
usingizi na kuota ndoto za
kusangaza
B. Jibu maswaK haya :
1. Ulikuwa ukifanya nini mwaka
uliopita ?
2. Ulikuwa ukila chakula cha jioni
pa saa ngapi ?
3. Baada ya kuangaKa televisheni
na kusikia mahabari za uli-
mwengu ulikuwa ukiota ndo
to gani ?
4. Wazazi wako walikuwa wakiku-
saidia kujifunza masomo ya
ko ya kila siku ?
5. Ulipofika nyuma shuleni, mwa
limu alifanya nini ?
C. MaHza misemwa hii :
1. Nilipokuwa mwanafunzi ni-
kijifunza sana
2. Watoto wenzangu .... wakini-
chokoza hta kidogo
3. Kwa kweli naakili pamoja
na nguvu
4. Wangelibishi, ningeliwakosesha
neno la
5. Wangelijaribu kupigana na
ningeliwatembeza na magoti
6 nikiota ndoto za kushanga-
za
7. Televisheni ikinipitishia wa
kati wangu wa kujifunza
8. Nilikuwa nikinyoosha miguu ki-
tandani pa saa
Maloba ya sika :
Maneno mapya :
1. Talavizyo
1. Televisheni
2. Mokili
2. Ulimwengu
3. Vlo'
3. Baisikeli
4. Boli 4. Chakula
5. Kalikik
5. Hesabu
6. (Na) smbele 6. Chumba (ni)
7. Sk mok t 7. Hta kidogo
8. Nazalk kovnda 8. Nilikuwa nikiketi
9. Nazalk komikanga 9. Nilikuwa nikijifungia
10. Nalongwk bilamb 10. Nilivua mavazi
11. Nazalk kotanda makolo
11. Nilikuwa nikinyoosha miguu
12. Azalk kogngela ngi
12. Alikuwa akinikaripia
13. Komitanda
13. Kujikunjua
14. Azalk kolamuka
14. Alikua akiamka
15. Bazalk kotmola ngi
15. Walikuwa wakinichokoza
16. Mbele nazngiski bang
16. Ningeliwakosesha
17. Mbele natambwisaki bang
17. Ningeliwatembeza
18. Ezalk kolekisa
18. Ilikuwa ikinipitishia
19. Ndto
19. Ndoto
20. Mopepe
20. Hewa
21. Mki
21. Mayai
22. Bitni
22. Vipande
23. Masano
23. Michezo
24. Mablng
24. Magoti
111
SOMO LA ISHIRINI NA TISA
AINA ZA MAJINA KATIKA LINGALA NA GINSI JINA LENYI
KUTAJA KITU KIMOJA LAGEUKA KWA KUTAJA VITU VINGI
I.
II
III.
IV.
V.
112
mo-to mtu
ba-to watu
morbli
mume
ba-bli waume
mo-mbu mtumwa
ba-mbu
watumwa
mo-snzi mshenzi ba-snzi
washenzi
mwna mtoto b-na
watoto
mw-si
mke
b-si wake
mo-t kichwa
mi-t
vichwa
mo-sis mshipa
mi-sisa
mishipa
mo-kand barua
mi-kand barua
mo-tmbo mtego
mi-tmbo mitego
mo-tma moyo
mi-tma mioyo
mo-lka mto
mi-lk mito
li-ti sikio
ma-ti
masikio
li-tok mkeka
ma-tok
mikeka
li-bng jiwe
ma-bng mawe
li-bl tundu
ma-bl matundu
li-tma jafu
ma-tma majafu
li-tang
tone
ma-tang matonc
e-lko
kitu
bi-lko
vitu
e-longi uso
bi-longi nyuso
e-bale mto
bi-bale
mito
e-bembe mfu
bi-bembe
wafu
e-keko sanaa
bi-keko sanaa
e-limo mzimu
bi-limo
mizimu
n-dmbo
kipande
n-dmbo
vipande
n-dako nyumba
n-dko
nyumba
VI.
VII.
VIII.
m-beh' kisu
m-beli visu
m-m kondoo m-m
kondoo
n-zet mti
n-zet miti
n-zoku
tembo n-zoku
tembo
lo-kolo nguu
ma-kolo miguu
lo-bnzo wazo
ma-bnzo mawazo
lo-ks jani n-ks
majani
lo-bng kidevu m-bng videvu
lo-lmo ulimi
n-dmo ndimi
lo-beb mdomo m-beb
midomo
bo-ndki bunduki ma-ndki
bunduki
bo-Kngo mapenzi bo-lingo mapenzi
bo-bto upole
bo-bto upole
bo-ndeko undugu
bo-ndeko undugu
bo-tsi utii
bo-tsi utii
bo-lmb uchi
bo-lmb uchi
ko-koma kuandika
ko-kma kufika
ko-toka kutoka jasho
ko-tka kuchota maji
ko-tanga
kuvuya
ko-tnga kusoma
MAZOEZI
lia neno lenyi kukosa katika msafa wa pili kwa mfano wa msafa wa
kwanza :
1. mo-tli mk
misto
2. mo-paya mk
mibal
3. li-ninisa mk
mfuaji mmoja
wafuaji watatu
mgeni mmoja
wageni wawili
dirisha >*
113
114
minei
4. mo-mekano mk
mingi
5. li-bla mk
mingi
6. e-tabe mk
motb
7. li-kmba mk
mitno
8. n-dko mk
mwambi
9. lo-lmo mk
zmi
10. n-dinga mk
mingi
madirisha nne
zoezi moja
mazoezi mengi
ndoa moja
ndoa nyingi
ndizi mbivu moja
ndizi mbivu sita
ndizi moja
ndizi tano
nyumba moja
nyumba nane
ulimi moja
ndimi kumi
lugha moja
lugha nyingi
UTEYA YA TUKU MISATO
MITINDO YA BAKOMBO NA KATI YA KISWAHILI MPE NDENGE
KOMBO OYO ELAKISI ELOKO MOKO EBALUKAKA MPO TE
ELAKISA BILOKO MINGI
I.
IL
III.
IV.
m-ke mwsi wa-ke bsi
m-tu moto wa-tu bato
m-toto mwna wa-toto bna
m-sichana mwna-mwsi wa-sichana bna bsi
mw-alimu molakisi w-alimu balakisi
mu-uzaji motkisi wa-uzaji batkisi
m-kono lob ko mi-kono mabko
m-lima ngo'mb mi-lima ngmb
m-kuki likong mi-kuki makong
mw-aka mob mi-aka mib
mw-ezi snz mi-ezi snz
m-tego motmbo mi-tego mitmbo
ji-we libng ma-we
ma-bng
ji-cho liso ma-cho mi'so
j-ambo likambo m-ambo makambo
0 chupa molangi ma-chupa milangi
0 lipo lifta ma-fipo lifta
0 dirisha lininisa ma-dirisha manim'sa
ki-siwa esanga vi-siwa bisanga
ki-dole mosapi vi-dole misapi
ch-uma ebend vy-uma bibend
ch-ungu nzngu vy-ungu nzngu
ch-eo bokonzi vy-eo bokonzi
ki-atu sapto vi-atu sapto
n-dege ndeke
n-dege ndeke
n-dizi likmba n-dizi makmba
0 meza ms 0 meza ms
m-boga ndnda m-boga ndnda
15
VI.
VII.
kalamu kili kalamu kili
0 kofia ekoti 0 kofia
bikoti
u-kuta efelo 0 kuta bifelo
w-akati tango ny-akati tango
u-safi bopto u-safi bopto
u-toto bomwna u-toto bomwna
u-tamu elengi u-tamu elengi
u-jinga bozba u-jinga
bozba
ku-achana kotikana
ku-ambia kolobela
ku-andika kokoma
ku-fika kokma
ku-cheza kosakana
ku-funika kozipa
MIMEKANO
Ti liloba yo ezngi na kti ya molongo ya mibal na ndakisa
ya molongo ya yambo :
1. m-tu mmoja moto mk
wawili bato mibal
2. mw-anafunzi mmoja moyhoU mk
wengi baykoU mingi
3. ji-we moja abng mk
kumi mabngd zmi
4. 0 chupa moja molangi mk
sita milangi motb
5. ki-chwa kimoja mot mk
viwili mit mibal
6. m-ti moja nzet mk
minne nzet minei
7. n-yumba moja ndko mk
tatu ndko misto
116
8. n-guruwe moja
kumi
9. u-bao moja
mbili
10. u-chungu kidogo
mwingi
nglu mfi
nglu zomi
tiby mk
maby mibal
maiva mok
mawa mingi
117
KAMUSI YA MANENO
Lingala - Kiswahili
A
Abakisa (kobakisa) : aongczc
Abtlki (kobtcla) :alichunga
Abti (kobta) : amepiga
Absnki (kobsana) : alisahau
Abtmi (kobo'tama) : amezaliwa
Abtlki(kobtola) :alinyang'anya
Abyki (kobya) : alikataa
Abongisaka (kobongisa) : (yeye) hu-
tengeneza
Abkki' (kobka) : alivunja
bnga (kobnga) : apotee
Abngi'ski (kobngisa) : alipoteza
Adfa (kodfa) : ajiazime, ajikope-
she
Afilika : Afrika
Agsiti : mwezi wu nane
Akamatki (kokamata) : alichukua,
alikamata
Akolmbela bis : atatupikia
Akfki (kokfa) : ahkufa
Alobaka (koloba) :asema (yeye hu
sema)
Ameh'ka : Amerika
\ndimi' (kondima) : ameitika
\ngel : kiingereza
Kpasli' (kopasola) : amepasua
Vpsa ngi : anipe
Asngki (kosnga) : aliomba
Atmbwiski (kotmbwisa) : alite-
mbeza
Attki' (kotta) : ahgonga
Avilili : aprili, mwezi wa nne
Avi'mbisaka (kovimbisa) : huvimbi-
sha
Aybi' (koyba) : anajua
Ayibki (koyiba) : aliba
Azalk (kozala) : alikuwa aki...
Azali' : ni, yupo
Azi' : Azia
Azokki' (kozoka) : aliumia
B
Babengnmki (kobenganama) :
walifukuzwa
Babini, mo- : wachezaji
Babomaka (koboma) : (wao) huua
Babti, mo- : wazazi
Baboi, mo- : watumishi
Babku : vitabu
Bafingki y : walikutukana
Bafungolaka (kofungola) : (wao) hu-
fungua
Baftaka (kofta) : (wao) hulipa
Bakangki (kokanga) : walifunga
Bakny : uma
Bakngeli-mibko: wachunga-sheria
Bakesni(kokesene) :wanatafautika
Bakiti : viti
Bakobengana y : watakufukuza
Bakomema y : watakuchukua
Bakonzi, mo- : mkubwa, sultani
Bakosepela (kosepela) : watafurahi
Bakoseka (koseka) : watackeka
Balabla : barabara
Balngwi, mo- : walevi
Balobaka (koloba) : (wao) husema
Baltu : vijiko
Bamalumlu : kabati
Bambto : vitanda
Bambonda : ngoma
Bameki (komeka) : wamejaribu
Bamm T kondoo
Bamesni naino t : hawajazoea
bado
Bna, mw- : watoto
Bna-mbka : wana-nchi
Bang : wao
Bangn, mos : maadui
Banoko : wajomba
Banze'mbo : nyimbo
Banzet : miti
Banyka : nyoka
Bpekisa bang : wawakataze
Bapeki'smi (kopekisama) : wana-
hatazwa
Bapolisi : mapolisi
Bapt : vidonda
Basod : waaskari
Basofle : madereva
Batat-mwsi : mashangazi
Bti'ka (kotika) : waache
Bato, mo- : watu
Btmbola (kotmbola) : wainue
Batmlaki (kotmola) : walicho-
koza
120
Bazali (kozala) : wapo, ni
Bazlo : mapua
Baye babundk : waliopigana
Baye bazali : wanao kuwa
Baymbi, mo- : waimbaji
Bayibi, mo- : wevi
Bibale, e- : mito
Bibend, e- : vyuma
Bifelo, e- : kuta
Bikizam, e- : mitihani
Biklo, e- : makabila
Bilamb, e- : mavazi
Bilma, e- : vilema
Bileng-bsi : wasichana
Bil : ofisi
Bilko, e- : vitu
Bilongi, e- : nyuso
Bimnanaka t : havionekani
Bisangni (kosangana) : vinachanga-
nyika
Bisi : basi
Bis : sisi
Bismbmki (kosmbama) : vili-
nunuliwa
Bitni, e- : vipande
Bitumba, e: : vita
Bizibeli, e- : milango
Bizwmi (kozwama) : vinapatikana
Bobngki (kobnga) : mliogopa
Bobl : tu
Bobto : upole, ukarimu
Bbsana t : msisahau
Bokabinda : usermala
Bokomela (komela) : mtakawia
Bokono : ugonjwa
Boli : chakula
Bolingo : mapendo
Bolko : gereza, jela
Bolukki (koluka) : mlitafuta
Bolmb : uchi
Bondeko : undugu
Bondki : bunduki
Bng : hivyo, kumbe
Boni : je ? ngapi ?
Bonzemba : uhapela
Bpsa (kopsa) : mjongee
Botsi : utii
Btungisa (kotungisa) : msumbue
Boye : hivi
But : usiku
Bwny : akili
D
Desmbe : desemba, mwezi wa 12
Dokotlo : daktari
Ebale, bi- : mto
Ebbki (kobba) : iliharibika
Ebel : kundi
Ebend, bi- : chuma
Ebngamaka (kobngama) : yaitwa
Ebtamaka(kobtama) : yapigwa
Ebmbi (kobmba) : inaficha
Ebongi (kobonga) : inafaa
Efelo, bi- : ukuta
Ekesni t : haitafautiki
Ekiti naino t : haijashuka bado
Ekizam, bi- : mtihani
Ekoki (kokoka) : inatosha
Eklo, bi- : kabila
Ekmlki bis : ilitufikia
Ekosila (kosila) : itakwisha
Ekoti, bi- : kofia
Elandni (kolandana) : inafwatana
Elanga, bi- : shamba, kipwa
Eleki malmu : ni vema zaidi
Elengi : utamu
Elma, bi- : kilema
Etkisaka (kotkisa) : yauzisha
Eleng-mwsi : msichana
Elko, bi- : kitu
Elongi, bi- : uso
Elongo' : pamoja
Eno'kaka (kono'ka) : yanyesha
Epi, bi- : nafasi
Epekismi (kopekisama) : inakata-
zwa
Eponaka t : haichagui
Epumbki (kopumbuka) : imeruka
Eslmki (koslama) : ilifanyika
Esngi (kosnga) : inaomba
Esengo, bi- : heri, furaha
Esik, bi- : nafasi
Esik na y : kwake
Etabi, bi- : ndizi yenyi kuivya
Etlaka t : haiangalii
Etni, bi- : kipande
Etndi (kotnda) : inajaa
Etumba, bi- : vita
Etmbu : malipizi
Evimbi (kovimba) : imevimba
Eyenga, bi- : siku kuu
Eyokanaka (koykana) : yasikilika
Ezalk kolekisa : ilikuwa ikipitisha
Ezaleli : tabia
EzalT : ipo, ni
Ezibeli, bi- : mlango
Ezipi (kozipa) : inafunika
False : Ufaransa
Febwli : februari, mwezi wa 2
Fot : picha
K
Kala : zamani
Kalka : karani
Kalikile : hesabu
121
Km : mia
Kny : kanya, uma
Kasi : lakini
Kti : ndani, baina
Kelsi : shule, somo
Kb (kokba) : angalisho
Kend (kokende) : nenda, kwenda
Kiarbo : kiarabu
Kilmtele : kilomita
Kimundl : kizungu
King : shingo
Kiti : kiti
Kisi : dawa
Koblana : kuoana
Kobanda : kuanza
Kobnga : kuogopa
Kobtela : kulea
Kobnda : kukokota
Kobnga : kuita
Kobikisa : kuponyesha
Koboma : kuua
Kobmba : kuficha, kulinda
Kobsana : kusahau
Kobtama : kuzaUwa
Kobokola bang : kuwalea
Kobongisa : kutengeneza
Kobtola : fyunyang'anya
Kobka : kuvunja
Kobngisa : kupoteza
Kofinga : kutukana
Kofnda : kushtaki
Koftela ngi : kunilipia
Kogngela : kukaripia
Kokamata : kuchukua
Kokmwisa : kushangaza
Kokanga motma : kuvumilia
Kokesene : kutafautika
Kokima : kukimbia
Kokoka : kuweza
Kokoma : kuandika
Kokma : kufika
122
Koksa : kudanganxu
Kkk : hodi
Kokfa : kufa
Kolakisa : kufundisha, kuonyesha
Kolla : kulala
Kolmba : kupika
Kolngwa : kulewa
Koleka : kupita
Kolemba : kuchoka
Kolnga : kutetemeka
Kolinga : kupenda
Koloba : kusema
Kolna : kupanda, kuotesha
Kolongwa : kutoka
Kolukila : kutafutia
Komata : kupanda juu
Komitnga t : kutojitaja
Komemya : kuheshimu
Komesene : kuzoea
Komna : kuona
Kompany : kampuni
Koningisa : kutikisa
Kotin : bara, kontinenti
Kopekisama : kukatazwa
Kopelisa : kuakisha
Kosla : kufanya
Kosmba : kutetea
Kosukola : kusafisha
Kosolola : kuongea
Kosmbama : kununuliwa
Kotmbola : kutembea
Kotnga : kusoma, kuhesabu
Kotika : kuacha
Kotikala malamu : kubaki vema
Kotmdilana : kutumiana
Kotoka : kutoka jasho
Kowayawaya : kuwayawaya
Koyba : kujua
Koye'kola : kujifunza
Koyla : kuletea
Koyka : kusikia
Kozoka : kuumia
Koznga : kurudi
Kozwa : kupata
Klongon : afya njema
Kmb : jina
Kot (koko'ta) : karibu, ingia
Kultu : (ndugu) mkubwa
Kn : kule, pale
Lngi : rangi
Lek (koleka) : pita
Let : serikali
Lki : (ndugu) mdogo
Lle : saa
Lelo' : leo
Libla, ma- : ndoa
Libnd : nje
Libnd yappo : uwanja wa ndege
Liby, ma- : ubao
Libng, ma- : jiwe
Libl : kamwe, kwa lote
Libngo, ma- : kivuko,
Libos ya : mbele, kabla ya
Liblo'ngd, ma- : goti,
Libl, ma- : tundu
Libumu, ma- : tumbo
Lifalas : kifaransa
Likambo, ma- : jambo
Likolo ya juu ya
Limemy : heshima
Lininisa, ma- : dirisha
Lingmb, ma- : shirika, chma
Li'no, mi- : jino
Lisang : muungano
Lisano, ma- : mchezo
Li'so, mi- : jicho
Lismu, ma- : kosa, dhambi
lissu : tena
Litma, ma- : Jafu
Litya, ma- : somo
Liti, ma- : sikio
Liw : kifo
Liybisi : tangazo
Lobla bang : uwaambie
Lbi : kesho
Lobko, ma- : mkono
Lokendo : mwendo
Lokla : kama vile
Lokolo, ma- : mguu
Lokut : uwongo
Lolmu, nd : utimi
Loposo, mpo- : ngozi
Ltu : uma
M
Maby, li- : mbao
Mabel : udongo
Mable, li- : maziwa
Mabina, li- : dansip mchezowa ngo-
ma
Mabko, lo- : mikono
Mablng, li- : magoti
Mabl, li- : matundu
Mabumu, li- : matumbo
Magazini : duka
Mai : maji, mwezi wa tano
Makm, li- : mis\ba
Maksi : nguvu
Makelle : makelle
Mki, li- : mayai
Makil : damu
Makt, li- : sehemu ya pesa ya
Zaire
Malli : ugonjwa
Malamu : vema
Malfii : baridi
MKsi : Machi, mwezi wa tatu
Maloba, li- : maneno
123
Malumlu : kabati
Mam : mama
Maninisa, li- : madirisha
Mangmb, li- : vyama
Masano, li- : michezo
Maswa : merikebu
Mati, li- : masikio
Matmoli : uchokozi
Mayle : werevu
Mbala : mara
Mbngu : mbio
Mbat : kofi
Mbto : kitanda
Mbele : kama
Mbka : nchi, mji
Mbonda : ngoma
Mbngo : mati
Mbte : hujambo
Mbla : mwaka, mvua
Mbuta-mtu : bwana
Mbuta-mwsi : bibi, mama
^* Mel (komela) : meza (kumeza)
Mme : kondoo
Mibal : mbili (-wili)
Mibko, mo- : sheria
Mib, mo- : miaka
Mikolo, mo- : siku
Mikmb, mo- : mizigo
Mimekano, mo- : mazoezi
Mingi : sana, nyingi
Misapi, mo- : vidole
Misto : tatu
Miso, li- : macho
Mitn, mo- : swali
Miziki : muziki
Mobli, mi- : mwanaume, mume
Mobko, mi- : amri
Mobmbo, mi- : safari
Mobimba : yote, nzima
Mobini, ba- : nichezaji
124
Mobti, ba- : mzazi
Mob, mi- : mwaka
Mokabinda, ba- : msermala
Mokand, mi- : barua
Mok : kidogo, (dogo)
Mo kila, mi- : mkia
Mokili, mi- : dunia
Mokonzi, ba- : mkubwa, bwana
Mokolo ya lomingo : jumapiU
Mokongo, mi- : mgongo
Mokmb, mi- : mzigo
Mokwa, mi- : mfupa
Molangi, mi- : chupa
Molngwi, ba- : mlevi
Molili : giza
Molni, ba- : mlimaji
Molung : joto
Mnganga, mi- : mganga
Mongng, mi- : sauti
Mongn, ba- : adui
Monoko, mi- : kinwa, lugha
Monzemba, mi- : kapela, asiyeoa
Mopaya, ba- : mgeni
Mopepe : upepo, hewa
Mosapi, mi- : kidole
Mosis, mi- : mshipa
Mosolo : mshahara
Motmbo, mi- : mtego
Motkisi, ba- : mchuuzi
Motindo, mi- : amri
Moto, ba- : mtu
Moto, mi- : kichwa
Motoki, mi- : jasho
Mtuka, mi- : motokaa, gari
Moyekoli, ba- : mwanafunzi
Moymbi, ba- : mwimbaji
Moyibi, ba- : mwizi
Moi : jua, mchana
Mko : moja
Moto : moto
Mp : piu, na
Mposo, lo- : ngozi
Mp : kwa, kwani
Mundl, mi- : mzungu
Mw : kidogo
Mwna, ba- : mtoto
Mwna-mbka : mwana-nchi
Mwna-mobli : mtoto-mume
Mwna-mwsi : mtoto wa kike
Mwsi, b- : mwanamke, bibi
Mwinda', mi- : mwangaza, taa
N
Na : kwa
N : na, pamoja na
Nabti (kobta) : nimepiga
Nbika (kobika) : nipone
Nabimaka (kobima) : natoka
Nabsnki' (kobsana) : nilisahau
Nabklk (kobokola) : nililea
Naino : bado
Nakmwi (kokmwa) : nasangaa
Nakangki (kokanga) : nilifunga
Nakobya y t : sitamkataa
Nakolanda (kolanda) : nitafwata
Nallki (kolla) : nililalu
Nalelk (kolela) : nililia
Nalembi (kolemba) : nimechoka
Nlia (kolia) : nile
Naliki : nilikula
Nalobaka (koloba) : nasema
Nalobi : ninasema
Nalongwk (kolongwa) : nilitoka
Nalongwki : nilitoka
Namnki' (komna) : niliona
Nandimi (kondima) : naitika
Nni : nani
Nasalisa y : nikusaidie
Nasmblki bang : niliwanunulia
Natiklki y : nilimwachia
Nayambi : nimepokea
Naybi : ninajua
Nazalk(kozala) : nilikuwa zamani
Nazalki (kozala) '.nilikuwa
Nazali : nipo
Nazwki (kozwa) : nitipata
Ndko : nyumba
Ndmbo : sehemu, kipande
Nd ntina : ndio sababu
Ndeko : ndugu
Ndcko-mobli : ndugu mume
Ndeko-mwsi : dada
Ndeke : ndege
Ndinga : lugha
Ndingisa : ruhusa
Ndo'to : ndoto
Ngi' : mimi
Ngelsa : utngereza
Ngonga : saa
Nglu : nguruwe
Nini : nini
Nkto : mia
Novmbe : novemba, mwezi wa 11
Noki : mbio
Nk : mjomba
Ntaba : mbuzi
Ntina : sababu
Nyama : nyama
Nyka : nyoka
Nzel : njia
Nzmbo : wimbo, nyimbo
Nzet : mti
Nzkand : ijapo
Nzoku : tembo
O
banda : anza
Obyki : ulihataa
Okmwki' t : hukushangaa
Okobla t : hutaoa
125
Okokokisa : utatimiza
Okokfa : utakufa
Okosla mobmbo : utafanyasafari
Okosmba : utatetea
Okotmbola : utatembea
Okotble : oktoba, mwezi wa kumi
Okoyla bang : utawaletea
Okozila y : utamngoja
Okoznga t : hutarudi
Olpki : uliapa
Olembi (kolemba) : umechoka
Olobaka (koloba) : (wewe) husema
Omemya : uheshimu
Omibmbki : ulijificha
Omitngki t : hukujihesabu
Oriantle : (-a) mashariki
Ositalali :'OstraUa
Osopli bang : unawamwagia
Otikki bang : uhwaacha
tikala t : usibaki
Otiki bis : umetuacha
Oybi (koyba) : unajua
Oyo : huyu, hii
yo alngwki : aUyelewa
yo ebkni : inayovunjika
yo eleki : inayopita
Pmba : bure, bila kitu
Psi : maumivu
Ppo : hewa, upepo, ndege
Ps ngi : inipatie
Pkwa.: jioni
Polisi : polisi
Posa : hamu, kiu
Pt : kidonda
Pt : Ulaya
Pongi : usingizi
126
Sni : sahani
Smbele : chumba
Sambo : saba
Sango : haban
Snz : mwezi
Setmbe : septemba, mwezi wa tisa
Shih'ngi : shilingi
Sika : sasa
Sikyo : sasa hivi
Silis (kosilisa) : maUza
Sima : baada, nyuma
Sima na : baada ya
Sinzili : zamu, mchungaji wa usiku
Soda : askari
Sofle : dereva
Solo : mnuko
Ski boyi : mkifiha
Ski ebimi : ikitoha
Ski olingi : ukipenda, tafadhali
Sk mok t : hta mara moja
Solo : kweli
Ska : mwisho
Sukli : sukari
Sukl (kosukola) : safisha (kusafi-
sha)
Tl '(kotla) : angalia
Talavizyo : televisheni
Tlo : bei
Tango : wakati
Tango akimk :aUpokimbia zama-
ni
Tango bozali kobina : mnapocheza
Tango okokwa : utakapoanguka
Tat : baba
Tat-mwsi : shangazi
Te, ati, kwamba
Telefne : simu
Tembe : ubishi
T : hapana
Ti yang : uitie
Tii : hadi, mpaka
Tikl malamu : kwa heri
Tik : tiketi
Tind (kotinda) : tuma
T : au
Tobtmki(kobtama) : tuUzaliwa
Tokoblana : tutaoana
Tokobta : tutapiga
Tokokomelana t : hatutaandikiana
Tokolukila y : tutakutafutia
Tokomeka : tutajaribu
Tokomnana t : hatutaonana
Tokotindilana : tutatumiana
Tokoznga : tutachelewa
Tolembki : tulichoka
Toli : angalisho
Tlo : kifua
Tomatki (komata) : tulipanda
Tomesni : tunazoea
Topanznk (kopanzana) : tulita-
wanyika
Totiitnki : tutigongana
Tzila (kozila) : tungoje
Tngo : asubuhi
Tk mibal : ishirini
Tk mi'sto_: thelathini
Tk sambo : sabini
Tn (kotna) : uliza
U
Ut : tangu
Vnd (kovnda) : kaa, keti
Vel : baiskeli, kinga
W
Wpi : wapi
Ya bang : yao
Ya yambo : ya kwanza
Yanl (koyanola) : jibu(kujibu)
Yanwli : januari, mwezi wa kwanza
Ya sika : pya
Ya sl : kwa kweli
Y : yeye
Yk (koyka) : sikia
Y : wewe
Yli : fulai, mwezi wa saba
Zndo : soko
Zlo : pua
Zmi : kumi
127
NDIMBOLA YA MALOBA
Kiswahiti-Lingala
Adui : mongn
Afrika : Afilika
Agosti : Agsiti
Aina : ndng, motindo
Ajiazime : dfa
Ajua : aybi
Akaipoteza : abngiski yang
Akikusumbua : ski atungisi y
Akisimama : ski atlmi
Alhamisi : mokolo ya mosl minei
Alifariki : akfki
Aliiba : ayibki
Aligonga : attki
Alikataa : abyki
Alikuwa akiamka : azalaki kolamu-
ka
Alikuwa akinikaripia : azalaki kog-
ngela ngi
Aliniambia : alobldki ngi
Alinyang'anya : abtlki
Aliomba : asngki
Alipohitimu : tango astliski kelsi
Alipokimbia : tango aktmki
Alisahau : absnki
Alitembeza : atmbwiski
Aliumia : azohki
Alivunja : abkki
Aliyelewa : yo aldngwki
Amegusa : akamti likolo
Amerika : Amelika
AmezaHwa : abtmki
128
Amepasua : Apasli
Amri : mobko
Anafundisha : azali kolakisa
Anajibu : ayanli, andimi
Anajifunza : azali koyekola
Anapiga : abti
Anasema : alobi
Angalia : tld
Angalisho : toli, kb
Anipe : psa ngi
Apotee : bnga
Arobaini : tk minei
Asema : alobaka
Askari : soda
Asubuhi : tng
Atatupikia : akoldmbila bis
Atengeneza : abongisaka
Avimbisha : avimbisaka
Azia : Azi
B
Baada ya, baadaye : sima ya
Baba : tat
Bado : naino t
Bahati mbaya : makild mab
Baiskeli : vel
Bara : kotin
Barabara : balabla
Baridi : malili, pio
Barua : mokand
Basi : bisi
Bibi : mwsi
Bila sababu : na ndng ezngnti
na
Bi Zikida : mam Zikidd
Borna(ni) : (na) Ubndd
Bunduki :bondki
Bwana : mbuta-mtu, mokonzi
Chakula : bili, elko ya kolia
Cheo : bokonzi
Chuma : ebend
Chumba : smbele, ndko
Chupa : molangi
Dada : ndeko-mwsi, yay
Daktari : dokoth
Pimu : makil
Dereva : sofle
Desemba : desmbe
Dhambi ilismu
Dirisha : Uninisa
Duka : magazini
Dunia(ni) : (na) mokili
Februari : febwli
Fupi : moks
Gali : mahsi (talo)
Gani : nini, nni
Gari : mtuka
Gereza : bolko
Giza : molili
H
Habari, sango
Hadi : tii
Haijatua : ekiti naino t
Hakuna : ezali t
Hakutunza : abklki t
Haliangalii : talaka t
Hta kidogo : sk mok t
Hatarudi : akoznga t
Hatutaandikiana : tokokomelana t
Hatutaonana : tokomnana t
Hawajazoea : bamesni nainot
Hawatakuchekelea : bakoseka yt
Hazionekani : bizali komonana t
Heri : esengo
Hesabu : kalikile
Heshima : limemy
Hewa : mopepe
Hii : yo
Hivyo : bng
Hodi : kkok
Hospitali : lopitdlo
Hufungua : bafungulaha
Hujambo : mbte
Huko : kn
Hukujihesabu : omitdngki t
Hukushangaa : okmwki t
Hulipa : baftaha
Hupatikana : ezwamaka
Husema : balobaka
Hutaoa : o kobla t
Huua : babomaka
I
Ijapo : atd
Ijumaa : mokolo ya mosl minei
Ikitoka : ski ebimi
Imetimia : ekoki
Inacheza : ezali kobina
Inafaa : ebongi
129
Inaimba : ezali koymba
Inajaa : etndi
Inakatazwa : epekismi
Inaruka : epumbki
Inayopita : yo eleki
Ingia : kt
longeze : bakisa
Ishirini : tiik mibal
Jamaa : bandeko, Hbt
Jambo : likambo
Jannaui : Yanwli
Jaribu : mek
Jasho : motoki
Jibu : eyano, yanl
Jicho : Uso
Jina : Una
Jino : lino
Jioni : (na) pkwa
Jiwe : libng
Joto : molung
Julai : Yli
Juma : semne, peso
Jumamosi : mokolo ya peso
Jumanne : mokolo ya moslmiba
l"
Jumapili : mokolo ya lomingo
Jumatano : mokolo ya mosl mi
sto
Jumatatu: mokolo ya moslmoko
Juni : Yni
Juu ya : likolo ya
K
Kaa : vnd
Kabati : malumlu
Kabla ya : libos ya
130
Kalamu : kili
Kama vile : lokla
Kanya : kny
Kampuni : kompanyi
Kapela : monzemba
Karani : kalka
Karibu : kt, penepene
Kesho : lbi
Kiarabu : kiarbo
Kiburi : lofndo
Kichwa : mot
Kidogo : mok
Kidole : mosapi
Kidonda : pt
Kifaransa : lifalas
Kifo : liw
Kifua : tlo
Kiingereza : angel
Kijiko : ltu
Kila moja : moto na moto
Kilema : elma
Kilitufkia : ekmldki bis
Kinaficha : ebmbi
Kinafunika : ezipi
Kinwa : monoko
Kipande : ndmbo
Kisiwa (visiwa) : esanga (bisanga)
Kitabu : bku
Kitanda : mbto
Kiti : kiti
Kitu : elko
Kivuko (ni) : (na) libngo
Kizungu : kimundl,
Kofi : mbat
Kofia : ekoti
Kondoo : mme
Kuacha : kotika
Kuachia : kotikela
Kuakisha : kopelisa
Kuambia : kolobela
Kuandika : koko'ma
Kuangalia : kotla
Kuanguka : kokwa
Kuanza : kobanda
Kuapa : kolapa
Kuelewa : koyba malamu
Kucheka : koseka
Kuchelewa : kozdnga
Kucheza : kosakana
Kucheza ngoma : kobina
Kubaki '.'kotikala
Kuchoka : Ao/emba
Kuchokoza : kotmola
Kuchukua : komema
Kuchuuza : kotkisa
Kufa : kokfa
Kufaa : kobnga
Kufanana : kokesene t
Kufanya : kosla
Kufanya angalisho : kokba
Kufanyika : koslema
Kufanywa : koslama
Kufcha : kobmba
Kufika : kokma
Kufikia : kokmela
Kufukuza : kobengana
Kufundisha : kolakisa
Kufunga : kokanga
Kufungwa : kokangama
Kufunika : kozipa
Kufurahi : kosepela
Kufwata : kolanda
Kufwatana : kolandana
Kugonga : kotta
Kugusa : kokamata Ukol ya
Kuharibika : kobba
Kuheshimu : komemya
Kuhitimu : kosilisa kelsi
Kuja : koy; ykd
Kujaa : kotanda
Kujaribu : komeha
Kujiazima : kodfa
Kujificha : komibmba
Kujifunza : koyekola
Kujihesabu : komitnga
Kujikunjua : komitanda
Kujua : koyba
Kuiba : koyiba
Kuimba : koymba
Kuinua : kotmbola
Kuitwa : kobngama
Kukamatana : kokamatana
Kukataa : kobya
Kukataza : kopekisa
Kukatazwa : kopekisama
Kukawia : komela
Kukimbia : kokima
Kukokota : kobnda
Kukuta : kokta
Kukutana : koktana
Kukuteta : kosla songisongi Ukol
na y
Kulala : kolla
Kulea : kobokola
Kuletea : koyla
Kulewa : kolngwa
Kulia : kolela
Kuliko : koleka
Kufipa : kofta
Kulipia : koftela
KumaEza : kosilisa
KumaHzika : kosila
Kumi : zmi
Kumwangia : kosopela
Kuna : ezali
Kundi : ebel
Kungoja : kozila
Kunilipia : koftela ngi
Kununua : kosmba
Kununulia : kosmbela
Kununuliwa : kosmbama
131
Kunyang'anya : kobtvla
Kunyesha : konka
Kunywa : komela
Kupanda : komata
Kupasua : kopasola
Kupata : kozwa
Kupenda : kolinga
Kupiga : kobta
Kupigana : kobunda
Kupigwa : kobtama
Kupikia : kolmbela
Kupita : koleha
Kupona : kobika
Kuponyesha : kobikisa
Kupotea : kobnga
Kupoteza : kobngisa
Kuoa : kobla
Kuoana : koblana
Kuogopa : kobnga
Kuomba : kosnga
Kuona : komna
Kuonana : komonana
Kuongea : kosolola
Kuongeza : kobakisa
Kuongoza : kotmbwisa
Kurudi : koznga
Kuruka : kopumbuka
Kurukaruka : kopumbukapumbuka
Kusafiri : kosla mobmbo
Kusafisha : kosukola
Kusahau : kobsana
Kusaidia : koshsa
Kusali : kosmbela
Kusangaa : kokdmwa
Kusema : koloba
Kushtaki : kofnda
Kushuka : kokita
Kusikia : koyka
Kusikilika : koykama
Kusimama : kotelema
132
Kusoma : kotdnga
Kusukuma : kopsa
Kusumbua : kotungisa
Kuta : bifelo
Kutafautika : kokesene
Kutafuta : koluka
Kutafutia : kolukila
Kutamani : kozala na posa
Kutawanyika : kopanzana
Kutembea : kotmbola
Kutembeza : kotmbwisa
Kutengeneza : kobongisa
Kutetea : kosmba
Kutetemeka : kolengalenga
Kutia : kotia
Kutikisa : koningisa
Kutimia : kokoka
Kutimiza : kokokisa
Kutoandikiana : kokomelana t
Kutoangalia : kotla t
Kutobaki : kotikala t
Kutochagua : kopona t
Kutochekelea : kosekana t
Kutodanganya : koksa t
Kutoka : kobima
Kutoka jasho : kotoha
Kutokataa : Kobya t
Kutokula : kolia t
Kutooa : kobla t
Kutoogopa : kobnga t
Kutoonana : komonana t
Kutoonekana : komonana t
Kutorudi : koznga t
Kutosadiki : kondima t
Kutosahau : kobsana t
Kutotua : kokita t
Kutozoea : komesene t
Kutukana : kofinga
Kutuma : kotinda
Kutumia : kotindila
Kutumiana : kotindilana
Kutunza : kobtela
Kutwanga : kotta
Kuua : koboma
Kuuliza : kotna
Kuumia : kozoka
Kuungana : kosangana
Kuvimba : kovimba
Kuuza : kotka
Kusudi : mp
Kuvaa : kolta
Kuvunja : kobka
Kuvunjika : kobkana
Kuwalea : kobokolabang
Kuwayawaya : kowayawaya
Kwa : na, epi ya
Kwaheri : tikl malamu
Kwake : (epi) na y
Kwamba : te
Kwangu : epi na ngi
Kwani : mp, pmba t
Kwanza : yambo, Ubos
Kwenda : end
Kwenye : epi ya
Lakini : kasi
Lo : lel
Lingala : Lingla
Lugha : ndinga, monoko
M
Maadui : bangn
Machi : MUsi,snz ya misto
Macho : mtso
Machupa : milangi
Madereva : basofle
Magoti : mablng
Mahali : bisik
Maji : mai
Makelle : makelle
Makofi : makfi, mbat
Makuta : makt
Mali : mbngo
Malipizi : etmbu
Malipo : Ufta
Mama : mam
Maneno : maloba
Mapolisi : bapotisi
Mara : mbala
Mashangazi : batat-mwsi
Mashariki : oriantle
Mashavu : matma
Mashimo : mabl
Masomo (somo) : matya (Uiya)
Maswali(swali) : mitn (motnd)
Mataa (taa) : minda (mwinda)
Mataifa (taifa) : biklo (eklo)
Matangazo (tangazo) : maybisi (U-
ybisi)
Maumivu : psi
Mavazi : bilamb
Mawe (jiwe) : mabng (libng)
Mayai (yai) : mki (liki)
Maziwa (ziwa) : mable (Uble)
Mazoezi (zoezi) : mimekano (mo-
mekano)
Mbio : noki
Mboga : ndnda
Mbuzi : ntaba
Mchana : moi
Mchanga : zlo
Mchele : lso
Mchezaji (wachezaji) : mobini (ba-
bini)
Mchezo (michezo) : Ubina (mabina)
Mchungaji : mokngeU
Mchungaji wa usiku : sinzili
133
Mchuuzi : motkisi
Mda : tango
Mci : Mai, snz ya mitno
Merkebu : masa
Meza (-ni) : (na) ms
Mfaransa (Wafaransa) : Mofalse
(Bafalise)
Mfupa (mifupa) : mokwa (mik-
wa)
Mganga (waganga) : mnganga (b-
nganga)
Mgeni (wageni) : mopaya (bapaya)
Mgongo : mokongo
Mgonjwa : mokoni
Mguu (miguu) : lokolo (makolo)
Mjomba (wajomba) :nk (bank)
Mia : km
Mimi : ngi
Mimi mwenyewe : ngimk
Misemwa : maloba
Mkia : mokila
Mkono (mikono) :lobko(mabko)
Mkubwa : mokonzi
Mkulima : moloni
Mlango (milango) :ezibeU (bizibeU)
Mlevi : molngwi
Moja : mk
Moto : mto
Motokaa : mtuka
Mpenzi : waboUngo
Mpishi :bi, moldmbi
Mpunga : lso
Msermala (wasermala) : mokabinda
(bakabinda)
Mshahara : mosolo
Mshipa (mishipa) : mosis (misisa)
Msiba (misiba) : Uhmd (makm)
Msichana (wasichana) :ekng-mw-
si(bileng-bdsi)
Mti (miti) :nzet (banzet)
134
Mtihani (mitihani) : ekizam (biki-
zam)
Mtoto (watoto) : mwna (bna)
Mtu (watu) : moto (bato)
Muziki : miziki
Mwaka (miaka) : mob (mib),
mbla
Mwananchi (wananchi) : mwna-
mbka (bna-mbka)
Mwangaza : mwinda
Mwendo : lokendo
Mwenye akili : ya bwny
Mwenzake : moning na y
Mwenzako : moning na y
Mwerevu : ya mayle
Mwimbaji (waimbaji) : moymbi
(baymbi)
Mwezi (miezi) :snzt(basnz)
Mwizi (wezi) : moyibi (bayibi)
Mzazi (wazazi) : mobti (babti)
Mzigo (mizigo) : mokmb (mik-
mb)
Mzima : malamu, klngn
Mzungu (wazungu) : mondl (mi
ndl)
N
Na : na
Nani : nni
Nchi : mbka
Ndege : ndeke
Ndio : ee
Ndio sababu : nd wn, yango
wn
Ndizi : makmba
Ndoto : ndto
Ndugu : ndeko
Ngapi : boni
Ngoma : mbonda
Ngozi : loposo
Nguo : elamb (bilamb)
Nguruwe : nglu
Nguvu : makasi
Ni : ezali, nd
Njaa : nzala
Nje : na libnd
Njema : malamu
Njia : nzel
Novemba : Novmbe, snz ya 11
Nusu : ndmbo
Nyakati : tango
Nyama : nyama
Nyimbo : nzmbo
Nyinyi : bin
Nyingi : mingi
Nyoka : nyka
Nyumba (-ni) : (na) ndko
Nyuso : bilongi
Pamoja : elong
Pia : mp
Picha : fot
Pita (kupita) : lek (koleka)
Ple : malmbe
Polisi (mapolisi) : polisi (bapolisi)
Pombe : masanga
Pori : zmba
Pua : zlo
R
Radio : radio
Rafiki : moning
Rangi : lngi
Ruhusa : ndingisa
Saa : tango
Saba : sambo
Sababu : ntina
Sababu gani : mp nini
Sabini : tk sambo
Safari : mobmbo
Sahani : sni (basni)
Sasa : sika
Sasa hivi : sihasiha, sikwa
Sauti : mongng, lolhd
Sehemu : etni
Serikali : let
Sermala (usermala) : kabinda (bo-
kabmda)
Shamba (mashamba) : elanga (bila-
Shangazi (mashangazi) : tat-mwsi
(batat-mwsi)
Shauri : toli
Sheria : mobko
Shilingi : shilingi
Shimo (mashimo) : libl (mabl)
Shingo : king
Shirika : Ungmb
Shule : kelsi
Si '.t
Sikio (masikio) : Uti (mati)
Siku : mokolo
Sijambo : (nazali) malamu
Simu : telefne
Sisi : bis
Sitini : tk motb
Soko (-ni) : (na) zdndo
Somo (masomo) : Utya (matya)
Sukari : sukU
135
Taa (mataa) : mwinda (minda)
Tabia ( : ezaleli
Tafadhali : ski oUngi
Taifa (mataifa) : eklo (biklo)
Tangazo (matangazo) : Uybisi (may-
ybisi)
Tangu : ut
Tarehe : mokolo ya snz
Tembo : nzoku
Tena : Ussu
Tiketi : tik
Tu : pmba, kka
Tumbo : Ubumu
Tundu (matundu) : Ubl (mabl)
136
W
Wao : bang
Wewe : yo
Yao : ya bang
Yeye : y
Litya ya Yambo
Somo la kwanza
Litya ya Mibal
Somo la Pili
Litya ya Misto
Somo la Tatu
Litya ya Minei
Somo la Nne
Litya ya Mftno
Somo la Tano
Litya ya Motb
Somo la Sita
Litya ya Sambo
Somo la Saba
Litya ya Mwambi
Somo la Nane
Litya ya Libw
Somo la Tisa
Litya ya Zmi
Somo la Kumi
Litya ya Zmi na Moko
Somo la Kumi na Moja
Litya ya Zmi na Mibal
Somo la Kumi na Mbili
Litya ya Zmi na Misto
Somo la Kumi na Tatu
Litya ya Zmi na Minei
Somo la Kumi na Nne
Litya ya Zmi na Mi'tno
Somo la Kumi na Tano
Litya ya Zmi na Motb
Somo la Kumi na Sita
Litya ya Zmi na Sambo
Somo la Kumi na Saba
Litya ya Zmi na Mwambi
Somo la Kumi na Nane
Litya ya Zmi na Libw
Somo la Kumi na Tisa
ETANDA YA NKASA
YALIYOMO
Kopsana mbte
Kusalimiana
Koyambana
Makaribisho
Komilakisa
Kujijulisha
Olobaka Ndinga nini ?
Wewe husema Lugha gani ?
Oyo nni ?
Huyu ni nani ?
Mbka na y
Nchi yako
Koyambana
Kupokeana
Babti
Wazazi
Kokoma mp kotanga
Kuandika na kusoma
Ndako n Bilko
Nyumba na Vitu
Lb ezali eyenga
Kesho ni sikukuu
Bato n biloko
Watu na vitu
Tango ya mosl
Saa ya kazi
Psi
Maurnivu
Kotkana
Kuachana
Bitni ya Nzto
Sehemu za Mwili
Nzmbo n Mabina
Nyimbo na michezo
Mbla, snz n mikolo
Mwaka, mwezi na siku
Bakmb ya basnz
Majina ya Miezi
Loks
Ukurasa
7
10
13
15
18
21
24
27
30
33
37
41
45
49
53
57
61
65
69
Litya ya Tk Mibal
Somo la Ishirini
Litya yaTk Mibal na Mko
Somo la Ishirini na Moja
Litya yaTk Mibal na Mibal
Somo la Ishirini na Mbili
Litya ya Tk Mibal na Misto
Somo la Ishirini na Tatu
Litya ya Tk Mibal na Minei
Somo la Ishirini na Nne
Litya yaTk Mibal na Mitno
Somo la Ishirini na Tano
Litya yaTk Mibal naMotb
Somo la Ishirini na Sita
Litya ya Tk Mibal na Sambo
Somo la Ishirini na Saba
Litya ya Tk Mibal na Mwambi
Somo la Ishirini na Nane
Somo la Ishirini na Tisa
Lityaya Tk Misto
Kamusi ya Maneno
Ndimbola ya Maloba
Ozali na mbla boni ?
Una miaka mingapi ?
Biklo ya Mokili
Mataifa ya Dunia
Nni nd abengni y ?
Ni nani amekufukuza ?
Mobmbo ya Mosik
Safari ya Mbali
Bakobengana y na mosl
Watakufukuza Kazini
Likm ya mtuka na nzel
Msiba wa Gari njiani
Bozalki wpi ?
Mlikuwa wapi ?
Tango Tat akfki nalelka mingi
Babaalipofariki nikalia sana
Nazalk moyekoli
Nilikuwa mwanafunzi
Aina za majina katika Lingala
Mitindo ya bakmb na kti ya
Kiswahili
Lingala - Kiswahili
Kiswahili - Lingala
Produced and printed for OAUInter-African Bureau of Languagcs,
P.O. Box 7284, Kampala, Uganda, by Eleza Services Limited,
P.O. Box 14925, Nairobi, Kenya.
73
77
81
85
89
94
98
102
106
110
113
117
126

You might also like